ajira

  1. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Mimeamini siasa ni ajira kama ajira nyingine tu haina tofauti na Mama Ntilie

    Huwa nacheka sana kuona wanasiasa wanavyohangaika kutetea ujira wao. Inafika wakati wanataka hata kutuharibia amani na utulivu wa nchi hii, kila kitu wanajua wao, hata humu jamvini kuna watu hadi wa buku saba, wanahangaika hadi usiku wa manane kupost post tu vijipost ambavyo havijengi zaidi ya...
  2. Objective football

    JamiiForums Tanzania Njaa ilinidhalilisha sana kwenye harakati zangu za kutafuta ajira

    ndugu zangu ukiona giza nene jua kumekaribia kucha. katika safari yangu ya utafutaji wa kazi na ajira nipate ridhiki yangu aiseeeh siwezi sahau. njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli za daladala na basi wakati nasambaza bahasha na usahili ilikua jambo lakawaida. uso wangu ulipoteza...
  3. Immortal Techniques

    JamiiForums Tanzania Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?

    Utangulizi: Wabobezi wengi wa uchumi Duniani wanakubaliana adui namba Moja kwenye Uchumi ni Inflation & Unemployment,hakuna uchumi wowote Duniani unaokoa bila kuzalisha ajira Kwa wananchi wake, Tanzania ni nchi yenye watu Estd.63 Million sensa ya mwaka 2022 kati ya hao 70% wako chini ya Umri...
  4. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Waziri Dkt. Kijaji Awaasa Vijana Kufanya Kazi kwa Uadilifu na Kujituma Wanapopata Ajira Viwandani

    Waziri Dkt. Kijaji Awaasa Vijana Kufanya Kazi kwa Uadilifu na Kujituma Wanapopata Ajira Viwandani Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) ametoa rai kwa vijana wa kitanzania kuwa na uadilifu na kujituma wanapopata ajira viwandani ili waendelee kunufaika kwa pamoja na...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Sensa ya kwenye elimu ya chuo kikuu ila hawana ajira ikifanyika. Results zitabadili mtazamo wa wazazi kulipa ada mamilioni

    Habari wadau. Najaribu kuwaza ikitokea sensa ya wenye elimu ya chuo kikuu ila hawana ajira ikafanyika. Mtazamo wa wazazi juu ya elimu utabadilika sana. Kwa hali ya ajira ilivyo,,Ada za mamilioni tunazolipia watoto wetu ni bora tuwanunulie mashamba, mifugo, kuwajengea vyumba vya kupangisha etc...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Ikiwa ajira za uarabuni zinalipa, watoto wa viongozi Waoneshe mfano Kwa vitendo

    Salaam, Shalom!! Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani. Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Head of Secretariat (m/f/d), Africa EU Energy Partnership (AEEP)

    Our model for success is a better life for everyone and purposeful tasks for our employees. For more than 50 years, the Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ), as a company of the German Federal Government, has been supporting the implementation of development policy goals...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ajira za bara tunaomba wote, lakini za Zanzibar wanataka Mzanzibar pekee

    Serikali inapaswa kutafakari ni kwa namna gani wanaweka usawa kwenye hili. Wahitimu kutoka bara wanalalamika sana. Ajira zinazotangazwa bara wanasailiwa hadi wazanzibar, lakini ajira zinazotangazwa Zanzibar, sifa moja wapo kubwa ya kusailiwa ni kuwa mzanzibar. Mzanzibar anafaida mara 2...
  9. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Rasmi naenda kuacha ajira, Wasomi tumegeuka kituko kwa uoga wa kutegemea matone ya mshahara huku wageni na std 7 wakitajirika kwa rasilimali zilizojaa

    Biashara nilizonazo nilizianza huku nipo kazini, hadi hapa nilipo biashara zinanilipa lakini haikuwa rahisi, uzoefu nimeupata kwa maumivu kadhaa ikiwemo kuambulia maumivu ya biashara kufilisika, kupigwa na vijana wa dukani, kupigwa faini na tra kwa kuchukulia poa mambo ya kodi, n.k. kupitia haya...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Regional General Manager at TAZARA December, 2023

    Position: Regional General Manager, Tanzania (Based In Dar Es Salaam) Reporting to: the Managing Director The successful candidates will manage, plan and control regional train operations. Duties: The main duties for the Regional General Manager include: Developing and implementing marketing...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Clinical Research Coordinator (CRC) at MUHAS December, 2023

    Position: Clinical Research Coordinator (CRC) Location: Based in Dar es Salaam, Tanzania. Contract: A 12-month, renewable. Reporting to: Principal Investigator, MUHAS-ORCI-UCSF Cancer Collaboration This is an opportunity to build experience in implementation science through working with a...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Safety Health & Environment Manager at TPC Limited December, 2023

    Position: Safety Health & Environment Manager Reports to: the Risk & Security Executive Officer Core Job Description: To oversee the organization’s comprehensive safety and environmental management system, assessing and identifying risks, formulating and implementing policies in managing the...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Tamisemi huyo mkurugenzi wa Pangani ni mpigaji na wasaidizi wake asiachwe kabisa, mpaka leo ajira mpya hawajalipwa pesa za kujikimu

    Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Deogratius Ndejembi amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Isaya Mbenje na Watendaji walio chini yake kujitafakari juu ya mwenendo wa utendaji kazi wao kutokana na kushindwa kusimamia miradi inayotekelezwa kwenye Halmashauri hiyo ikiwemo...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Product Manager Asset (Re-advertised) at NMB Bank December, 2023

    Position: Senior Product Manager Asset (Re-advertised) (1 Position(s)) Job Purpose: - Responsible for asset product development, management and performance for Retail Banking - Monitoring and ensuring asset product profitability and its end-to-end life cycle Main Responsibilities: Develop...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Manufacturing Manager at Coca-Cola Kwanza December, 2023

    Reference Number: CCB231208-3 Position: Manufacturing Manager Job Category: Manufacturing Company: Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type: Permanent Location – Country: Tanzania Location – Province: Not Applicable Location - Town/City: Mbeya Job Description Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Invitation To Bid -tender at Catholic Relief Services December, 2023

    Invitation To Bid Supplying Of Bicycles Crs Requisition Numbers Tz 1153 & 1154 Catholic Relief Services – CRS is looking for a reputable and reliable supplier to supply 500 Bicycles (AVON CYCLUX ORB SPORT BICYCLES) at the CRS Mbeya office (Uzunguni Street) and the CRS Kigoma office (NSSF...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Associate Country Economist at World Bank December, 2023

    Position: Associate Country Economist Job #: req25387 Organization: IFC Sector: Economics Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): French CAE hiring an Associate Country...
  18. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Chuoni tuliaminishana kwamba ni sehemu ya kujenga connection za ajira lakini kiuhalisia ajira za connection 90% ni za kifamilia ama kindugu tu

    Nakumbuka tukiwa chuoni miaka hio 2011 tulikuwa tunaaminishana sana kwamba mtu inabidi ujenge connection sana chuoni ndio zitakusaidia kupata ajira, lakinii uhalisia baada ya kumaliza chuo ulikuwa ni tofauti sana. Hata uwe rafiki wa mtoto wa kigogo ni ngumu sana baba yake akupigie connection...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Various Positions (Interns) at UNFPA December, 2023

    Position: Various Positions (Interns) Location: UNFPA Tanzania (Dar es salaam, Zanzibar & Dodoma) Full/Part-time: Full-time (approximately 40 hours per week) Duration: Up to 6 months The Position: Under the direct supervision of the head of the unit/section, the intern will support the...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda

    JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl...
Back
Top Bottom