sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Nakumbuka tukiwa chuoni miaka hio 2011 tulikuwa tunaaminishana sana kwamba mtu inabidi ujenge connection sana chuoni ndio zitakusaidia kupata ajira, lakinii uhalisia baada ya kumaliza chuo ulikuwa ni tofauti sana.
Hata uwe rafiki wa mtoto wa kigogo ni ngumu sana baba yake akupigie connection wewe wakati ana msululu wa watoto zake, ndugu zake, ndugu wa mkewe, watoto wa marafiki zake, n.k. wanaozitaka ajira.
Ajira nyingi za connection utapigiwa na wazazi wako, wanafamilia wenzako, ndugu zako, rafiki wa familia au ndugu, n.k. ni ngumu sana ajira za connection zitoke nje ya tight circle.
Binafsi nilisoma na mtoto wa mzito hapa nchini, wengi sana walikuwa chawa wakiamini watapigiwa connection wakimaliza chuo lakini kati ya hao wote ni moja tu ambae walikuwa mabesti kama 5 na 6 ndie aliepigiwa connection, tena ni marafiki tangu mzito huyo akiwa na cheo cha kawaida sana, wengine hadi sasa walijipatia ajira kwa bidii zao ama connection za tight circle.
Hata kwangu mimi nakumbuka ajira ya kwanza nilipewa connection na rafiki wa familia kwenye kampuni private, huku serikalini sikuwa na connections kiukweli nilisota sana hadi kuipata
Hata uwe rafiki wa mtoto wa kigogo ni ngumu sana baba yake akupigie connection wewe wakati ana msululu wa watoto zake, ndugu zake, ndugu wa mkewe, watoto wa marafiki zake, n.k. wanaozitaka ajira.
Ajira nyingi za connection utapigiwa na wazazi wako, wanafamilia wenzako, ndugu zako, rafiki wa familia au ndugu, n.k. ni ngumu sana ajira za connection zitoke nje ya tight circle.
Binafsi nilisoma na mtoto wa mzito hapa nchini, wengi sana walikuwa chawa wakiamini watapigiwa connection wakimaliza chuo lakini kati ya hao wote ni moja tu ambae walikuwa mabesti kama 5 na 6 ndie aliepigiwa connection, tena ni marafiki tangu mzito huyo akiwa na cheo cha kawaida sana, wengine hadi sasa walijipatia ajira kwa bidii zao ama connection za tight circle.
Hata kwangu mimi nakumbuka ajira ya kwanza nilipewa connection na rafiki wa familia kwenye kampuni private, huku serikalini sikuwa na connections kiukweli nilisota sana hadi kuipata