arusha

  1. Kylen stone

    JamiiForums Tanzania Nimechaguliwa kwenda Chuo cha Ufundi Arusha, naomba muongozo

    Habari zenu wakuu, Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi. Napiga simu haipokelewi. Nilikuwa naomba msaada wenu
  2. Linguistic

    JamiiForums Tanzania Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

    Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa. . Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero. ...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Driver – Heavy Duty Truck at Institute of Accountancy Arusha (2 Posts)

    VACANCY ADVERTISEMENT The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering Undergraduate and Postgraduate training programmes. It is established by the Institute of Accountancy Arusha Act No.1 of 1990 and is located at Njiro Hill, seven kilometers Southern-East of...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Drivers at Institute of Accountancy Arusha (2 Posts)

    VACANCY ADVERTISEMENT The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering Undergraduate and Postgraduate training programmes. It is established by the Institute of Accountancy Arusha Act No.1 of 1990 and is located at Njiro Hill, seven kilometers Southern-East of...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Bei na masoko ya Garnets na Tourmaline Tanzania

    Habarin wana JF, naombeni wenye uealewa na soko la garnets na tourmaline kwa sasa 2022, dealers wazur na mengineyo anisaidie. Pia mm ndo first time nimeupata huu mzgo chimbo na nimeuchimba mwenyew, n mzgo wa ukwel? From the picture
  6. T

    JamiiForums Tanzania Bei na masoko ya Garnets na Tourmaline Tanzania

    Habarin wana JF, naombeni wenye uealewa na soko la garnets na tourmaline kwa sasa 2022, dealers wazur na mengineyo anisaidie. Pia mm ndo first time nimeupata huu mzgo chimbo na nimeuchimba mwenyew, n mzgo wa ukwel? From the picture
  7. Iziwari

    JamiiForums Tanzania Tunapiga windows 11 tupo Arusha AICC ajira leo

    Kwa wale wanafunzi na mtu yeyote binafsi ambae angependa kuweka windows 11 kwenye mashine yake. Tunaweka window 11 ki proffesional zaidi. Tunakuwekea ikiwa na keys na application zinginezo kama Integrated / Pre-installed: - Updates are integrated until 8 May, 2022 Chorme Winrar 7Zip Vlc Winamp...
  8. Mkaruka

    JamiiForums Tanzania Tabia ya vijana wa Arusha kugeuka Omba Omba na kujiuza kwa Watalii inadhalilisha sana!!!

    Hili suala sijui litakuja kuisha lini, maana noana linaongezeka kila siku.
  9. idoyo

    JamiiForums Tanzania Miji muhimu ya Kifedha Tanzania, nje ya Dar: Mwanza, Arusha, Moshi

    .
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari - 2022: Rais Samia awahimiza wanahabari kuzingatia mila na desturi za Kiafrika

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani (WPFD) ambayo inafanyika leo Mei 3, 2022 Jijini Arusha. Kabla ya Rais Samia kuanza kuzungumza, mijadala imeendelea ukumbini: DKT. RIOBA: MAMLAKA ZINAPATA UGUMU KUZUIA NGUVU YA DIGITALI...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja bei nafuu vinauzwa Arusha

    Maeneo yanauzwa maji ya chai Bei ni milioni 5 kwa 20×20 milioni 7 kwa 30×20 milioni 4 kwa 10×20 umeme na maji vipo manthari Ni nzuri na kuvutia majirani wameshahamia barabara zinapitika wakati wote Umbali wa maeneo Ni km 28 kutokea Arusha mjini na km 25 kutokea KIA airport viwanja sio vya...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda na Gharama

    Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Marekani ni sahihi kabisa ila kuzindua Filamu Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda. Kama serikali ilikua serious ilipaswa filamu hiyo baada ya kuzinduliwa Marekani, ikazinduliwe Ulaya na Kisha Asia kama Japan, China, South Korea, Malaysia...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Mwijaku: Arusha ndio mji pekee Mlima Kilimanjaro unapatikana

    Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania. Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro. Mwijaku amekuwa...
  14. Stroke

    JamiiForums Tanzania Mapokezi kesho Arusha: Watu wanalazimishwa kufanya usafi

    Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha. Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani. Kama ni udikteta ndio huu.
  15. Shujaa-zamani

    JamiiForums Tanzania Nina mpango wa kuhamia Arusha, wenyeji naomba majibu ya maswali yangu machache

    Hamjambo! Nitaenda nchi la Tanzania kukaa katika eneo la mto wa Usa. Mini ni mtu mweusi na mwanaume. Ninataka kuunganisha na jamii ya Usa. Je, kuna vitambaa amavyo ninapaswa kuvaa? Nikitaka vitambaa vilivyotengenezwa, nitanunua wapi? Nitapofika ninaweza kupata wapi vikundi vya kijamii, ni...
  16. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Arusha: Mtandao wa kuteka, kubaka, kupora wanawake maarufu waanza kudakwa

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili wanaodaiwa kuwa ni viongozi wa mtandao wa utekaji, uporaji na ubakaji wa wanawake maarufu jijini hapo. RPC wa Arusha, Justine Masejo amethibitisha kukamatwa kwa watu hao na kuongeza kuna wengine wawili wamekamatwa wakihusishwa na tukio...
  17. Abuu omary

    JamiiForums Tanzania Huduma ya Package Designing

    Karibu Africa Rise Up, upate design ya uhakika ya bidhaa yako kutoka kwa professional designers wetu. Tunapatikana Mianzini Mataa. Bei:35000/= Tupigie namba: 0788 429 756 0752 466 942
  18. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania The Royal Tour ndani ya Arusha April 28, 2022

    Hongera Mkoa wa Arusha, mmepata upendeleo. Royal Tour ndani ya jiji, ndani ya ukumbi wa AICC. Tarehe tajwa hapo juu. Ngoja tuone uzinduzi huo wa kwanza Tanzania na wa aina yake Mgeni Rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Arusha: Sita wafariki ajali ya Lori, Noah

    Watu sita wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali ya gari baada ya Toyota Noah kugongana na Lori aina ya Scania katika eneo la Alkatani, Kata ya Sepeko, Tarafa ya Kisongo Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha usiku wa kuamkia leo Aprili 20, 2022. Ajali hiyo imetokea katika...
  20. BigTall

    JamiiForums Tanzania Ukatili wa kijinsia Arusha bado upo juu, wasichana ni waathirika wakubwa

    Vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto Mkoani Arusha bado vipo juu, hivyo elimu zaidi inatakiwa kutolewa kuhakikisha jamii inaepukana na vitendo hivyo. Aidha, takwimu za mwaka 2021 zinaonyesha kuwa kwa Mkoa wa Arusha jumla ya wanawake 4,510 walifanyiwa ukatili wa kijinsia, huku...
Back
Top Bottom