boy

A boy is a young male human. The term is usually used for a child or an adolescent. When a male human reaches adulthood, he is described as a man.

View More On Wikipedia.org
  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kati ya Shilole (Shishi Baby) na Juma Jux (African Boy) nani mkali zaidi?

    Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi? Kwa wale wasiofahamu nyimbo zao nimewaandikia ili mkazisikilize huko YouTube. SHILOLE 1. Lawama 2. Nakomaa na jiji 3...
  2. Damaso

    JamiiForums Tanzania Elias In The Dark

    Elias's world was a symphony of colors and textures, a whirlwind that overwhelmed his senses. The playground echoed with cacophony, the swings groaning, children's shrieks like nails on a chalkboard. His classmates were a blur of vibrant clothes and chaotic movements, their words tangled and...
  3. Neverregular

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Usafi, House Boy

    Mimi ni kijana wa miaka 25 Natafuta kazi ya Usafi, House Boy. Elimu yangu ni kidato cha 6 pia nina cheti cha udereva🙏
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Current situation:Nani kamkalisha mwenzake kati ya lunya na country boy

    since nimesaini sony music sasa hivi mitaani nimekua ankwepekabo thing driving big cars big nyashi big chains na ndoto zmekua ankwepokabo dreams riski allhamdulilaih kila chuma kikitoka ni chamoto nakua tingi tapo tingi (..oh My!!..) ndo maana hizi nasty balls ziko nane ila ukisikia kwa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Handsome boy kuliko wote jamvin

    Mzuka wanajamvi! adriz Joannah Lamomy binti kiziwi EEX
  6. Tea Party

    JamiiForums Tanzania Tyla Awabwaga Davido Na Burna Boy Kwenye Tuzo Za Grammy

    Unakumbuka Ile ngoma Water? 🎶Baby Sweat, Baby Water🎶 Sasa msanii ambaye ameimba ngoma hiyo yaani Tayla ameshinda tuzo Ya Grammy usiku huku akiwabwaga wasanii Wakubwa ikiwemo Davido na Burna Boy. Tayla ameshinda tuzo hiyo kubwa kupitia kipengele cha Best African Music Performance alichokuwa...
  7. Shining Light

    JamiiForums Tanzania Listen to the boy child

    We always talk about a girl being tormented in the society, But what is like to have to take care of a boy in the current society? Boys are often pressured to conform to traditional masculine norms, which can be restrictive and harmful. This pressure can manifest in various ways, such as...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Usimsifie mtoto wako wa kiume kuwa ni handsome boy akasikia, utamharibu

    USIMSIFIE MTOTO WAKO WAKIUME KUWA NI HANDSOME BOY AKASIKIA, UTAMHARIBU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Wazazi wengi hasa kina mama wameharibu watoto wao wa kiume kwa kuwasifia sifa hii kuwa vijana wao ni Handsome boys, Yaani wavulana wazuri wa maumbile na wenye mvuto wa kimapenzi. Huenda ni...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Tafadhali TFF mwalikeni Sure Boy katika Timu ya Taifa

    Hakuna mchezaji aliye na uwezo kama Sure Boy ambaye anaweza kuleta umoja kwa Timu ya Taifa ya Tanzania AFCON. Tunaiomba TFF imwite Sure Boy na kumpa heshima anayostahili katika nchi hii. Watu wenye uwezo wa kushika dimba ni Sure Boy na Aucho tu. TFF, tafadhali mwalikeni Sure Boy, mwiteni Sure Boy.
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Simba chukueni Mudathir, Sure Boy, Kibwana, Moloko na Farid Musa, Kocha wa Yanga hawataki

    Kwa vile hawa bado ni Wachezaji wazuri tu wanaweza kusaidia Simba kwenye michuano ya kimataifa. Taarifa zinaonyesha kwamba kocha wa Yanga hawataki
  11. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Msanii Harmonize ‘Konde Boy’ alivyotibuana na Mabaunsa Uwanja wa Mkapa, ngumi zarushwa

    Inadaiwa Msanii Harmonize na team yake ya Konde Gang walienda VVIP kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, wakati wa mapumziko, jana Usiku wa Novemba 21, 2023. Watu hao wakashuka kwa lengo la kuelekea Uwanjani inaaminika wlaitaka kwenda...
  12. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Diamond kapigwa chini kuwania tuzo ya GRAMMY, Davido, ASAKE, Burna Boy, Ayra Starr na Tyla watajwa

    Nominations za Grammy za mwaka 2024 zimetangazwa, na wasanii kama vile Drake, Ice Spice na SZA miongoni mwa wa wanaowania tuzo. Waandaaji (Recording Academy) imetaja orodha kamili ya wateule Novemba 10 kabla ya Tuzo za 66 za Grammy, zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Crypto.com huko Los Angeles...
  13. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Burna Boy agomea zaidi ya bilioni 12 kufanya show Dubai kisa kunyimwa kibali Cha kuvuta bangi. Huyu jamaa bila shaka ndiye aliyemuharibu ndugu yetu wa

    Katika hali iliyowaacha wengi mdomo wazi ni suala la African giant Burna boy kugoma kufanya show Dubai yenye thamani ya zaidi ya dola za kimarekani milioni 5 kisa tu kanyimwa kibali cha kuvuta bangi . Ukisikia bangi nibangue ndio hii sasa 🤣🤣🤣🤣🤣 Nikiangali ushikaji wa kimtindo uliopo kati yake...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Beach boy aeleza jinsi walivyokuwa wanaibua miili ya watu kwenye viroba

    Msikilize hapa akielezea kuhusu hilo akisema ni katika mambo ambayo hatokuja kusahau katika maisha yake yote. Akiulizwa ni tukio gani hatalisahau kamwe kwenye maisha yake Joseph Benard AKA Pongo Mnyama - Beach boy amesema; Kuna kipindi walikuwa wanaopoa maiti za watu kwenye viroba zilizokuwa...
  15. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu home boy majuu amebadilisha jinsia na kuwa wa kike

    Mwanangu mmoja wa kitambo sana wa mzizima ambaye tulisoma wote shule.ya msingi forodhani then Azania halafu tukakutana nae tena kibaha sekondari ameni Dm leo X ya kwamba amebadilisha jinsia kisa eti maisha magumu Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo...
  16. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Utani wa home boy mwenzake

  17. chiembe

    JamiiForums Tanzania Naytrueboy, mwanamuziki aliyewahi kuwa maarufu na tajiri amefilisika baada ya kujiunga CHADEMA

    Watanzania tuna cha kujifunza, huwa tunasikia watu wanasema "Niko tayari kufa", "Niko tayari kufanya lolote". Mabadiliko ni process ambayo hutakiwi kuibeba peke yako, ni zao la jamii kwa ujumla na kwa pamoja, usije ukaumiza familia yako na kazi zako ukiamini wewe pekee utaweza. Kama jamii...
  18. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Mwambieni “Kwevo” hivo vinjunga awaachie akina Konde Boy

    Kwa miguu hii kama minazi ya coco beach msanii wenu “Kwevo” anazingua sana kuvaa vipensi “vinjunga”. Kwaufupi anazingua.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nyimbo za Burna Boy hazina Mvuto lakini eti ndio anafunika Afrika nzima

    Najiulizi huyu mwamba ana trend Africa nzima na nje ya Africa anapagawisha sana watu, mimi nimejaribu kusikiliza nyimbo zake naona hata hazina mvuto kabisa lakini amepanda kuwa ndiye Giant kuliko wote. Nikiangalia nyimbo za Bugati - let me see ololo , who is ur guy na ile ya I wanna see with...
  20. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Tuseme ukweli: Show ya Burna Boy( NYC) imejazwa na wanaija

    Kwa wale tulio bahatika kutembea tembea duniani tunajua wanaija wapo wengi sana kila mahali.. Jijini New York, kitongozi cha "the bronx" ni kama Lagos ndogo, wanaija wamejaa kibao.. hata ukisikia sauti za back ground wanao sing along na Burna Boy kwenye hiyo show yake unasikia lafudhi za...
Back
Top Bottom