peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,799
- 21,396
Sasa nimejifunza na kutambua kauli inayosema ‘ ni kauli za kisiasa’.
MaRPC wa mikoa ya Arusha na kilimanjaro wameamua kupuuza kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mh Kinana kwa kufungulia trafic wa kutosha ndani na nje ya miji.
Idadi ya matrafiki bara barani imezidi tena na mijini wanazunguka kama nyuki bila kujali maeneo muhimu ya kukaa na kukusanya chao mapema na kurudi makao.
Tuliwapigia RPC Arusha na Kilimanjaro kuwaulizia kuhusu kauli ya Mh. Kinana walijibu kwa nyakati tofauti kuwa wao sio wasemaji wa jeshi la Polisi.
Ombi : Jeshi la polisi litii bila shuruti kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM. Comred Kinana.
MaRPC wa mikoa ya Arusha na kilimanjaro wameamua kupuuza kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mh Kinana kwa kufungulia trafic wa kutosha ndani na nje ya miji.
Idadi ya matrafiki bara barani imezidi tena na mijini wanazunguka kama nyuki bila kujali maeneo muhimu ya kukaa na kukusanya chao mapema na kurudi makao.
Tuliwapigia RPC Arusha na Kilimanjaro kuwaulizia kuhusu kauli ya Mh. Kinana walijibu kwa nyakati tofauti kuwa wao sio wasemaji wa jeshi la Polisi.
Ombi : Jeshi la polisi litii bila shuruti kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM. Comred Kinana.