afrika

  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Afrika kuongoza kwa kilimo cha bangi ya matibabu

    Kundi la wanasayansi, watafiti na wajasiriamali limesema bara la Afrika linaweza kufikia kuwa mzalishaji mkubwa wa bangi inayotumika kwa ajili ya matibabu. Jordan Curl; mtaalamu kutoka Kituo cha Uwekezaji na Utafiti wa Bangi cha nchini Israel amewaambia wajumbe wanaohudhuria mkutano wa...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) hawajawaona Wachezaji wazuri wa Yanga SC yangu hadi wawaone wa Simba SC tu?

    Medie Kagere ametajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ngazi ya Vilabu 2019 (African Interclubs Player of the Year). Emmanuel Okwi ambaye msimu uliopita alikuwa sehemu ya kikosi chetu na yeye ametajwa kuwania tuzo hiyo...
  3. G Sam

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi nachelea kukuamini kama kweli mlishinda kesi Afrika ya Kusini, tusipende kuona uongo kuwa sehemu kubwa ya siasa za Tanzania

    Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo. Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo. Sasa basi, tuje kwenye hoja ya...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Endapo Mbowe atachaguliwa tena basi atakuwa ni kiongozi wa pili kwa kupendwa barani Afrika akitanguliwa na Robert Mugabe wa Zimbabwe

    Mwanasiasa mkongwe mzee Mgaya ananihabarisha kuwa endapo Freeman Mbowe atachaguliwa tena kuiongoza Chadema basi atakuwa ni kiongozi wa pili Afrika anayependwa " sana" ndani ya chama chake. Kiongozi anayemzidi Mbowe ni Robert Mugabe rip wa Zimbabwe lakini Mbowe kutokana na umri wake ana fursa ya...
  5. Tz boy 4tino

    JamiiForums Tanzania Timu ya Wanawake ya Tanzania kuzidi kuwa tishio barani Afrika huku ya wanaume ikijikongoja

    Kwa miaka ya karibuni tumeshuhudia timu ya taifa ya wanawake kuwa tishio barani Afrika. Ikishinda makombe mfululizo katika mashindano ya CECAFA, COSAFA n.k. Kwa nini haipo hivyo kwa upande wa pili, tatizo lipo wadau?..
  6. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa nchi za Afrika mashariki ambao wanaume watanzania waweza kuwaoa kirahisi na wakajisikia vizuri

    Kwenye nchi za jumuiya ya Africa Mashariki wanawake ambao ni wepesi kuolewa na kuishi vizuri na watanzania ni hawa wafutao Namba moja wanaoongoza ni wanawake wa kinyarwanda wazuri na wana akili nyingi mno wengi wao kuolewa na mtanzania ni rahisi mno na wengi wameolewa na watanzania Namba...
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Chad: Kiongozi wa waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati Abdoulaye Miskine akamatwa N'Djamena

    Viongozi wa waasi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati akiwemo Jenerali Abdoulaye Miskine, mmoja wa watu muhimu katika masuala ya siasa na usalama nchini humo wamekamatwa nchini Chad. Jenerali Abdoulaye Miskine aliwasili N'Djamena Jumatatu jioni. Kwa mujibu wa vyanzo kutoka Chad, Aboulaye Miskine...
  8. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imekanusha kuwa na ukata wa fedha na kwamba nchi zote wanachama, zimeanza kulipa ada za uanachama

    Jumuiya hiyo imesema hakuna nchi yoyote ya Jumuiya hiyo iliyo hatarini kuondolewa uanachama, kwa sababu ya kushindwa kutoa ada za mwaka, isipokuwa upo uwezekano wa kuwekewa vikwazo. Kwa mujibu wa taarifa ya jumuiya hiyo, hadi kufikia Oktoba mwaka huu, Burundi ilikuwa ikidaiwa Dola za Marekani...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiyo Mmoja wa Marais wanaotakiwa kwa sasa Barani Afrika na sishangai kuona akipendwa na wenye Akili Kubwa duniani

    Kagame: Less talk, more action will bring the change we need in the region SUNDAY NOVEMBER 17 2019 Rwandan President Paul Kagame speaks at a press conference in Kigali on November 8, 2019. PHOTO | URUGWIRO In Summary Relations with neighbours: How people relate with each other is important...
  10. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Viongozi na falsafa ya Afrika

    FALSAFA YA AFRIKA NA VIONGOZI WA LEO. Afrika ina namna yake ya pekee sana ya kuutafsiri ulimwengu wake kwa kuzingatia misingi yake. Licha ya falsafa hiyo kupewa majina mengi ya lugha jamii bado misingi yake ni ileile. Mathalani kwa Afrika ya kusini wao waliita UBUNTU na ukiangalia kwa ndani...
  11. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Shirika la Ndege la Afrika Kusini 'South African Airways' halijawahi kupata faida toka mwaka 2011, wafanyakazi wamegoma

    Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Afrika Kusini wamegoma baada ya kukosa mishahara kwa miezi kadhaa kutokana na shirika hilo lenye ndege zaidi ya 40 na vituo (destinations) zaidi ya 42 duniani kutokupata faida kwa miaka zaidi ya 8 kutokana na biashara ya ndege kutokuwa na faida. ===== South...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Ambaye amekwazwa na shughuli za uchaguzi akalalamike kwenye Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki – Naibu Waziri wa Katiba na Sheria

    Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo...
  13. Rich Pol

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

    Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana. Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
  14. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini: Mwanamke aliyeweka vipande vya kioo kwenye uji wa mwanaye ashtakiwa kwa kesi ya mauaji

    Mwanamke mmoja wa Limpopo, Afrika Kusini apelekwa mahakamani, kushitakiwa kesi ya mauaji ya mtoto wake mwenye umri wa miaka kumi n moja (11) Nhabiseng Mokwana, 28 anadaiwa kumlisha mtoto wake uji aliouweka vipande vya kioo jambo lililosababisha kifo cha mtoto huyo. Mwanamke huyo alikamatwa wiki...
  15. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Mkutano nchi za Afrika na NORDIC: Rais Magufuli awakaribisha wawekezaji kuwekeza nchini, kwa sababu kuna amani na ukuaji mzuri wa uchumi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameshiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa Nchi za Afrika na NORDIC unaofanyika akatika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere JNICC Jijini Dar es salaam. ===== HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWA UFUPI...
  16. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Nchi 18 zimeathiriwa na mabadiliko ya Tabia Nchi Afrika

    Zaidi ya watu milioni 52 katika nchi 18 barani Afrika wanakabiliwa na baa kubwa la njaa, sababu ikiwa hali mbaya ya hewa, umasikini na migogoro kwa mujibu wa Oxfam. Baadhi ya maeneo yana ukame kwa kipindi cha miaka minne huku nchi nyingine, ukame umefuatiwa na mafuriko makubwa kutokana na...
  17. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki kuwachunguza Watawa wawili ambao wamepata Ujauzito ghafla wakati wakiwa ziarani bara la Afrika

    Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika. Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika...
  18. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kianze Afrika kati ya demokrasia na maendeleo?

    Na Elius Ndabila 0768239284 Katika mapitio yangu mengi nimeona kuna malalamiko na mijadala mingi juu ya kipi ni muhimu kati ya demokrasia au maendeleo? Wapo wanaodhani demokrasia ni mhimu kuliko maendeleo na wapo wanaodhani maendeleo ni mhimu kuliko demokrasia. Hii imekuwa ni changamoto kwa...
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nani aliyewaambieni na kuwadanganyeni kuwa Kocha wa Pyramids FC haijui Ligi ya Tanzania na Timu bora ya Simba SC?

    Ifuatayo ni Nukuu yake aliyoitoa jana mara baada ya Kumalizika kwa mtanange baina ya Timu yake na Yanga SC ambayo aliisema kwa Kiarabu na kwakuwa Mimi An Eagle najua Kiarabu sana nikaweza Kuitafsiri kwenu kama hivi….. " Wachezaji wa yanga ni laini kama bamia au tambi kama yule namba 14 ndiyo...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ifuatayo ni Ratiba yetu wana Yanga SC ya Kuwapokea Mashujaa wetu kutoka Misri baada ya Kufuzu Kwao Makundi Klabu Bingwa Afrika kwa Kuwatoa Pyramids FC

    Saa 10:00 Timu Kuwasili Saa 10:20 Wachezaji Kushuka kutoka katika Ndege kwa Magoti na Makalio Saa 10:30 Wachezaji Kuangaliwa kwa Jicho baya sana na Wahudhuriaji Uwanjani Saa 11:00 Golikipa Shikalo Kutemewa Mate na Mashabiki na Kupigwa Masingi Saa 11:20 Kocha Zahera Kuwambwa Makofi hadi akumbuke...
Back
Top Bottom