johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.
Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.
Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.
Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!