Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Waaungwana Kama heading inavyoonesha hapo juu.
TARURA amekuja na namna nyingine ya kukusanya ushuru wa Maegesho ya Magari, Mfumo huu Mpya ni wa kielektroniki na uko based on Control Number.
Nimefanya Research ndogo na kugundua kuwa Huu utaratibu mpya mbao ni Mzuri umegeuka kuwa ainia ya Wizi na Uonevu Mkubwa.
Watu wengi sana wanalalamika kuwa wala hwakumbuki hata walipo park, lakini wakiingia kwenye Portal ya TARURA inaonesha wanadaiwa, wala haineshi uli park gari wapi.
Huu utaratibu ni wa hovyo sana, maana uko based only on plate numbers za gari, yaani Agent wao akiamua tu anaweza ku register Number za Magari hata akiwa chumbani kwake na Mkewe.
Naziomba Mamlaka husika ziingilie kati na kuwakemea TARURA na huu mfumo wao ambao unatoa room ya wizi, uonevu na Bughuza isiyo ya lazima.
Binafsi nina Magari matano, matatu yana mwezi wa tatu hayatembei, ila yote yanadaiwa na inaonekana ni deni la juzi tu.
Nitoe rai kwa wenye Mgari pitieni hii Portal ya TARURA, maana unaweza kuwa unadaiwa bila kujua mwisho wa siku ukaishia kugombana na Polisi.
=====
UPDATES;
=====
TARURA Watolea ufafanuzi kuhusu malalamiko haya. Zaidi soma;
Thread 'TARURA WAfafanua kuhusu ada ya Maegesho ya Magari kidijitali' TARURA WAfafanua kuhusu ada ya Maegesho ya Magari kidijitali
=====
UPDATES
=====
Waziri Ummy Mwalimu asitisha utaratibu huu kwa muda.
Thread 'Waziri Ummy asitisha kwa muda mfumo wa kieletroniki wa kukusanya ada ya maegesho ya magari unaosimamiwa na TARURA' Waziri Ummy asitisha kwa muda mfumo wa kieletroniki wa kukusanya ada ya maegesho ya magari unaosimamiwa na TARURA
TARURA amekuja na namna nyingine ya kukusanya ushuru wa Maegesho ya Magari, Mfumo huu Mpya ni wa kielektroniki na uko based on Control Number.
Nimefanya Research ndogo na kugundua kuwa Huu utaratibu mpya mbao ni Mzuri umegeuka kuwa ainia ya Wizi na Uonevu Mkubwa.
Watu wengi sana wanalalamika kuwa wala hwakumbuki hata walipo park, lakini wakiingia kwenye Portal ya TARURA inaonesha wanadaiwa, wala haineshi uli park gari wapi.
Huu utaratibu ni wa hovyo sana, maana uko based only on plate numbers za gari, yaani Agent wao akiamua tu anaweza ku register Number za Magari hata akiwa chumbani kwake na Mkewe.
Naziomba Mamlaka husika ziingilie kati na kuwakemea TARURA na huu mfumo wao ambao unatoa room ya wizi, uonevu na Bughuza isiyo ya lazima.
Binafsi nina Magari matano, matatu yana mwezi wa tatu hayatembei, ila yote yanadaiwa na inaonekana ni deni la juzi tu.
Nitoe rai kwa wenye Mgari pitieni hii Portal ya TARURA, maana unaweza kuwa unadaiwa bila kujua mwisho wa siku ukaishia kugombana na Polisi.
Single News | Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA
A page template to display single news
www.tarura.go.tz
=====
UPDATES;
=====
TARURA Watolea ufafanuzi kuhusu malalamiko haya. Zaidi soma;
Thread 'TARURA WAfafanua kuhusu ada ya Maegesho ya Magari kidijitali' TARURA WAfafanua kuhusu ada ya Maegesho ya Magari kidijitali
=====
UPDATES
=====
Waziri Ummy Mwalimu asitisha utaratibu huu kwa muda.
Thread 'Waziri Ummy asitisha kwa muda mfumo wa kieletroniki wa kukusanya ada ya maegesho ya magari unaosimamiwa na TARURA' Waziri Ummy asitisha kwa muda mfumo wa kieletroniki wa kukusanya ada ya maegesho ya magari unaosimamiwa na TARURA