aina

The Aïna River is a tributary of the Ivindo River that rises in Cameroon. Along the way it forms the border between Cameroon and Gabon and then the border between Gabon and Republic of the Congo (Map.).
The native pygmies along the river were noted as some of the few to use the plant Strophanthus tholonii as an ingredient in their arrow poison; other Strophanthus species are more commonly used.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Zingatia masharti na maelekezo kutokana na aina ya chanjo unayopata

    Wataalamu wa Afya wa kituo cha kudhibiti na kupambana na Magonjwa cha Marekani (CDC) na wale wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wanahimiza umma kuzingatia na kufuata masharti ya matumizi ya chanjo kwa kuzingatia aina ya chanjo husika. Unashuriwa kabla ya kuchukua aina fulani ya chanjo upitie...
  2. billcrammer

    Ivi wife material yafaa awee na umbo la aina gani..

    1)Mwenye msabwanda alafu awe medium kiwango 2)mwenye mwili ndogo ana mbsabwanda la kichizii na awe medium 3)mfupi mnono Wakuu wapi ndo sure bet
  3. H

    Anayeweza kunipa connection ya kupata aina hii ya magari

    Kwa yeyote anaejua mtu au mahali ambapo wanauza magari aina ya "Mercedes-Benz G-Class" au "Gelandwagen" kama linavoonekana hapo chini naomba anisaidie kuna mtu anafanya biashara ya kuyanunua hata kama yakiwa ni mabovu "Wrecked". Mobile Number: 0783 242247 & 0621 703279
  4. Dr. Zaganza

    Tengeneza Aina 10 za Sabuni ya Kipande, Papo Kwa Papo bila Mashine

    Sabuni aina 10, ikiwemo sabuni ya udongo, mawingu, manjano, kawaida,mjeshi jeshi, ubuyu, alovera, mchaichai, mchele na chungwa
  5. Suley2019

    Maana na aina za sentensi katika lugha ya Kiswahili

    1 Sentensi Shurutia. ni sentensi inayohuundwa kwa viambishii kama -ngeli-, -nge-, na -ngali-. kwa mfano: (1) ningelikutana naye angelinisaidia sana. vilevile aina hii ya sentensi hutumia kiambishi -ki-; kwa mfano: (1) ni kimwona tu nitakwambia. 2 Sentesi-Sahili Sentesi sahili ni kifungu cha...
  6. N

    Injini gani ya pikipiki mchina inaweza kaa kwenye pikipiki aina ya TVS

    Pole na kazi wakuu!! Msaada katika Hilo tafadhali
  7. Von Bismarck

    Ni ipi tafsiri ya maneno O-rejeshi na aina za kauli mbalimbali katika lugha ya kiingereza

    Kama kichwa kinavyo jieleza, ningependa kujifahamu jinsi maneno haya yanavyo tumika katika lugha ya kiingereza Katika kiswahili matumizi ya O-rejeshi (o,ye,lo,po,ko,mo,zo n.k) kama ataka-ye- kuja Ana-cho-pata Wali-o-fika Zili-zo-mo Swali, Je? O-rejeshi katika lugha ya kiingereza...
  8. U

    Msaada: Ni ipi aina bora ya sola paneli?

    Ninahitaji sola paneli ya watt 120 kwa ajili ya kuwashia taa, TV na laptop! Kwa wale wajuzi ninunue aina gani?
  9. EL ELYON

    Mimi ni mtu wa aina gani

    Habari wakuu sana. Mmebarikiwà sana na Mwenyezi Mungu. Aisee moja kwa moja kwny hoja mi nna sifa zifuatazo. nikiona mtu ana shida naumia sn mpk machozi hunilenga, mfano mtoto anapigwa au mtu yeyote Yule au nikiona mtu analia kwa uchungu. napenda kukaa kimya nikiwa peke yangu kuliko nikiwa...
  10. Idugunde

    RC Homera: Kuleni Maharagwe aina ya Jesca muongeze nguvu za kiume

    RC wa Mbeya, Juma Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai dawa hizo zina madhara na badala yake watumie maharagwe aina ya Jesca
  11. Mung Chris

    Mwanzo nilijua ni allergy kumbe ni aina ya sumu nilitengeneza mwilini bila kujua

    Niliwahi kuwa nawashwa sana masikio kwa ndani, nilijaribu sana kwenda hospitali nikatumia dawa zikawa zinatuliza ila sikujua kuwa kuna kitu ninachokula karibia kila siku ndio kinacho tengeneza sumu kwenye damu kiasi kwamba nikila Karanga, Tangawizi, Parachichi… nasikia masikio yana washa sana...
  12. beth

    Shirika la Afya linachunguza aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho 'Mu'

    Shirika la Afya Duniani (WHO) linachunguza aina mpya ya Kirusi cha Corona kinachofahamika kama Mu au B.1.621 ambacho kwa mara ya kwanza kiligundulika Januari 2021 Nchini Colombia. Kwa mujibu wa WHO, Kirusi hicho kina mabadiliko yanayoashiria kinaweza kuwa sugu kwa Chanjo, lakini tafiti zaidi...
  13. chapangombe

    Tanzania tuna safari kubwa sana na aina hii ya viongozi

    Leo ndio nimepima nimejirizisha kuwa kwa Tanzania kuwa na mageuzi ya kiuchumi ni ndoto Tena ya asubuhi. Kama ndio aina ya wabunge ndio hawa wanaochambua. Mambo Kama vile tuna safari ndefu ndio maana kumbe mambo mengi ya ajabu Yanapitishwa bungeni mara tozo, mara Kodi nk kumbe tumekosa watu...
  14. U

    Picha: Rais Samia akiangalia vyakula vya aina tofauti vya asili Zanzibar

    Pichani Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani akitazama Vyakula vya aina tofauti akiwa maeneo ya Kizimkazi Kusini Unguja
  15. AA TANCH TRADING COMPANY

    Aina 5 muhimu za wateja (Five main types of customers) na jinsi ya kuwaleta

    1. Mteja Mwaminifu (Loyal customers). Hawa ni wateja ambao wanachukua asilia chache sana ya wateja wako wote wa kilasiku. Lakini ndio wanao fanya manunuzi kwa wingi Zaidi katika biashara yako. Mteja huyu ni wa muhimu sana na anatakiwa kumpa kipaumbele katika biashara yako. Utafiti...
  16. Issa SLuu

    Aina ya Sita ya vyakula ambavyo vikichanganywa vinaweza kuwa sumu

    Aina ya sita ya vyakula ambavyo vikichanganywa hugeuka sumu. Kila binadamu ana kile alichojaaliwa na Mungu. Siku zote anachoamua mmoja kula huenda kikawa sumu kwa mwingine. Chakula anachokula mtu kinaenda sanjari na hali ya kiafya. Wengine huumwa hadi kusababisha kupoteza uhai na hii ni baada...
  17. ubuntuX

    Powertools aina zote zinapatikana kwa bei rahisi sana

    *Bei Rahisi *Vifaa vyenye ubora *BRAND TOFAUTI TOFAUTI Cordless drill Jigsaws, circular saws. Generators and grinders pamoja na drill bits na misasa. TUPO KKOO MIKOANI TUNATUMA KWA UAMINIFU Piga 0788622610
  18. Sky Eclat

    Ifahamu sumu aina ya cyanide katika mihogo na majani yake

    Nimesoma katika health journal moja linasema mihogo na kisamvu ni vyakula hatari kuhifadhiwa ndani ya nyumba hasa jikoni. Vyakula hivi vina sumu aina ya cyanide ambayo humuua binadamu haraka sana. Moja ya dalili za sumu hii kwa mwanadamu ni kizungu zungu, kuuumwa kichwa, kuharisha na...
  19. SN.BARRY

    Mzee Haji Mpili awa balozi wa kuzuia na Kupambana na Rushwa

    Hapo ndio uwezo wao wa ubunifu ulipoishia Mkuu wa wiliaya ya Rufiji kushoto pamoja na Mkurugezi wa halmashuri ya wilaya ya Rufiji (Kulia) wakimtambulisha balozi wakuzuia na kupambana na Rushwa mzee Haji Mpili jana wilayani humo
  20. L

    Msaada wa kupata Tyre cover la Gari aina ya RAV 4 kill time

    Wanabodi. Niende moja kwa moja kwenye mada. Natafuta tyre cover ya gari aina ya RAV 4 kill time, milango 5. kwa yeyote anaye uza au kujua zinapo patikana naomba anifahamishe! Asante.
Back
Top Bottom