Huwa nacheka sana kuona wanasiasa wanavyohangaika kutetea ujira wao.
Inafika wakati wanataka hata kutuharibia amani na utulivu wa nchi hii, kila kitu wanajua wao, hata humu jamvini kuna watu hadi wa buku saba, wanahangaika hadi usiku wa manane kupost post tu vijipost ambavyo havijengi zaidi ya...
ndugu zangu ukiona giza nene jua kumekaribia kucha. katika safari yangu ya utafutaji wa kazi na ajira nipate ridhiki yangu aiseeeh siwezi sahau.
njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli za daladala na basi wakati nasambaza bahasha na usahili ilikua jambo lakawaida.
uso wangu ulipoteza...
Utangulizi:
Wabobezi wengi wa uchumi Duniani wanakubaliana adui namba Moja kwenye Uchumi ni Inflation & Unemployment,hakuna uchumi wowote Duniani unaokoa bila kuzalisha ajira Kwa wananchi wake,
Tanzania ni nchi yenye watu Estd.63 Million sensa ya mwaka 2022 kati ya hao 70% wako chini ya Umri...
Waziri Dkt. Kijaji Awaasa Vijana Kufanya Kazi kwa Uadilifu na Kujituma Wanapopata Ajira Viwandani
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) ametoa rai kwa vijana wa kitanzania kuwa na uadilifu na kujituma wanapopata ajira viwandani ili waendelee kunufaika kwa pamoja na...
Habari wadau.
Najaribu kuwaza ikitokea sensa ya wenye elimu ya chuo kikuu ila hawana ajira ikafanyika. Mtazamo wa wazazi juu ya elimu utabadilika sana.
Kwa hali ya ajira ilivyo,,Ada za mamilioni tunazolipia watoto wetu ni bora tuwanunulie mashamba, mifugo, kuwajengea vyumba vya kupangisha etc...
Salaam, Shalom!!
Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani.
Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende...
Our model for success is a better life for everyone and purposeful tasks for our employees. For more than 50 years, the Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ), as a company of the German Federal Government, has been supporting the implementation of development policy goals...
Serikali inapaswa kutafakari ni kwa namna gani wanaweka usawa kwenye hili.
Wahitimu kutoka bara wanalalamika sana. Ajira zinazotangazwa bara wanasailiwa hadi wazanzibar, lakini ajira zinazotangazwa Zanzibar, sifa moja wapo kubwa ya kusailiwa ni kuwa mzanzibar.
Mzanzibar anafaida mara 2...
Biashara nilizonazo nilizianza huku nipo kazini, hadi hapa nilipo biashara zinanilipa lakini haikuwa rahisi, uzoefu nimeupata kwa maumivu kadhaa ikiwemo kuambulia maumivu ya biashara kufilisika, kupigwa na vijana wa dukani, kupigwa faini na tra kwa kuchukulia poa mambo ya kodi, n.k. kupitia haya...
Position: Regional General Manager, Tanzania (Based In Dar Es Salaam)
Reporting to: the Managing Director
The successful candidates will manage, plan and control regional train operations.
Duties:
The main duties for the Regional General Manager include:
Developing and implementing marketing...
Position: Clinical Research Coordinator (CRC)
Location: Based in Dar es Salaam, Tanzania.
Contract: A 12-month, renewable.
Reporting to: Principal Investigator, MUHAS-ORCI-UCSF Cancer Collaboration
This is an opportunity to build experience in implementation science through working with a...
Position: Safety Health & Environment Manager
Reports to: the Risk & Security Executive Officer
Core Job Description:
To oversee the organization’s comprehensive safety and environmental management system, assessing and identifying risks, formulating and implementing policies in managing the...
Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Deogratius Ndejembi amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Isaya Mbenje na Watendaji walio chini yake kujitafakari juu ya mwenendo wa utendaji kazi wao kutokana na kushindwa kusimamia miradi inayotekelezwa kwenye Halmashauri hiyo ikiwemo...
Position: Senior Product Manager Asset (Re-advertised) (1 Position(s))
Job Purpose:
- Responsible for asset product development, management and performance for Retail Banking
- Monitoring and ensuring asset product profitability and its end-to-end life cycle
Main Responsibilities:
Develop...
Invitation To Bid
Supplying Of Bicycles
Crs Requisition Numbers Tz 1153 & 1154
Catholic Relief Services – CRS is looking for a reputable and reliable supplier to supply 500 Bicycles (AVON CYCLUX ORB SPORT BICYCLES) at the CRS Mbeya office (Uzunguni Street) and the CRS Kigoma office (NSSF...
Position: Associate Country Economist
Job #: req25387
Organization: IFC
Sector: Economics
Grade: GF
Term Duration: 3 years 0 months
Recruitment Type: Local Recruitment
Location: Dar Es Salaam,Tanzania
Required Language(s): English
Preferred Language(s): French
CAE hiring an Associate Country...
Nakumbuka tukiwa chuoni miaka hio 2011 tulikuwa tunaaminishana sana kwamba mtu inabidi ujenge connection sana chuoni ndio zitakusaidia kupata ajira, lakinii uhalisia baada ya kumaliza chuo ulikuwa ni tofauti sana.
Hata uwe rafiki wa mtoto wa kigogo ni ngumu sana baba yake akupigie connection...
Position: Various Positions (Interns)
Location: UNFPA Tanzania (Dar es salaam, Zanzibar & Dodoma)
Full/Part-time: Full-time (approximately 40 hours per week)
Duration: Up to 6 months
The Position:
Under the direct supervision of the head of the unit/section, the intern will support the...
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.