zebedayo musibha
Senior Member
- Oct 26, 2019
- 111
- 86
Mapema leo 24/05/2021, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai amezitaka kamati kufatilia mchakato wa ajira za walimu zilizotangazwa kwa uwazi na ukweli.
Pia ameonyesha kutoridhika na ajira zilizotolewa mwaka jana huku ikionyesha kanakwamba hakuna uwazi katika kuajiri. Nimekuwa na maswali kuhusu hili.
Je, hapa Spika anamanisha kuwa katika kuajiri walimu serikali haiko wazi?
Je, Spika anamaanisha kuwa katika kuajiri serikali inaegemea ukanda na ukabila?
Je, Spika anamaanisha hapa Tanzania kuna aina ya watu fulani ndio wanafaa kuwa walimu?
Pia ameonyesha kutoridhika na ajira zilizotolewa mwaka jana huku ikionyesha kanakwamba hakuna uwazi katika kuajiri. Nimekuwa na maswali kuhusu hili.
Je, hapa Spika anamanisha kuwa katika kuajiri walimu serikali haiko wazi?
Je, Spika anamaanisha kuwa katika kuajiri serikali inaegemea ukanda na ukabila?
Je, Spika anamaanisha hapa Tanzania kuna aina ya watu fulani ndio wanafaa kuwa walimu?