Kambarage, Fatma Na Chumi Waapa Rasmi Kuwa Wabunge Wa Bunge La Jumuiya Ya Afrika Mashariki

Kambarage, Fatma Na Chumi Waapa Rasmi Kuwa Wabunge Wa Bunge La Jumuiya Ya Afrika Mashariki

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
5,110
Reaction score
15,375
WhatsApp Image 2026-06-01 at 22.16.28.jpeg

WhatsApp Image 2026-06-01 at 22.16.30.jpeg
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki waliopigiwa kura hivi karibuni na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao ni Ndugu Kambarage Wasira, Fatma Kange na Cosato Chumi, wameapa leo 01 Juni 2026 wakati wa kikao cha Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuanza shughuli za Bunge hilo, Jijini Arusha.
WhatsApp Image 2026-06-01 at 22.16.33.jpeg
WhatsApp Image 2026-06-01 at 22.16.38.jpeg
 
Back
Top Bottom