Kundi la wanasayansi, watafiti na wajasiriamali limesema bara la Afrika linaweza kufikia kuwa mzalishaji mkubwa wa bangi inayotumika kwa ajili ya matibabu.
Jordan Curl; mtaalamu kutoka Kituo cha Uwekezaji na Utafiti wa Bangi cha nchini Israel amewaambia wajumbe wanaohudhuria mkutano wa...
Medie Kagere ametajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ngazi ya Vilabu 2019 (African Interclubs Player of the Year).
Emmanuel Okwi ambaye msimu uliopita alikuwa sehemu ya kikosi chetu na yeye ametajwa kuwania tuzo hiyo...
Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo.
Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo.
Sasa basi, tuje kwenye hoja ya...
Mwanasiasa mkongwe mzee Mgaya ananihabarisha kuwa endapo Freeman Mbowe atachaguliwa tena kuiongoza Chadema basi atakuwa ni kiongozi wa pili Afrika anayependwa " sana" ndani ya chama chake.
Kiongozi anayemzidi Mbowe ni Robert Mugabe rip wa Zimbabwe lakini Mbowe kutokana na umri wake ana fursa ya...
Kwa miaka ya karibuni tumeshuhudia timu ya taifa ya wanawake kuwa tishio barani Afrika. Ikishinda makombe mfululizo katika mashindano ya CECAFA, COSAFA n.k. Kwa nini haipo hivyo kwa upande wa pili, tatizo lipo wadau?..
Kwenye nchi za jumuiya ya Africa Mashariki wanawake ambao ni wepesi kuolewa na kuishi vizuri na watanzania ni hawa wafutao
Namba moja wanaoongoza ni wanawake wa kinyarwanda wazuri na wana akili nyingi mno wengi wao kuolewa na mtanzania ni rahisi mno na wengi wameolewa na watanzania
Namba...
Viongozi wa waasi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati akiwemo Jenerali Abdoulaye Miskine, mmoja wa watu muhimu katika masuala ya siasa na usalama nchini humo wamekamatwa nchini Chad. Jenerali Abdoulaye Miskine aliwasili N'Djamena Jumatatu jioni.
Kwa mujibu wa vyanzo kutoka Chad, Aboulaye Miskine...
Jumuiya hiyo imesema hakuna nchi yoyote ya Jumuiya hiyo iliyo hatarini kuondolewa uanachama, kwa sababu ya kushindwa kutoa ada za mwaka, isipokuwa upo uwezekano wa kuwekewa vikwazo.
Kwa mujibu wa taarifa ya jumuiya hiyo, hadi kufikia Oktoba mwaka huu, Burundi ilikuwa ikidaiwa Dola za Marekani...
Kagame: Less talk, more action will bring the change we need in the region
SUNDAY NOVEMBER 17 2019
Rwandan President Paul Kagame speaks at a press conference in Kigali on November 8, 2019. PHOTO | URUGWIRO
In Summary
Relations with neighbours: How people relate with each other is important...
FALSAFA YA AFRIKA NA VIONGOZI WA LEO.
Afrika ina namna yake ya pekee sana ya kuutafsiri ulimwengu wake kwa kuzingatia misingi yake.
Licha ya falsafa hiyo kupewa majina mengi ya lugha jamii bado misingi yake ni ileile.
Mathalani kwa Afrika ya kusini wao waliita UBUNTU na ukiangalia kwa ndani...
Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Afrika Kusini wamegoma baada ya kukosa mishahara kwa miezi kadhaa kutokana na shirika hilo lenye ndege zaidi ya 40 na vituo (destinations) zaidi ya 42 duniani kutokupata faida kwa miaka zaidi ya 8 kutokana na biashara ya ndege kutokuwa na faida.
=====
South...
Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo...
Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana.
Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
Mwanamke mmoja wa Limpopo, Afrika Kusini apelekwa mahakamani, kushitakiwa kesi ya mauaji ya mtoto wake mwenye umri wa miaka kumi n moja (11)
Nhabiseng Mokwana, 28 anadaiwa kumlisha mtoto wake uji aliouweka vipande vya kioo jambo lililosababisha kifo cha mtoto huyo. Mwanamke huyo alikamatwa wiki...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameshiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa Nchi za Afrika na NORDIC unaofanyika akatika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere JNICC Jijini Dar es salaam.
=====
HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWA UFUPI...
Zaidi ya watu milioni 52 katika nchi 18 barani Afrika wanakabiliwa na baa kubwa la njaa, sababu ikiwa hali mbaya ya hewa, umasikini na migogoro kwa mujibu wa Oxfam.
Baadhi ya maeneo yana ukame kwa kipindi cha miaka minne huku nchi nyingine, ukame umefuatiwa na mafuriko makubwa kutokana na...
Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika.
Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika...
Na Elius Ndabila
0768239284
Katika mapitio yangu mengi nimeona kuna malalamiko na mijadala mingi juu ya kipi ni muhimu kati ya demokrasia au maendeleo? Wapo wanaodhani demokrasia ni mhimu kuliko maendeleo na wapo wanaodhani maendeleo ni mhimu kuliko demokrasia.
Hii imekuwa ni changamoto kwa...
Ifuatayo ni Nukuu yake aliyoitoa jana mara baada ya Kumalizika kwa mtanange baina ya Timu yake na Yanga SC ambayo aliisema kwa Kiarabu na kwakuwa Mimi An Eagle najua Kiarabu sana nikaweza Kuitafsiri kwenu kama hivi…..
" Wachezaji wa yanga ni laini kama bamia au tambi kama yule namba 14 ndiyo...
Saa 10:00 Timu Kuwasili
Saa 10:20 Wachezaji Kushuka kutoka katika Ndege kwa Magoti na Makalio
Saa 10:30 Wachezaji Kuangaliwa kwa Jicho baya sana na Wahudhuriaji Uwanjani
Saa 11:00 Golikipa Shikalo Kutemewa Mate na Mashabiki na Kupigwa Masingi
Saa 11:20 Kocha Zahera Kuwambwa Makofi hadi akumbuke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.