ajira

  1. Kifurukutu

    Tuliopata ajira za ualimu 27 Novemba 2020 tukutane hapa

    Habari Watanzania wenzangu uzi huu ni maalumu kwa walimu tuliopata ajira za serikali zilizotangazwa tarehe 27 novemba 2020 Napenda kumshukuru rais wa awamu ya tano, rais wa wanyonge, rais wa masikini, rais msikivu, rais anayeahidi na kutekeleza...Asante sana rais kwa ajira hii.. Kwa hakika...
  2. T

    Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

    Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile. Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa. Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number? MUNGU TUNUSURU --- --- ---...
  3. Nebuchadinezzer

    Hujuma kubwa ajira za Serikali ya wanyonge

    Nachokizungumza hapa nina uhakika nacho asilimia 100% naombeni msinichukulie kama nalalia mlango wazi bahati za wengine. Kwanini mimi mwenye GPA ya 4.5 ya UDSM sijapangiwa shule japokuwa nina uwezo mzuri wa kufundisha? Huu ni mwaka wa pili nimekaa mtaani. Sawa, sijajitolea. Hebu fikirieni...
  4. Honorable GPA

    Walimu tuliomaliza 2018 tunatengwa sana kwenye ajira

    Sijui kwanini yaani! Jamani,Lol! Ajira za mwaka jana(2019) tuliambiwa tusiombe kabisa! Mwisho ilikuwa walomaliza 2017! Mwaka huu(2020) tuliambiwa tuombe! Ajira zimetoka lakini waloajiriwa wengi ni physics/mathematics na wachache sana wa masomo mengine! Chuo chetu sidhani kama yupo ambaye...
  5. msovero

    TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020

    Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga atazungumza na waandishi wa habari Kuanzia Saa nane mchana kuhusu Ajira Mpya za Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari pamoja na mafundi Sanifu wa Maabara. Tukio hili litarushwa Mbashara kupitia Tamisemi Tv. Updates MAJINA YA WALIMU WAPYA
  6. K

    Miaka mitano ya wapinzani kupata ajira za maana nchini

    Kati ya awamu zote ni awamu hii ndiyo vijana wengi wasio na ajira za kuaminika wamepata ajira kwa kupambana na serikali. Vijana wengi wa Chadema wamepata ajira nzuri na kubwa serikalini jambalo lilikua nadra siku za nyuma. Vijana wa CHADEMA na viongozi wa upinzani wamekua ma DC means...
  7. La Quica

    Naomba kazi Wakuu wangu mwenye connection

    Habari ya leo wakuu. Natumai mko salama. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu ninaomba yoyote mwenyewe kuweza kunisaidia kupata ajira hata Internship kwa kuanzia anisaidie hali ni ngumu mtaani, kazi na apply kila mara lakini sipati, hata nikiitwa kwenye interviews huwa nasubiri simu...
  8. Liverpool VPN

    Nimeamua kuachana na siasa rasmi. CHADEMA walinihatarishia ajira yangu ya umma ila leo wameunga juhudi

    Baada ya kukosa nafasi ya kupiga kura 28/10/2020 niliumia sana kutomchagua mpinzani Mhe. Tundu Lissu. Ila kwa yaliyotokea leo nadhani hata ule uchungu umeisha woteee. 1. Viti maaalumu wamepewa. 2. Tundu yupo Ubelgiji anakula soseji. 3. Maalimu Seif soon atakubali kuwa makamu wa raisi. Kwahili...
  9. K

    Hivi zile ajira 13000 za waalimu kulikoni?

    Uchaguzi umeisha salama ingawa hakuna chochote kinachofanyika kwenye ardhi kikawa na hakina dosari.tulikuwa tunaulizia hivi zile ajira 130000 zimeenda wapi?! Kwani mpaka sasa hakuna chochote na tamisemi tangazo wamefuta Na kuna taarifa kwamba kuna maagizo kutoka juu yaliagiza tangazo...
  10. J

    Nina shahada ya Sheria 2020/2021 naomba msaada nipate ajira/kujitolea

    Habari ndugu zangu. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya Sheria kutoka Chuo kikuu kimoja hapa Tanzania mwaka 2020/2021. Nipo mtaani kwa sasa lakini hari imekuwa ngumu sana kwani sijapata sehemu ya kujitolea au ajira ila nipate kulipa baadhi ya bills zinazonikabili. Nimekuja kwenu ndugu zangu...
  11. Saint_Mwakyoma

    Changamoto kwenye mfumo wa ajira Tanzania kati ya Medical Laboratory Personel na Biotechnology and Laboratory Sciencies personel

    Naomba kuwasilisha uzi huu kwa mfumo wa maswali kwa wadau juu ya sakata hili; 1) Je, sehemu pakufanyia kazi ni tofauti? 2) Kwanini hospital nyingi zinakataa kuwapokea watu biotechnology and laboratory sciencies. 3) Je, leseni za watu wa biotechnology and laboratory sciencies zinapatikana...
  12. I

    Job opportunity, special educators needed

    Job opportunity special educators needed
  13. Replica

    NEC yatangaza Uchaguzi mdogo kwenye Kata tatu

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Kata husika zinafanya...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    Madaktari, manesi na watu wa maabara ajira zenu ziko mashakani

    Ndugu zangu watu sekta ya afya, nawaoneeni huruma sana tena sana. Kaka Beberu (🐐🐐 🇺🇸 a.k.a Rich Goat) anaenda kutupunguzia misaaada, ba ameenda mbali zaidi kwa kuwashawishi mijibeberu myenzao pia ifanye kutubana kutokana na wivu tu wa sisi kupanda daraja la kiuchumi. Kutokana na hotuba ya Jana...
  15. T

    Ajira za waalimu zimetoka au magumashi yanaendelea?

    Wana jamvi katika hali ilioleta taharuki kwa vijana wetu jana Alhamisi ilisambaaa mtandaoni kwamba majina ya waalimu walioomba kazi yametoka. Hivyo kuleta taharuki na usumbufu kwa walioomba, lakini ilikuwa ni geresha tu, cha kushangaza si Tamiseni haikukanusha habari hizo kama ni kweli au la...
  16. E medics

    Natafuta nafasi ya kazi as Pharmacist asistant

    Habari, Natafuta nafasi ya kazi ya pharmacist asistant (pharmaceutical technician) Elimu: Diploma in pharmaceutical science (3yrs) sehemu ya kazi: Hosipitali, Pharmacy,Dukanla dawa Muhimu Uzoefu: Hosipitali 6months , Pharmacy :7months Mkoa: Dodoma, Morogoro,Arusha, kilimanjaro note: Uaminifu...
  17. Crownjunioral

    Nafasi za ajira za Ualimu za muda

    Habari ndugu wa JF. Natafuta Mwalimu mwenye combination ya masomo ya lugha (Kiswahili na English). Shule ipo maeneo ya Bukoba, hivo wakazi wa maeneo ya Bukoba na jirani tafadhali wasiliana na uongozi kwa namba +255629327589, School administrator. Asanteni
  18. mbutamaseko

    Hivi zile ajira elfu 13 za waalimu wa msingi na sekondari zimeishia wapi?

    Ni muda kidogo umepita toka ajira hizi zitangazwe kwa mbwembwe sana. Nilishuhudia wasaka ajira walizipokea kwa matumaini sana japo wengi walihisi ni suala la kisiasa zaidi kutokana na ajira hizo kutangazwa ghafla katikati ya kampeni. Vipi kuna mtu anamjua mtu aliyeajiriwa kupitia ajira hizo...
  19. Mwamba1961

    Maswali kuhusu ajira za SBL

    Habari wana JF, Mimi ni miongoni mwa vijana tunaotuma maombi ya ajira kwenye kampuni za SBL kupitia mfumo wao wa maombi ya ajira. Naomba mnijuze kama mnajua 1. Ni muda gani unaitwa kwenye interview tangu deadline ipite ? 2. Je kuna njia nyingine ya utumaji wa nafasi ya kazi , mfano kupitia...
  20. T

    GE2020 Aliyetunyima ajira nasi tumnyime ajira, aliyetutumbua nasi tumtumbue, aliyekataa kongeza mshahara nasi tusimwongezee

    Ndugu zangu, bado wiki moja tu ya kufanya maamzi sahihi kwa yule aliyekuwa anatuona watu wa kawaida. Kimsingi sisi ni watu wa juu na tutabakia juu kileleni. - Alitutumbua nasi twendeni tumtumbue - Alitunyima ajira nasi twendeni tumnyime ajira - Alikataa kutuongezea mishahara nasi...
Back
Top Bottom