Waziri Mkuu Majaliwa afungua Mkutano Mkuu wa CAF Jijini Arusha, Tanzania

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa leo Agosti 10, 2022 amefungua Mkutano Mkuu wa 44 wa kawaida wa CAF AICC Arusha.

Mkutano huo umehudhuriwa na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Patrick Motsepe.

20220810_135930.jpg
20220810_135936.jpg
20220810_135927.jpg
20220810_135919.jpg
 
PM angefatilia uchaguzi ili apate cha kuwashauri chama chake. Haya mengine angeamuachia waziri mwenye dhamana
 
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa leo Agosti 10, 2022 amefungua Mkutano Mkuu wa 44 wa kawaida wa CAF AICC Arusha.

Mkutano huo umehudhuriwa na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Patrick Motsepe.
Sijui kwanini huyu jamaa hana mvuto
 
Back
Top Bottom