arusha

  1. digba sowey

    Madiwani watano wa CHADEMA jiji la Arusha wajivua madaraka

    Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk Maulid Madeni amesema amepokea barua za kujiuzulu za madiwani watano wa Chadema Jiji la Arusha. Mbali na barua hizo za kujiuzulu, madiwani hao pia wamemuandikia barua katibu wa CCM Wilaya ya Arusha wakiomba kujiunga na chama hicho tawala nchini Tanzania...
  2. Cyangungu

    Inatarajiwa madiwani kumi na wawili wa Chadema Arusha mjini watajiunga na CCM kuanzia kesho

    Acha wale watano waliounga juhudi leo kuna namba kubwa zaidi tena ikitarajiwa kuamua kwa pamoja kurejea CCM muda wowote kuanzia kesho. Duru zinatabanaisha maombi ya madiwani hao yapo mezani yakifanyikiwa kazi na Ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha na hata wangeruhusiwa leo kufanya hivyo wangefanya...
  3. elivina shambuni

    Serikali yaridhishwa na utekelezaji mradi mkubwa wa maji Arusha

    SERIKALI imeonyesha kuridhishwa na utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji uliogharimu shilingi bilioni 520 unaotekelezwa katika halmashauri ya jiji la Arusha kwa lengo la kuhudumia wananchi. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira kutoka Wizara ya Maji...
  4. Influenza

    Arusha: Aliyekuwa Mgombea wa Ujumbe katika Serikali ya Mtaa akutwa kwake akiwa amefariki huku akiwa na alama kukatwa shingoni

    Aliyekuwa Mgombea katika nafasi ya Ujumbe wa Serikali ya Mtaa ya eneo la Mnara wa Voda, kupitia CHADEMA kabla ya Chama hicho hakijajitoa kushiriki, Sirili Homary amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake huku akidaiwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha...
  5. Analogia Malenga

    Baraza la madiwani kuamua hatima ya umeya Arusha

    Arusha. Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha linatarajia kukutana hivi karibuni kuamua hatima ya nafasi ya meya wa jiji hilo, baada ya Calist Lazaro kujiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na CCM. Lazaro alijiunga CCM juzi na kupoteza nafasi zake za udiwani, umeya, uenyekiti wa mameya na madiwani wa...
  6. B

    Rushwa Imekithiri Baraza la Ardhi na Nyumba Arusha

    Licha ya kuwa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Jemedari Rais Mhe. John Magufuli kuwa katika mstari wa mbele kupiga vita rushwa, lakini katika hali ya kusikitisha vitendo vya rushwa vimekithiri Baraza la Ardhi na Nyumba Arusha. Wengi wa wanaohitaji huduma kutoka kwa waheshimiwa...
  7. MsemajiUkweli

    Godbless Lema: Kuna mwingine atahama CHADEMA baada ya Meya wa Jiji la Arusha kuhamia CCM

    Maneno hayo ameyaandika kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii baada ya aliyekuwa Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro kujiunga na CCM. Calist Lazaro alikuwa rafiki wa karibu na Godbless Lema tokea wakiwa wote wanachama wa TLP kabla ya wote kuhamia CHADEMA. Inasemekana Godbless Lema...
  8. Erythrocyte

    GE2020 Lema amtaka Humphrey Polepole kugombea ubunge Arusha Mjini

    Hii ni baada ya Polepole kuropoka kwamba CCM itashinda ubunge Arusha Mjini . Lema amemtaka Polepole kuchukua fomu yeye mwenyewe binafsi na apande jukwaani ili kupambana naye kwa lengo la kukata mzizi wa fitna , Polepole pia ameombwa kuchukua polisi wote wa Arusha wamlinde yeye tu na kura zote...
  9. Influenza

    Arusha: TAKUKURU yamtia mbaroni muweka hazina wa kikundi aliyedai fedha zimepotea kishirikina

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inamshikilia Mweka Hazina wa Kikundi cha Ujasiriamali cha Imani kwa tuhuma za kula Tsh. Million 39 za Wanakikundi na kudai zimeyeyuka kishirikina Wanakikundi 28 juzi walikesha wakilia nyumbami kwa muweka hazina huyo, Halima Mwidadi, Mkazi wa...
  10. Jamii Opportunities

    Instructor II (Electrical) at Arusha Technical college

    Employer: Arusha Technical college ATC Date Published: 2019-11-15 JOB SUMMARY: DUTIES AND RESPONSIBILITIES: (i) Teaches up to NTA level 6 and may assist teaching in higher NTA levels; (ii) Assists in conducting tutorial and practical exercises for students under close supervision; (iii)...
  11. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi serikalini, Arusha Technical collage, Mzumbe University na Ocean Road Cancer Institute

    VACANCY ANNOUNCEMENT On behalf of Tanzania Forest Services Agency (TFS), Mzumbe University (MU), The Ocean Road Cancer Institute (ORCI) and Arusha Technical College (ATC), President’s Office Public Service Recruitment Secretariat invites competent, experienced, highly organized and...
  12. MAKOLE

    Safiri salama, safiri kwa usalama kati ya Arusha Dar via Korogwe

    Nipongeze idara ya hali ya hewa kwa kazi kubwa wanayoifanya, Kwa hali ya hewa ilivyo kwa hapa Korogwe na kulingana na uzoefu wa hivi karibuni juu ya athari za mvua zinazoendelea kunyesha, ni vema wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Arusha Dar kupitia Korogwe wakachukua tahadhari kutokana na...
  13. M

    Radio 5 Arusha

    Wadau, Sijaisikia hii radio station kitambo sasa hasa kwa frequency za Dar. Kwa waliopo Arusha vp tujuzane hii radio bado ipo active au ilishakufa kifo cha mende. Nawasilisha
  14. K

    Hongera Wazalendo Industries ltd - Arusha kuweka mpango kutengeneza pikipiki

    Kutokana na gazeti la leo "Daily News" 31/10/2019 kuonyesha kwamba hawa "Wazalendo Industries Ltd" Arusha wana mpango kuanza kutengeneza pikipiki kutokana na kwamba sasa hivi wanatengeneza vifaa vya pikipiki, naona kweli watasaidia vijana wengi kupata ajira na kujikwamua katika maisha magumu...
  15. Miss Zomboko

    Mvua zasababisha abiria wa Dar, Arusha na Kilimanjaro kukwama njiani zaidi ya saa 20

    Mamia ya Wananchi (abiria) waliokuwa wanasafiri kutoka Arusha, Kilimanjaro na nchi jirani na waliotoka Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali wamekwama tangu jana mchana wilayani Korogwe na Handeni Mkoa wa Tanga sababu zikielezwa ni kutokana na maji kupita juu ya daraja la Mandera na kulisomba...
  16. Boniphace Kichonge

    Hongera Prof. Sedokaya kwa utendaji uliotukuka umeleta mabadili makubwa chuo cha uhasibu Arusha

    Wadau wa JF. Nimepata taarifa ya mabadiliko makubwa kufuatia Uteuzi wa Professor Eliaman Sedoyeka kuongoza Chuo Cha Uhasibu Arusha hivi karibuni. Msomi huyo Kijana, Mchapakazi, Mzalendo na Mwenye Maono naambiwa amethibitisha ubora wake kwa kuleta mabadiliko chanya maeneo mbalimbali k.m 1...
  17. WKawishe

    Cctv camera installation Arusha

    CCTV INSTALLATION We are dealing with; ✴CCTV Camera Installation and Repair ✴LAN Installation ✴Computer Service & Repair ✴Electrical Fence Installation Also we can connect CCTV camera directly to your mobile phone. ️ Contract us : 📶0716128815 (Call & WhatsApp 24/7) Location: Arusha
  18. client

    Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

    Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki, shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha...
  19. DALLAI LAMA

    Mfanyabiashara Maarufu wa Tanzanite, Erasto Msuya apigwa Risasi na kufariki papo hapo!

    Mfanyabiashara maarufu wa madini Mererani na Mmiliki wa SG RESORT ya Arusha, Bw. Erasto Msuya Amepigwa risasi ndani ya gari lake na kufa papo hapo mida hii akitokea Mererani kuelekea Moshi. Yasemekana wauaji wamekimbia na briefcase lake. PICHA: Mwili wa Erasto Msuya ukiwa umelala chini baada...
Back
Top Bottom