Nianze kwa kusema wazi!
Inchi yetu ipo kwenye mfumo wa "SOKO HURIA"
Inakuwaje kila Mara bidhaa inapoadimika Serikali inakimbilia kukamata Mali za wafanya biashara kwa (kupoka) kisa mtaani zimeadimika? ikumbukwe wafanya biashara Hawa wanazimiliki bidhaa hizo kihalali na wamelipia ushuru Sasa serikali inatumia sheria gani kuwapora?
Tupo kwenye Soko HURIA, Kila mfanyabiashara anahaki ya kuamua mda gani auze bidhaa yake Kama kazipata kihalali!
Kama serikali inataka ku-control si itafte namna ya kukaa chini na hao wafanyabiashara kidemocrasia?
Kama serikali inataka Ku-control bidhaa si Kuna maghara ya Serikali kwanini wasikisanye bidhaa ya kutosha ili ku-balance Soko HURIA?
TULIONA KWENYE SUKARI, SANITIZER NA SASA KWENYE MAFUTA!
Kwanini serikali inatumia njia ya kizamani Sana ya KUTAIFISHA NA KUFUNGIA WATU ambao hawana hatia kwasababu Mali wamezipata kihalali na Kodi wakalipia inakuwaje uwapangie mda wa kuuza?
Mtu anafunga stock either kasafili kaamua kufunga store yanini kumfilisi bidhaa zake halali?
AU Wataalam tusaidiane Hapa, je, Ni SURUHISHO kuwakamata wafanya biashara wanaoficha Mali zaowakati tuko kwenye SOKO HURIA?
Inchi yetu ipo kwenye mfumo wa "SOKO HURIA"
Inakuwaje kila Mara bidhaa inapoadimika Serikali inakimbilia kukamata Mali za wafanya biashara kwa (kupoka) kisa mtaani zimeadimika? ikumbukwe wafanya biashara Hawa wanazimiliki bidhaa hizo kihalali na wamelipia ushuru Sasa serikali inatumia sheria gani kuwapora?
Tupo kwenye Soko HURIA, Kila mfanyabiashara anahaki ya kuamua mda gani auze bidhaa yake Kama kazipata kihalali!
Kama serikali inataka ku-control si itafte namna ya kukaa chini na hao wafanyabiashara kidemocrasia?
Kama serikali inataka Ku-control bidhaa si Kuna maghara ya Serikali kwanini wasikisanye bidhaa ya kutosha ili ku-balance Soko HURIA?
TULIONA KWENYE SUKARI, SANITIZER NA SASA KWENYE MAFUTA!
Kwanini serikali inatumia njia ya kizamani Sana ya KUTAIFISHA NA KUFUNGIA WATU ambao hawana hatia kwasababu Mali wamezipata kihalali na Kodi wakalipia inakuwaje uwapangie mda wa kuuza?
Mtu anafunga stock either kasafili kaamua kufunga store yanini kumfilisi bidhaa zake halali?
AU Wataalam tusaidiane Hapa, je, Ni SURUHISHO kuwakamata wafanya biashara wanaoficha Mali zaowakati tuko kwenye SOKO HURIA?