#COVID19 Tanzania yapokea dozi 576,558 za chanjo aina ya Sinopharm

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Serikali ya Tanzania leo Oktoba 08, 2021 imepokea dozi 576,558 za chanjo aina ya Sinopharm dhidi ya Virusi vya Corona kutoka Nchini China

Dozi hizo zimeletwa chini ya Mpango wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wa COVAX Facility, ikiwa ni sehemu ya dozi 1,065,600

 
Kwani zile J&J zimeisha?!! Kuna mahali nilisoma wamechanjwa watu 300,000 na zilikuja 1m.
 
Back
Top Bottom