technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Sijui ni utoto na mzaha wa Ndungai? Au ni kibri cha Tulia Akson? Wamejipunguzia masaa ya kufanya kazi wakati mshahara wao na posho zikiwa vile vile, baada wakate pesa zao ziende kwenye kupambana na corona wao wanajipunguzia masaa ya kazi!
Wanapitisha kujipunguzia masaa ya kazi kisa corona wakati wafanyakazi wengine wanafanya kazi masaa zaidi ya 12 kwanini wasiwe fare? wakapitisha maazimio ya kupumzika kwa wafanyakazi wote wa umma ? kwanini wajipendelee wao tu?
Mbunge analipwa mil 12 posho za vikao, pesa za mfuko wa jimbo lakini yapo yapo tu kama mazombi kuwatetea waliowapeleka bungeni hawawezi wapo kula pesa za bure za walipa kodi.
Mnakula pesa ya bure na mnashindwa kuwatetea watu wanaolipwa laki 5 nao wapumzike kwanini nyie mpumzike masaa yote ayo kipindi cha miezi 3 halafu mnabaki wagonga meza mnafaida gani, Watanzania hatuna bunge wabunge wote mwaka huu wasirudi bungeni ni wauni fulani na wapo kwa maslahi yao sio umma.
Wanapitisha kujipunguzia masaa ya kazi kisa corona wakati wafanyakazi wengine wanafanya kazi masaa zaidi ya 12 kwanini wasiwe fare? wakapitisha maazimio ya kupumzika kwa wafanyakazi wote wa umma ? kwanini wajipendelee wao tu?
Mbunge analipwa mil 12 posho za vikao, pesa za mfuko wa jimbo lakini yapo yapo tu kama mazombi kuwatetea waliowapeleka bungeni hawawezi wapo kula pesa za bure za walipa kodi.
Mnakula pesa ya bure na mnashindwa kuwatetea watu wanaolipwa laki 5 nao wapumzike kwanini nyie mpumzike masaa yote ayo kipindi cha miezi 3 halafu mnabaki wagonga meza mnafaida gani, Watanzania hatuna bunge wabunge wote mwaka huu wasirudi bungeni ni wauni fulani na wapo kwa maslahi yao sio umma.