johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,922
Wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki wamesusia kikao na kutoka nje ya ukumbi wakipinga kupitisha muswada wa forodha.
Spika wa bunge hilo aliahirisha kikao kwa akidi kutotimia.
Source ITV habari!
Spika wa bunge hilo aliahirisha kikao kwa akidi kutotimia.
Source ITV habari!