bunge

  1. J

    JamiiForums Tanzania Bunge: Mtu aliyefariki kuzikwa “popote" siyo utamaduni wa kiafrika

    Bunge limesema mtu aliyefariki anastahili kazikwa kwa mila na desturi za jamii yao na kwamba marehemu kuzikwa "popote" siyo utamaduni wa kiafrika. Hayo yamesemwa na Spika wa Bunge mh Ndugai Source ITV habari My take; Kiukweli hata DC Mmanda alipaswa kuzikwa Rombo, nakubaliana na Ndugai
  2. chiembe

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Wabunge wachangie hoja zao kwa maandishi na yatumwe kwa teknolojia, au laa, video wazirekodi zitumwe kwenye mfumo wa Bunge

    Hii inaweza kuwa mbadala kwa Bunge, michango yote iwe kwa maandishi kutoka wanakoishi na ihesabiwe kwamba yuko bungeni, au au watumie teknolojia ya video,ajirekodi huko aliko katika mazingira nadhifu anatuma video katika mtandao wa Bunge, Bunge linarusha laivu
  3. G Sam

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Wabunge: Kama mnayapenda maisha yenu basi ondokeni bungeni, sitisheni bunge maana inaonyesha hali huko ni mbaya!

    Nimeambiwa wabunge wanang'ang'ania kuingia ndani ya bunge mtu joto la mwili linasoma nyuzi joto 39 ananyimwa kuingia ndani ya ukumbi bado huelewi anatakiwa afanye nini. Ndani ya bunge maambukizi ya Corona yanashika kasi na bado mnaendelea na bunge. Sisi tusioenda shule tunawashangaa. Hamuoni...
  4. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

    Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema kuwa mmoja wa Wabunge wa Bunge hilo amethibitika kuwa ana maambukizi ya Virusi vya Corona. Amesema mbunge huyo anaendelea vizuri na Serikali inaendelea kumuangalia na kumpatia matibabu stahiki. Kwa mujibu wa maelezo ya mbunge huyo...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Katika kuhamasisha matumizi ya barakoa, Rais Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, mkijitokeza hadharani ni vizuri muwe mmevaa barakoa

    Nashauri katika kupambana na ugonjwa corona, viongozi wakuu wa kitaifa kwa maana ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, wawe wanavaa barakoa kila wanapojitokeza hadharani iwe ni katika mikutano na waandishi wa habari ingawa mikutano hii nayo inapaswa kuepekuwa au waendapo kusali katika nyumba...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Spika ajaye wa bunge la JMT atakuwa mwanaccm asiyekuwa mbunge, Dr Tulia ataendelea kuwa NS iwapo atamshinda Sugu

    Ni utabiri wangu tu kwamba Spika ajaye wa bunge hatatoka miongoni mwa wabunge bali atakuwa ni mwanaccm ambaye siyo mbunge ama wa kuchaguliwa au kuteuliwa. Naibu Spika wa sasa ataendelea na nafasi hiyo endapo atamshinda mbunge machachari na mbishi mh Mbilinyi aka Sugu pale Mbeya mjini. Pia...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya Corona, Bunge sitisheni vikao sasa

    Wamesikika kina Mwigulu bungeni wakiitisha taarifa za wagonjwa wa Corona kufichwa. Hii ni kwa manufaa ya nani? Ndugu wabunge mnaoendelea na vikao hapo bungeni nyote kabisa bila kujali vyama vyenu hamuoni kuwa mnatusaliti sisi wananchi wenu? Mwalimu (RIP) alisema kwa hivi: "nyote nani ga...
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania U Bunge Viti Maalum Wasanii 2020 reende na Juma Lokole

    Katika kuongeza nguvu za awamu ya tano. Viti Maalum Wasanii kwa pamoja wanampitisha Juma Lokole awe mrusha bendera. Maendeleo hayana chama.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Botswana: Bunge zima lawekwa karantini ya Corona baada ya muhudumu kugundulika ana maambukizi ya Covid 19

    Kwa sasa bunge la JMT linaendelea na vikao vya bajeti jijini Dodoma kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake. Napenda tu kuwapa taarifa kwa nia njema kwamba bunge zima yaani wabunge wote wa Bunge la Botswana wamewekwa katika karantini baada ya mhudumu wa bunge hilo kubainika ameambukizwa ugonjwa...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kama tunaandaa Bajeti pasipo kuzingatia athari za Corona, sitashangaa siku moja tukalazimika kuwa na Bunge la dharua ku-review upya Bajeti yetu

    Mbali na kusababisha madhara ya kijamii ni wazi corona itaathiri uchumi wetu kwani inagusu sekta muhimu kwa uchumi wa nchi yetu ambayo ni sekta ya utalii,sekta tunayoambiwa inachangia asilimia 25 ya mapato ya nchi yetu. Vile vile ikitokea ugonjwa unasambaa na kutulazimisha kufikia hatua ya...
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Lissu asema hajalipwa stahiki zake kama Spika Ndugai anavyoliambia Bunge

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amedai kuwa bado hajalipwa ‘gratuity’ (bahkshishi) yake ambayo ni asilimia 40 ya mshahara wake, tofauti na kile kinachoelezwa bungeni. Lissu amesema hayo ikiwa ni siku chache baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Bunge siyo mali ya Spika au chama cha siasa bali ni mali ya Wananchi, lisifanywe kama Huduma ya " Kilokole"

    Bunge la sasa ndio linamaliza muda wake na linategemewa kuvunjwa rasmi mwezi June panapo majaliwa. Tumeshuhudia bunge hili likipoteza wabunge wengi kwa kufukuzwa na huenda likawa limeweka historia ya nahodha kuwatosa mabaharia baharini. Yote kwa yote maisha bado yanaendelea baada ya siasa...
  13. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kishindo cha Mbowe chatikisa bunge, Amtaka Waziri mkuu kutoa ufafanuzi juu ya Corona na Tume huru ya uchaguzi

    Mara nyingi sana tumewaasa watu humu jf na kwingineko kwamba usithubutu kushindana na aliyejaaliwa , utaumia ! Watu wengi wamezungumza kuhusu Corona , lakini namna Mh Mbowe alivyouchambua ugonjwa huu ni namna ya kupigiwa mfano , huyu mtu ameshindikana , huyu Mfungwa si wa kawaida . Hakuna...
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Pongezi Mhe. Spika Kuliongoza Vyema Bunge Letu, ila Sio Busara Kutumia Bunge Kujibu Trivia Issues za Mitandaoni, Zina Downplay Hoja Rasmi za Msingi!.

    Wanabodi, Naendelea kusisitiza kwenye mazuri tupongeze, kwenye mabaya tukosea na kwenye mapungufu tushauri, katika uendeshaji wa Bunge la safari hii, kiukweli wa dhati ya moyo wangu, safari hii Mhe. Spika anajitahidi sana kuliendesha vyema Bunge letu kiasi cha kustahili pongezi Hivyo hili ni...
  15. Nyamsusa JB

    JamiiForums Tanzania GE2020 Bunge lijalo litavunja rekodi ya kupitisha hoja kwa haraka sana

    Kama wewe ni Mpenzi wa kufuatilia Vipindi vya Bunge basi Malizia Hamu yako kwa kusikiliza Bunge Hili la Sasa. Nasema hivi kutokana na Ukweli kwamba sioni dalili njema kwa Wapinzani kupita katika nafasi za Ubunge katika Uchaguzi ujao. Naona kama kuna kila Namna, Mbinu Chafu, Hujuma na pia...
  16. technically

    JamiiForums Tanzania Bunge letu ni bunge la ajabu kweli! Je wanawakilisha wananchi gani? ni wabaguzi na wabinafsi wasiludi uchaguzi ujao

    Sijui ni utoto na mzaha wa Ndungai? Au ni kibri cha Tulia Akson? Wamejipunguzia masaa ya kufanya kazi wakati mshahara wao na posho zikiwa vile vile, baada wakate pesa zao ziende kwenye kupambana na corona wao wanajipunguzia masaa ya kazi! Wanapitisha kujipunguzia masaa ya kazi kisa corona...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Kikao cha Bunge chaanza, wimbo wa Taifa waimbwa na kwaya maalum

    Karibuni. UPDATES: Spika anawakaribisha wabunge na kuwapa salamu za Rais Magufuli na kwamba wasishangae endapo mh Rais atawatembelea hapo bungeni wakati wowote kabla ya 30/6/2020. Kadhalika Spika amesema Waziri mkuu yuko Dar akiratibu shughuli za kudhibiti Corona ila kesho atakuwepo Bungeni.
  18. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Bunge la bajeti litahudhuriwa na wabunge wasiozidi 150, sijajua sheria inaruhusu au huu uamuzi ni sahihi? Na bunge kuanza saa nane mchana

    Mabadiliko katika bunge la bajeti linaloanza Machi 31, Dodoma: Hakuna maswali kwa waziri mkuu Bunge litaanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni Maswali na majibu yatatumwa kwenye 'tablets' za wabunge Kura za kupitisha bajeti zitapigwa kwa mafungu Waandishi wachache wataruhusiwa
  19. cutelove

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wamshangaa Komu kusubiri posho za ubunge, wajiandaa kumtosa

    Chama cha Chadema kimesema kimemshangaa Antony Komu kuendelea kubaki CHADEMA ili kusubiri posho na huku Imani,itikadi na falsafa ya chama cha CHADEMA hana huku akiwa na itikadi ya NCCR- Mageuzi Amesema kesho wataweka wazi kuhusu hilo na ikiwezekana watamvua uanachama
  20. The Sheriff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CoronaVirus: Mgonjwa wa kwanza wa corona apona Kenya. Watumishi wa Serikali akiwemo Rais kupunguziwa mishahara

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa mtu wa kwanza amepona kabisa ugonjwa wa corona. ''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa. Idadi ya walioambukizwa ugonjwa wa corona nchini Kenya imefikia 28. Rais pia ametangaza hatua...
Back
Top Bottom