Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,719
Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌
N:B KMC msirudie kuipeleka Yanga mikoani na kuikamia na mechi za Simba pelekeni huko tuone!
N:B KMC msirudie kuipeleka Yanga mikoani na kuikamia na mechi za Simba pelekeni huko tuone!