Habari zenu wakuu,
Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi.
Napiga simu haipokelewi. Nilikuwa naomba msaada wenu
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
...
VACANCY ADVERTISEMENT
The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering Undergraduate and Postgraduate training programmes. It is established by the Institute of Accountancy Arusha Act No.1 of 1990 and is located at Njiro Hill, seven kilometers Southern-East of...
VACANCY ADVERTISEMENT
The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering Undergraduate and Postgraduate training programmes. It is established by the Institute of Accountancy Arusha Act No.1 of 1990 and is located at Njiro Hill, seven kilometers Southern-East of...
Habarin wana JF, naombeni wenye uealewa na soko la garnets na tourmaline kwa sasa 2022, dealers wazur na mengineyo anisaidie.
Pia mm ndo first time nimeupata huu mzgo chimbo na nimeuchimba mwenyew, n mzgo wa ukwel? From the picture
Habarin wana JF, naombeni wenye uealewa na soko la garnets na tourmaline kwa sasa 2022, dealers wazur na mengineyo anisaidie.
Pia mm ndo first time nimeupata huu mzgo chimbo na nimeuchimba mwenyew, n mzgo wa ukwel? From the picture
Kwa wale wanafunzi na mtu yeyote binafsi ambae angependa kuweka windows 11 kwenye mashine yake. Tunaweka window 11 ki proffesional zaidi. Tunakuwekea ikiwa na keys na application zinginezo kama
Integrated / Pre-installed:
- Updates are integrated until 8 May, 2022
Chorme
Winrar
7Zip
Vlc
Winamp...
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani (WPFD) ambayo inafanyika leo Mei 3, 2022 Jijini Arusha.
Kabla ya Rais Samia kuanza kuzungumza, mijadala imeendelea ukumbini:
DKT. RIOBA: MAMLAKA ZINAPATA UGUMU KUZUIA NGUVU YA DIGITALI...
Maeneo yanauzwa maji ya chai
Bei ni milioni 5 kwa 20×20
milioni 7 kwa 30×20
milioni 4 kwa 10×20
umeme na maji vipo manthari Ni nzuri na kuvutia majirani wameshahamia barabara zinapitika wakati wote
Umbali wa maeneo Ni km 28 kutokea Arusha mjini na km 25 kutokea KIA airport viwanja sio vya...
Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Marekani ni sahihi kabisa ila kuzindua Filamu Zanzibar, Arusha na Dar es Salaam ni kupoteza muda.
Kama serikali ilikua serious ilipaswa filamu hiyo baada ya kuzinduliwa Marekani, ikazinduliwe Ulaya na Kisha Asia kama Japan, China, South Korea, Malaysia...
Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania. Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro.
Mwijaku amekuwa...
aibu
arusha
bongo
bongo movie
clouds
clouds fm
kilimanjaro
kubwa
kusema
mji
mlima
mlima kilimanjaro
movie
msanii
mwijaku
pekee
ulipo
utalii
wakati
watangazaji
Hamjambo!
Nitaenda nchi la Tanzania kukaa katika eneo la mto wa Usa. Mini ni mtu mweusi na mwanaume. Ninataka kuunganisha na jamii ya Usa. Je, kuna vitambaa amavyo ninapaswa kuvaa? Nikitaka vitambaa vilivyotengenezwa, nitanunua wapi?
Nitapofika ninaweza kupata wapi vikundi vya kijamii, ni...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili wanaodaiwa kuwa ni viongozi wa mtandao wa utekaji, uporaji na ubakaji wa wanawake maarufu jijini hapo.
RPC wa Arusha, Justine Masejo amethibitisha kukamatwa kwa watu hao na kuongeza kuna wengine wawili wamekamatwa wakihusishwa na tukio...
Karibu Africa Rise Up, upate design ya uhakika ya bidhaa yako kutoka kwa professional designers wetu.
Tunapatikana Mianzini Mataa.
Bei:35000/=
Tupigie namba: 0788 429 756
0752 466 942
Hongera Mkoa wa Arusha, mmepata upendeleo.
Royal Tour ndani ya jiji, ndani ya ukumbi wa AICC.
Tarehe tajwa hapo juu.
Ngoja tuone uzinduzi huo wa kwanza Tanzania na wa aina yake
Mgeni Rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Watu sita wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali ya gari baada ya Toyota Noah kugongana na Lori aina ya Scania katika eneo la Alkatani, Kata ya Sepeko, Tarafa ya Kisongo Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha usiku wa kuamkia leo Aprili 20, 2022.
Ajali hiyo imetokea katika...
Vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto Mkoani Arusha bado vipo juu, hivyo elimu zaidi inatakiwa kutolewa kuhakikisha jamii inaepukana na vitendo hivyo.
Aidha, takwimu za mwaka 2021 zinaonyesha kuwa kwa Mkoa wa Arusha jumla ya wanawake 4,510 walifanyiwa ukatili wa kijinsia, huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.