Osmokalu
Senior Member
- Nov 13, 2015
- 183
- 143
Niende moja kwa moja kwenye maada. Kuna dada mmoja alipatwa na bawasiri ila ile bawasiri ilipona kwa dawa pasipo kufanyiwa operation's. Kilichojitokeza sasa ni jipu pembeni ya tundu la haja kubwa, baada ya jipu kupasuka imetengeneza njia ambayo ina uhusiano na njia ya haja kubwa, hivyo basi anapopata haja kibwa baadhi ya uchafu yani mavi huja kutokea kwenye lile tundu la iliyokua jipu.
Hivyo basi naombeni mnisaidie kwa mwenye uwelewa ni jinsi gani ifanyike ili lile tundu la jipu lipone na ule uchafu kidogo wa haja kubwa upite kwenye njia yake sahihi.
Shukrani sana naomba niwasilishe.
Hivyo basi naombeni mnisaidie kwa mwenye uwelewa ni jinsi gani ifanyike ili lile tundu la jipu lipone na ule uchafu kidogo wa haja kubwa upite kwenye njia yake sahihi.
Shukrani sana naomba niwasilishe.