Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
mutamuuaTusiogope nini sasa
Mna mgombea ukiacha tu kwamba ni wa ovyo sana, lakini pia ni kaa gari mkweche..siku 3 barabarani..siku 7 gereji.Safi sana, ila kila la heri pia, ...
hahaha...wewe hujamuona wa Mali yule amekamatwaa na kupinduliwa hapohapo...inawezekana Mgambo anajaribu kupindua mezaRais anakamatwa huyu atakuwa rais fake
eti anaenda kukarabatiwa ...... hahahaahha Lissu bwanaMna mgombea ukiacha tu kwamba ni wa ovyo sana, lakini pia ni kaa gari mkweche..siku 3 barabarani..siku 7 gereji...
Ameingia gereji sasa..!!
Mapumbavu ya ccm mna hali mbaya sana..
Hahahahahahahahaha.
CCM kwisha kazi !Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kupitia Chadema amekamatwa na polisi jijini Arusha muda mfupi uliopita.
Chanzo ni yeye mwenyewe mhe. Godbless Lema kupitia akaunti yake ya Instagram.