biashara

  1. Albert Einstein

    Zitto anafahamika kwa biashara ya siasa

    Wasalaam Na Galila Wabanh'u Nimesoma makala ya Mhe Zitto Zubeir Kabwe mbunge wa Kigoma mjini akipotosha juu ya mradi wa bandari ya Bagamoyo kama moja ya mradi unaopaswa kutekelezwa katika eneo hilo pamoja na ujenzi wa reli yetu ya kisasa ya SGR. Kwa wasiofahamu Ndugu Zitto anajulikana kwa...
  2. M

    Msaada Ushauri, Maoni, nini nifanye baada ya kama miaka 10 ya chuo

    Mimi ni mwenyeji humu niwe mkweli. Course niliyosoma ni Antholopology and Tourism. Nilibahatika kuanya kazi kampuni moja ya wachina kama customer services department ya sale and marketing kwa miaka mitano(5), Hii nafasi niliitendea haki nilifanya kwa ustadi mkubwa bonasi za wiki nilipata sana...
  3. Aerma

    Biashara

    Laptop model: Lenovo Ideapad 330 Ram: 4 gb Hard driver: 500 gb System Type:64-bt Operating System,64-based processor Price:550000/= tsh
  4. Sky Eclat

    The happiest King in the world

    King Mswati III (51) wa eSwatini amenunua magari 19 na amewazawadia wake zake (zaidi ya 14) magari hayo mapya ya kifahari aina ya Rolls-Royce Phantom. Hatua hiyo imekosolewa kutokana na nchi hiyo kuwa na hali mbaya kiuchumi, huku baadhi ya wananchi wakikosa baadhi ya huduma za msingu. Mwaka...
  5. deni

    Nimeacha kazi: Nianzie wapi kwenye biashara?

    Habari zenu wana jamvi, Nimeacha ajira kwa hasira. Nimefanya maamuzi ya kipuuzi? sijui! Ngoja nianzie mbali kidogo kuwasimulia: Nilihitimu Shahada yangu ya Uhandisi mwaka jana na baada ya kukaa mtaani kwa miezi mitatu tu nilifanikiwa kupata ajira. Nilipata ajira kama fundi mchundo (Technician)...
  6. JamiiForums

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Wakuu, Kutokana na wadau kadhaa kuja na mijadala anuai inayoonyesha kuwa wanayo mitaji yenye kuanzia kiasi cha TZS 100,000/= hadi TZS 999,999/=, tumeona ni vema tukawa na mjadala mmoja endelevu ambao utatoa mawazo mbalimbali ya jinsi ya kutoka kimaisha ukiwa na mtaji huo. Aidha, tunashauri...
  7. E

    Kozi nzuri za biashara

    Wadau, Kwanza pole na kazi. Naombeni ushauri. Nataka nijiendeleze kimasomo kwa sasa nina Bachelor of Arts in Economics. Nichukue Masters ipi ambayo itaendana na kasi ya ajira kwa sasa? Nahisi kutaka kubadili kozi au kusoma diploma as an added advantage. Naomben ushauri.
  8. J

    Joseph Kasheku (Musukuma): Nitapeleka hoja binafsi bungeni kudai kila mkoa ununue ndege zake za kufanya biashara

    Mbunge wa Geita Vijijini mh Joseph aka Musukuma amesema atapeleka hoja binafsi Bungeni ili kila mkoa umiliki ndege zake za kibiashara. Musukuma amesema hoja yake bungeni itabainisha namna ya ndege hizo zitakavyofanya biashara ili kuwepo na ushindani wa halali wa kibiashara baina ya mkoa na...
  9. Miss Zomboko

    Wakamatwa kwa kufanya biashara ya kubadili fedha bila leseni

    Polisi Mkoani Mbeya inawashikilia watu 14 kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na leseni kutoka Benki Kuu (BoT) kwenye mpaka wa Tanzania na Malawi, Kasumulu Wilayani Kyela Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Eurich Matei, amesema watuhumiwa hao walikamatwa jana...
  10. beth

    Benki ya Dunia: Vikwazo 12 vya kufanya biashara Tanzania

    LICHA ya serikali kuboresha mazingira ya kufanya biashara nchini, Ripoti ya Benki ya Dunia (WB) imetaja vikwazo 12 vya ufanyaji biashara nchini. Katika ripoti hiyo ya mwaka 2019/20 imeonyesha kuwa Tanzania imeboresha baadhi ya mambo kiasi ya kuifanya kushika nafasi ya 141 kati ya 190 mwaka huu...
  11. maroon7

    Biashara ya branding na marketing agency

    Wakuu napenda wenye kuijua hii biashara ya branding na marketing agency/promotions. Tupeane ujuzi maana ni biashara ninayotaka kuifanya maana makampuni mengi yana outsource marketing/ promotion ya bidhaa zao au uzinduzi wa chupa mpya na ukipata makampuni makubwa unavuta pesa ndefu. Tupeane...
  12. Mbu

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Wajameni eeh, Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania. Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e biashara gani inalipa (plus location), kwa muda gani, na SWOT analysis zake). =======
  13. Makirita Amani

    Kitabu: Biashara ndani ya ajira, toleo la pili, Oktoba 2019

    Rafiki yangu mpendwa, Mwezi Oktoba mwaka 2016 nilitoa toleo la kwanza la kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA. Kitabu ambacho kilikuwa na maarifa na mwongozo sahihi kwa yeyote anayetaka kuingia kwenye biashara lakini kazi inakuwa kikwazo kwao. Nilitoa kitabu hiki baada ya kujifunza kwa wengi...
  14. wickerman

    Pesa binafsi, usimamizi wa pesa, biashara na utajiri

    Nimesoma hii makala sehemu moja huko kwenye intaneti nikasema sio mbaya kama nikiitafsiri ili iweze kueleweka kwa wote, pia nimebadilisha baadhi ya mifano kuendana na mazingira yetu, maana imenigusa kwa namna fulani. Nimeambatanisha PDF ya nakala zote mbili ya kiingereza na kiswahili...
  15. sumu-ya-panya

    Biashara Hizi ukianzisha utafanikiwa haraka

    moja kwa moja kwenye point........... 1 BIASHARA YA DAWA YA NGUVU ZA KIUME hii biashara utaiuza sehemu yoyote ile haiitaji ufanye uatafiti au ukanunue dawa .we nenda porini angali majani mbuzi anakula majani uwo mti sio sumu kata vipande au sagasaga waambie wachemshe wanywe wasifanye ngono...
  16. Hassan samaras

    Biashara ya madini ya dhahabu

    Hello natumai wote ni wazima kabisa na wa afya iliyo bora kabisa, Jamani mimi nataka nijue haswa biashara ya madini ya dhahabu ni shilingi ngapi kwa gram1? Na je ukiwa na 3million unaweza kuianza.
  17. konabar

    Natafuta partner tufanye biashara ya zao la ufuta

    Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Naishi Rufiji Bungu, ni eneo linalo jishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. Kipindi hiki nikipindi ambacho ufuta unavunwa kwa hiyo wakulima wanauza ufuta kwa watu wenye mitaji kwa tsh 2000/= kwa kilo Na serikali inatarajia...
  18. JacobMushi

    Mfahamu Jacob Mushi

    Jacob Mushi ni Mwandishi (Author), Kocha wa Mafanikio(Success Coach), na Mjasiriamali. Kiu yake kubwa ni kuona wewe unakuwa mtu bora, unatimiza ndoto zako na unaishi Maisha ya mafanikio. Kwa kupitia Kazi Zake Maisha ya wengi yamekuwa bora na kufanikiwa. Kwa kupitia kazi yake ya Uandishi pekee...
  19. D

    MADEREVA WA UBER ,TAXIFY NA ROVA.

    Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam SIFA ZAO ★Wanajua ufundi wa magari ★Wamepitia mafunzo ya udereva ★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu ★wastaarabu ★Wasafi Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva kupitia Email hapo...
  20. isajorsergio

    Zero IQ mtayarishaji wa JF-HardTalk umepotea nini tatizo?

    Ndugu Zero IQ mratibu, muandaaji na mtayarishaji wa JF Hardtalk umepotea ni muda sasa nini tatizo?! Uhitaji wa hardtalk ungali upo kwa sababu ilianza kusaidia kuwatambua wana-JF uwezo, mitazamo na maono yao kwa uwazi mkubwa. Ndugu Zero IQ kama ulisitisha muendelezo wa hardtalk tafadhari anza...
Back
Top Bottom