Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,851
- 15,265
Jengo la mahakama ya West Meru lililotekelezwa
Wananchi wa Meru wameoimba serikali kufufua mahakama zilizotelekezwa ili kurahisisha usikilizaji wa kesi katika Kata zote zinazoizunguka Meru kutokana hali halisi ya jiogrofia ya maeneo yao ikiwemo umbali, na ubovu wa barabara kwenda kwenye mahakama za mwanzo za Maji ya chai, king'ori, na nyinginezo
Wananchi hao wamesema kesi nyingi huishia nyumbani, na wengine kudhulumiwa haki zao, kutokana na wengi kutoweza kumudu gharama za usafiri wa kwenda na kurudi haswa za pikipiki kutokana na kwamba barabara za huko kuwa mbovu pamoja na Kukosekana kwa usafiri wa Umma.
Wananchi wa Meru wameoimba serikali kufufua mahakama zilizotelekezwa ili kurahisisha usikilizaji wa kesi katika Kata zote zinazoizunguka Meru kutokana hali halisi ya jiogrofia ya maeneo yao ikiwemo umbali, na ubovu wa barabara kwenda kwenye mahakama za mwanzo za Maji ya chai, king'ori, na nyinginezo
Wananchi hao wamesema kesi nyingi huishia nyumbani, na wengine kudhulumiwa haki zao, kutokana na wengi kutoweza kumudu gharama za usafiri wa kwenda na kurudi haswa za pikipiki kutokana na kwamba barabara za huko kuwa mbovu pamoja na Kukosekana kwa usafiri wa Umma.