johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Rais Magufuli amesema kuna watu wanadai anamchukia Mrisho Gambo na kwamba alimfukuza kazi ya mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hiyo siyo kweli.
Gambo alinifata akaniomba agombee ubunge ili aiokoe Arusha ambayo inaonekana kukwama, amesema Dr Magufuli.
Ningekuwa namchukia ningempitisha kugombea ubunge? ameuliza.
Nileteeni Mrisho Gambo kwa ajili ya maendeleo ya Arusha amesisitiza Dkt. Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Gambo alinifata akaniomba agombee ubunge ili aiokoe Arusha ambayo inaonekana kukwama, amesema Dr Magufuli.
Ningekuwa namchukia ningempitisha kugombea ubunge? ameuliza.
Nileteeni Mrisho Gambo kwa ajili ya maendeleo ya Arusha amesisitiza Dkt. Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!