Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Ninaenda kwenye uchaguzi Mkuu 2020 bila kujua mchango wa Mbunge wangu bungeni.
Bunge live lilisaidia wengi kutathmini japo sio kwa asilimia zote uimara wa Wabunge wetu kifikra.
Awali, aliyekuwa Waziri wa Habari alitoa tamko kuwa Bunge Live muda wa kazi linafanya watu waache kufanya kazi za ujenzi wa Taifa.
Hoja hii haina mashiko ya kutosha kwani Tv zinarusha matangazo mengineyo muda wa kazi!
Hapa ni nani anadhibiti kuona watazamaji hawaangalii na wanafanya kazi za kujenga Taifa?
Kwanini iwe kwa Bunge tu huku Isidingo ikirushwa saa tatu au saa tano asubuhi?
Bunge live lilisaidia wengi kutathmini japo sio kwa asilimia zote uimara wa Wabunge wetu kifikra.
Awali, aliyekuwa Waziri wa Habari alitoa tamko kuwa Bunge Live muda wa kazi linafanya watu waache kufanya kazi za ujenzi wa Taifa.
Hoja hii haina mashiko ya kutosha kwani Tv zinarusha matangazo mengineyo muda wa kazi!
Hapa ni nani anadhibiti kuona watazamaji hawaangalii na wanafanya kazi za kujenga Taifa?
Kwanini iwe kwa Bunge tu huku Isidingo ikirushwa saa tatu au saa tano asubuhi?