Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,758
ndugu zangu ukiona giza nene jua kumekaribia kucha. katika safari yangu ya utafutaji wa kazi na ajira nipate ridhiki yangu aiseeeh siwezi sahau.
njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli za daladala na basi wakati nasambaza bahasha na usahili ilikua jambo lakawaida.
uso wangu ulipoteza nuru, namshukuru MUNGU sana. sasa hadi kazini muonekano wangu wa ujana umerudi napata simu nyingi,jumbe nyingi wakati haikuwa hivo before.
Nawasihi wanangu mnaopitia msoto, huo msoto una mwisho mtajipata tu wanetu. mimi imenichukua zaidi ya miaka 3 kupata unafuu wa kiuchumi.
njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli za daladala na basi wakati nasambaza bahasha na usahili ilikua jambo lakawaida.
uso wangu ulipoteza nuru, namshukuru MUNGU sana. sasa hadi kazini muonekano wangu wa ujana umerudi napata simu nyingi,jumbe nyingi wakati haikuwa hivo before.
Nawasihi wanangu mnaopitia msoto, huo msoto una mwisho mtajipata tu wanetu. mimi imenichukua zaidi ya miaka 3 kupata unafuu wa kiuchumi.