ajira

  1. Jamii Opportunities

    Paramedic at Tindwa Medical and Health Services November, 2023

    Position: Paramedic Job Details • Must Have A Bachelor Degree | Diploma Nursing | Clinical medicine from recognized institute. Must have valid Practice license with minimum 3 years of experience. • The required candidate must have BLS, ALS, and ITLS trainings, any other Emergency trainings will...
  2. S

    kuna nafasi za AJIRA hazipaswi kuteuliwa kabisa

    Mi nazidi kuishangaa nchi yetu hii aisee Yani mteue wakuu wa mikoa, wilaya, D.E.D na wengineo huko waliokaa kisiasa siasa mfike hadi kwa nafasi zilizosomewa kabisa ? Mwambieni Mheshimiwa Rais, hakukuwa na Haja ya kuteua kwa nafasi ya Mkurugenzi wa TASAC. Hii nafasi ilipaswq iachwe vijana...
  3. bjhjhj

    Sekretarieti ya Ajira iache kutesa wadogo zetu wanaotafuta ajira

    Rais ongea na Waziri mwenye dhamana ya ajira aongee na hawa secretariet ya ajira waache kutesa wadogo zetu. Kama uzi unavyosema hapo juu mheshimiwa Rais. Kuna hawa watu wanaoendesha utaratibu mzima wa kutoa ajira kwa vijana wa Tanzania (secretariat ya ajira), hawa wamekuwa tatizo kwa vijana...
  4. DR Mambo Jambo

    Ofisi ya Waziri Mkuu yatangaza Fursa ya Kusoma bure katika fani mbalimbali

    Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Imetangaza Programu ya Kukuza Ujuzi Nchini inayowezesha nguvu kazi ya Taifa kupata ujuzi na stadi za kazi stahiki ili kumudu ushindani katika soko la ajira. Ofisi imeingia makubaliano vyuo mbalimbali kutoa mafunzo mafunzo ya ufundi...
  5. S

    Ni kipengele gani kinamruhusu Katibu Utumishi kumwamuru PSRS kushughulikia suala la ajira ya mtu?

    Ni kipengele gani kati ya vifuatavyo kinamruhusu katibu utumishi kumwamuru PSRS kushughulikia suala la ajira la mtu? Ni kipengele kipi
  6. unimaginable

    Maajabu ya Ajira za Kampuni ya Nature's way

    Wadau kuna kampuni hii ngeni kwangu naombeni taarifa kwa anayeifahamu vizuri mana napata ukakasi sana kwa taarifa nilizopata. Kwanza niseme wazi hii kampuni nilikuwa sijawahi isikia popote hadi leo hii ndugu yangu mmoja kunipigia akiniomba pesa ili kufanikisha habari zake za ajira ktk kampuni...
  7. Wilson Gamba

    Ajira za Makocha wa Mpira wa miguu ni ngumu

    Kati ya vitu vinavyoniletea shida ni Ajira za Hawa waheshimiwa na walimu wengine kwa ujumla.Ebu tufikilie hapa kocha au mwl anapewa timu na anafanya kwa kadri ya uwezo wake na mwisho wa siku yeye haingii uwanjani kucheza na Yale alowaelekeza wachezaji wake wakishindwa kutekeleza zigo...
  8. N

    Nafasi ya kazi ya Meneja Chama Kikuu cha Ushirika Kyela (KYECU)

    Ndugu wapambanaji wenzangu, hii hapa fursa ya ajira, hii nafasi ni nzuri sana kwa muhitaji wa ajira. changamkia.
  9. trial win

    Nafasi ya kazi stationery

    Habari ya majukumu, Natafuta mfanyakazi wa stationery mwenye uzoefu na kazi hii. Location: Mbeya Mjini Mawasiliano: 0629081759 NI HARAKA, WAI TUFANYE KAZI.
  10. NYOLODO

    Mfumo fisi maofisini

    Habari ya muda huu wanajf. Naimani tuko vizur mnoo, mvua kila Kona shida kwa wafanyakaz biashara ndogondogo. Msikonde ndugu zangu tupambane, tukomae.. life is no longer space for leasure but only struggle to survive. Midabwada nimekuwa mchangiaji mkubwa sana kwenye madabalimbali nilizokuwa na...
  11. KENZY

    Serikali vijana wasio na ajira wameanza kunyanyua nondo!

    Serikali fanyeni namna watu wapate kazi watu wameanza kunyanyua nondo huku mtaani!,punde si punde wataanza kusema na shingo zetu kwenye vichochoro.. watu watabanwa mbavu watoe vya watu! Mi sisemi mengi
  12. B

    Ridhiwani Kikwete: Serikali italinda Vijana wapate ajira kwa vigezo vya taaluma na si uzoefu kazini

    Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema serikali itahakikisha inawalinda vijana kwenye soko la ajira kwa kuhakikisha ajira zao za kwanza kwenye utumishi zinazingatia vigezo vya utaalamu wa kada husika na sio uzoefu kazini. Kikwete amesema hayo leo Jumatano Novemba...
  13. Philo_Sofia

    Nani anawajibika kutoa ajira au kazi?

    Tupo kwenye dunia ambayo mageuzo ni makubwa na athari ni kubwa hasa kwa jamii ambayo haijajiandaa. Mbaya zaidi mageuzo hao hayajali umejiandaa au hujajiandaa, umeelewa au hujaelewa. Hivi leo, kwa sababu ya maendeleo mbalimbali ikiwemo maendeleo ya teknolojia, dunia inakabiliwa na changamoto...
  14. Erythrocyte

    Jinsi awamu ya 5 ilivyoua ajira za Vijana wazawa

    Utawala wa awamu ile uliamini kwenye Umasikini, Shida na Mateso . Kwamba umasikini ni baraka . Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 , alikuwa akihutubia kwao Chato na alizungumzia ufaulu wa Darasa la 7 baada ya wanafunzi wengi kufeli kwenye shule aliyosoma , aliwalaumu...
  15. K

    Natafuta kazi za ndani niweze kuendesha maisha yangu

    Naitwa Irene Misana mimi ni msichana wa miaka 20
  16. Davey15

    Naomba ufananuzi wa huu muda walioweka sekretarieti ya ajira kwenye interview

    Naomba wanajamvi mnipe ufanunuzi huu muda wa interview hapa walipoweka saa 1:00 am je hii saa ngapi? je ni sahihi au wamekosea
  17. Jamii Opportunities

    TRA Call for Interview October 2023: Full List

    The Tanzania Revenue Authority (TRA) is pleased to inform the job applicants who passed the screening test and were selected for practical and oral interviews. The interviews are scheduled to take place from October 29, 2023, to November 2, 2023, with the eventual employment of successful...
  18. Jamii Opportunities

    Program Coordinator at ASUTA October, 2023

    Position: Program Coordinator Job Details As a Project Coordinator, the Employee is required to perform the following duties and undertake the following responsibilities in a professional manner in Lindi Region. 1. Monitoring and maintaining project plans, schedules, work hours, budgets, and...
  19. Jamii Opportunities

    Senior specialist; Revenue Assurance and Governance at NMB Bank October, 2023

    Position: Senior specialist; Revenue Assurance and Governance Job Location: Head Office, HQ Job Purpose: Identify areas of improvement in bancassurance revenues and margins, provide analytics and report on pricing, costs, and revenue for the department in both life and general products...
  20. Jamii Opportunities

    Project Drivers (2 Posts) at Railway Children October, 2023

    Position: Project Drivers (2 Posts) (Railway Children Africa) Term: Full Time Reporting To: the Finance Officer. Salary: Annual basic Salary of 7,200,000/- excluding other benefits Location: Dar es Salaam & Mwanza At Railway Children, we aim to reach vulnerable children found alone and at risk...
Back
Top Bottom