sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 690
- 751
Ndugu zangu salaam,
Mwaka 2013 kulianzishwa uzi humu ukiwa unazungumzia kuwa mtu anajenga nyumba kwa ajili ya kupangisha hawezi kupata faida, great thinkers Wengi walitoa maoni na mitazamo yao.
Miaka imepita, sera zimebadilika,uwekezaji umeongezeka na idadi ya watu mijini imeongezeka, kipekee napenda tusikie mawazo kutoka kwa waliojenga nyumba za kupangisha jinsi zinavyowalipa na kupunguza umaskini au jinsi zinavyongeza umaskini, mawazo hayo ni msaada kwa wengine walio na nia ya kufanya biashara hiyo.
Mwisho nawapongeza wote tulioshiriki kuingiza Tanzania katika nchi zenye uchumi wa Kati.
Asanteni
Mwaka 2013 kulianzishwa uzi humu ukiwa unazungumzia kuwa mtu anajenga nyumba kwa ajili ya kupangisha hawezi kupata faida, great thinkers Wengi walitoa maoni na mitazamo yao.
Miaka imepita, sera zimebadilika,uwekezaji umeongezeka na idadi ya watu mijini imeongezeka, kipekee napenda tusikie mawazo kutoka kwa waliojenga nyumba za kupangisha jinsi zinavyowalipa na kupunguza umaskini au jinsi zinavyongeza umaskini, mawazo hayo ni msaada kwa wengine walio na nia ya kufanya biashara hiyo.
Mwisho nawapongeza wote tulioshiriki kuingiza Tanzania katika nchi zenye uchumi wa Kati.
Asanteni