Yanga mpira mnacheza, magoli yanafungwa na burudani tunapewa, kongole sana wananchi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Jul 30, 2021
1,747
3,719
Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌

N:B KMC msirudie kuipeleka Yanga mikoani na kuikamia na mechi za Simba pelekeni huko tuone!
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu.

GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Metacha lina mashaka sana. Metacha amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Kumbe metacha siku izi anachezea kmc? Sikujua bwana, alafu sasa Kama ni ivyo inatakiwa waanze na yule mzee wa kuzira na kutishia kujitoa kwenye timu maana ndo alikuwa gwiji wa iyo michezo kwa misimu miwili yote, inaonekana kwa sasa amepunguza iyo bajeti kidogo baada ya kusimangwa
 
Ficha ujinga wako, Metacha wa wapi unayemuongelea we na frustration zako
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Metacha lina mashaka sana. Metacha amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Ni li falook shikhalo msaliti
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Kama Fairplay siku hizi rushwa basi kama Taifa tunaelekea kubaya sana
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.

Huna akili wewe pale kuna goli jepesi lililopatikana mwanzo mwisho madogo wamezidiwa
 
😂

DA8DCE4A-4D29-4465-A879-0404BEAA50A0.png
 
Back
Top Bottom