mahadhialy
Member
- Oct 19, 2019
- 45
- 24
Habari zenu wakuu, ninaomba kujuzwa kuhusu biashara ya usafiri je ni biashara gani kati ya hizi.
1.Biashara ya mabasi ya mikoani, hii itakuwa inahusu mabasi ya abiria wa mikoani, ninaomba mnijuze taratibu hizi;
(a)Gharama za uanzishaji.
1.Biashara ya mabasi ya mikoani, hii itakuwa inahusu mabasi ya abiria wa mikoani, ninaomba mnijuze taratibu hizi;
(a)Gharama za uanzishaji.