Salaam, Shalom!!
Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani.
Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende uarabuni wakawe house boys na house girls Kwa Waarabu ,Eti Kuna dau nono!!
Nasema hivi, viongozi watangulize watoto wao huko Ili tuamini kama kunalipa.
Yaani waarabu wanakuja Afrika kutafuta fursa za KILIMO, misitu ,Dhahabu, sisi tuondoke Tanzania kwenda kuwatunza wazee uarabuni?
By the way, mnataka tuache ardhi ya URITHI na mashamba yetu Ili mfanye nayo nini?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏
Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani.
Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende uarabuni wakawe house boys na house girls Kwa Waarabu ,Eti Kuna dau nono!!
Nasema hivi, viongozi watangulize watoto wao huko Ili tuamini kama kunalipa.
Yaani waarabu wanakuja Afrika kutafuta fursa za KILIMO, misitu ,Dhahabu, sisi tuondoke Tanzania kwenda kuwatunza wazee uarabuni?
By the way, mnataka tuache ardhi ya URITHI na mashamba yetu Ili mfanye nayo nini?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏