Bilioni 12: Arusha kupata maji kwa 100%

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Apr 26, 2022
259
353
Katika mwaka wa fedha 2022/23 Mamlaka ya Maji katika jiji la Arusha litatumia Sh. Bilioni 12 kutekeleza mradi wa maji ambao utafanya jiji hilo la kitalii kupata maji wa 100%

Kwa sasa usambazaji wa maji katika jiji la Arusha ni 75% na baada ya uwekezaji huu wa Bilioni 12 basi hadi ifikapo 2023 Jiji la Arusha litakuwa na maji 100%.
 
Wafanye jambo maji ya Arusha yasiharibu meno ya watu. Hapa natafuta pesa kusafisha meno yangu 😎
 
Hivi ni nini shida kuvuta maji kutoka Ziwa Victoria Mara kupitia Manyara hadi Arusha?

Kama yanapelekwa Dodoma inashindikana nini kupelekwa Kaskazini? , sina uhakika kama maji ya Ziwa Manyara na Babati,Natron ujazo wake yanatosha kusambazwa kwa matumizi makubwa zaidi ya watu wanaozunguka maeneo hayo.

Serikali haijawahi kuwaza katika hili au ni jambo la kitaalamu?

Nahoji tu.
 
Hivi ni nini shida kuvuta maji kutoka Ziwa Victoria Mara kupitia Manyara hadi Arusha?

Kama yanapelekwa Dodoma inashindikana nini kupelekwa Kaskazini? , sina uhakika kama maji ya Ziwa Manyara na Babati,Natron ujazo wake yanatosha kusambazwa kwa matumizi makubwa zaidi ya watu wanaozunguka maeneo hayo.

Serikali haijawahi kuwaza katika hili au ni jambo la kitaalamu?

Nahoji tu.
Kwan uliambiwa maji hamna ? Yale maji ya ziwa umpelekee nani😁 ars sio dodoma ..maji hapo ni namna ya usambazaji
 
Katika mwaka wa fedha 2022/23 Mamlaka ya Maji katika Jiji la Arusha limetumia Sh. Bilioni 12 kutekeleza miradi ya maji ambayo itafanya jiji hilo la kitalii kupata maji wa 100%

Kwa sasa usambazaji wa maji katika jiji la Arusha ni 75% na baada ya uwekezaji huu wa Bilioni 12 basi hadi ifikapo 2023 JIji la Arusha litakuwa na maji 100%.
Wewe huwa unashindwa kuleta Takwimu sahihi..

Uwe unajiridhisha kabla ya kuja na Takwimu..

Mwaka 2022/23 ndio kwanza umeanza sasa hilo Jiji limetekeleza lini na kutumia hizo bil.12?
 
Katika mwaka wa fedha 2022/23 Mamlaka ya Maji katika Jiji la Arusha limetumia Sh. Bilioni 12 kutekeleza miradi ya maji ambayo itafanya jiji hilo la kitalii kupata maji wa 100%

Kwa sasa usambazaji wa maji katika jiji la Arusha ni 75% na baada ya uwekezaji huu wa Bilioni 12 basi hadi ifikapo 2023 JIji la Arusha litakuwa na maji 100%.
Mwaka wa fedha 22/23 umeanza July 22. Wameisha kusanya fedha na kuhitimisha mradi?
 
Katika mwaka wa fedha 2022/23 Mamlaka ya Maji katika Jiji la Arusha limetumia Sh. Bilioni 12 kutekeleza miradi ya maji ambayo itafanya jiji hilo la kitalii kupata maji wa 100%

Kwa sasa usambazaji wa maji katika jiji la Arusha ni 75% na baada ya uwekezaji huu wa Bilioni 12 basi hadi ifikapo 2023 JIji la Arusha litakuwa na maji 100%.
Achana na wanasiasa ndugu yangu, hii Nchi Wananchi tukiendelelea na ngonjera za siasa tutaumia sana.

Meru hapa tuna mabomba tu majumbani hatuna maji wiki nzima na ndani ya wiki 3 yametoka siku moja tuu tena drop wise.

WATZ NI WATU WAVUMILIVU MNO HATA KWENYE HAKI ZAO.

INAUMA SANA TENA MNOO UNAPOSIKIA WANAVYOJISIFU MAJUKWAANI.
 
Back
Top Bottom