Ikiwa ajira za uarabuni zinalipa, watoto wa viongozi Waoneshe mfano Kwa vitendo

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,126
22,617
Salaam, Shalom!!

Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani.

Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende uarabuni wakawe house boys na house girls Kwa Waarabu ,Eti Kuna dau nono!!

Nasema hivi, viongozi watangulize watoto wao huko Ili tuamini kama kunalipa.

Yaani waarabu wanakuja Afrika kutafuta fursa za KILIMO, misitu ,Dhahabu, sisi tuondoke Tanzania kwenda kuwatunza wazee uarabuni?

By the way, mnataka tuache ardhi ya URITHI na mashamba yetu Ili mfanye nayo nini?

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
 
Sasa hivi wanapimwa hadi Blood Group ili wakifika huko Boss anaeumwa figo aweze kuchagua atakaefaa kwenye spear part.

Kuna ripoti nyingi miili ya Waafrika waliofia Uarabuni kurudishwa bila viungo muhimu🤔
 
Salaam, Shalom!!

Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani.

Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende uarabuni wakawe house boys na house girls Kwa Waarabu ,Eti Kuna dau nono!!

Nasema hivi, viongozi watangulize watoto wao huo Ili tuamini kama kunalipa.

Yaani waarabu wanakuja Afrika kutafuta fursa za KILIMO, misitu ,Dhahabu, sisi tuondoke Tanzania kwenda kuwatunza wazee uarabuni?

By the way, mnataka tuache ardhi ya URITHI na mashamba yetu Ili mfanye nayo nini?

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
Nani alikuambia wana shida ya ajira? We walaumu wazazi wako. Hakuna anayelazimishwa kwenda huko, umeelezwa fursa km hutaki si ukae kimya we bwege?
 
Wanawashawishi watoto wa masikini kwenda kufanyishwa kazi za kitumwa, halafu watoto wao wanawajaza BOT, Hazina, na kwenye mashirika yote ya serikali yanayolipa mishahara na posho nono!!

Nchi imezungukwa na maziwa na mito inayotiririsha maji mwaka mzima! Ina ardhi ya kutosha yenye rutuba!! Wanashindwa kuhamasisha kilimo cha kisasa cha umwagiliaji!!
Badala yake wanatumia nguvu nyingi kuhakikisha wanatawala milele wao na familia zao!! Hovyo kabisa.
 
Wanawashawishi watoto wa masikini kwenda kufanyishwa kazi za kitumwa, halafu watoto wao wanawajaza BOT, Hazina, na kwenye mashirika yote ya serikali yanayolipa mishahara na posho nono!!

Nchi imezungukwa na maziwa na mito inayotiririsha maji mwaka mzima! Ina ardhi ya kutosha yenye rutuba!! Wanashindwa kuhamasisha kilimo cha kisasa cha umwagiliaji!!
Badala yake wanatumia nguvu nyingi kuhakikisha wanatawala milele wao na familia zao!! Hovyo kabisa.
Ni vyema, ungeanza wewe kutushawishi kulima kwa kuonyesha kwa vitendo umefanikiwa wapi kwa kilimo hicho na unafanya wapi harakati zako za kilimo! watanzania tutaendelea kuwa watazamaji wakati wenzetu wanapiga hatua na kuendeleza nchi zao! Kenya inapeleka wafanyakazi wengi sana katika nchi hizo unazosema wanaenda kufanywa utumwa na wanarudisha nyumbani fedha nyingi sana ambazo zinaingia kwenye uchumi moja kwa moja! Endelea kuongeza ujinga kwenye upumbavu
 
Salaam, Shalom!!

Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani.

Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende uarabuni wakawe house boys na house girls Kwa Waarabu ,Eti Kuna dau nono!!

Nasema hivi, viongozi watangulize watoto wao huko Ili tuamini kama kunalipa.

Yaani waarabu wanakuja Afrika kutafuta fursa za KILIMO, misitu ,Dhahabu, sisi tuondoke Tanzania kwenda kuwatunza wazee uarabuni?

By the way, mnataka tuache ardhi ya URITHI na mashamba yetu Ili mfanye nayo nini?

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
Hapo huwezi kuona mtoto wa Kigogo wa CCM wao wamejazana BOT, TRA, ATCL, Bandarini, TANAPA,TCRA, LATRA,Wizarani, Ikulu, bungeni n.k kupiga pesa za umma.
 
Ni vyema, ungeanza wewe kutushawishi kulima kwa kuonyesha kwa vitendo umefanikiwa wapi kwa kilimo hicho na unafanya wapi harakati zako za kilimo! watanzania tutaendelea kuwa watazamaji wakati wenzetu wanapiga hatua na kuendeleza nchi zao! Kenya inapeleka wafanyakazi wengi sana katika nchi hizo unazosema wanaenda kufanywa utumwa na wanarudisha nyumbani fedha nyingi sana ambazo zinaingia kwenye uchumi moja kwa moja! Endelea kuongeza ujinga kwenye upumbavu
Sasa si mpeleke watoto wenu kufanya hizo kazi! Kwa nini mnawashawishi watoto wa wenzenu, halafu wa kwenu mnawajaza kwenye taasisi za serikali za ndani ya nchi zenye mishahara mikubwa?
 
Halafu, mbona fursa za middle east ndio wanazikubali kirahisi na kushawishi sana watu waende, mbona fursa za western countries wanawekaga ugumu na uzibe fulani hivi
 
Kuna kitu kimejificha kwenye hizi ajira za Uarabuni, Saudi Arabia.


Nahisi kuna kitu kingine mwarabu atapewa, very very soon.


Kuna kitu. Kuna jambo
Utumwa umeingia ready,

Wameshalipana na mikataba tayari,

Ulienda kule ukauliza malipo, utaambiwa, nilishamalizana na boss wako!!

KILIMO ndo UTI wa mgongo wa uchumi wetu.
 
Tuliowapa mamlaka yakutuongoza inaonekana kuna mushkeli kwenye kufikiri..

Yaani wameshindwa kutumia resources tulizonazo na kuifanya jamii ya watanzania kuwa moja ya jamii bora duniani..

Leo hii eti tunashabikia watu wetu kwenda kufanya kazi za majumbani uarabuni kwa mishahara ya 500k to 1m.

Yaani tumeshindwa kukifanya kipato cha kila mtanzania kwa mwezi kiwe minimum usd 800 hii kwa wasio kuwa na kazi rasmi au wasio na kazi kabisa?
 
Nani alikuambia wana shida ya ajira? We walaumu wazazi wako. Hakuna anayelazimishwa kwenda huko, umeelezwa fursa km hutaki si ukae kimya we bwege?
Yaani watoto wetu waache mashamba,

Wengine wanafikiri kugombea ubunge,Udiwani, urais,

Wengine wanataka nafasi katika bandari, mbuga zetu, TRA, nk nk

Eti waende uarabuni wakawe hause boys&girls?

Wapeleke watoto wao tuone uongozi Kwa vitendo.
 
Back
Top Bottom