johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
Waziri Mike Pompeo wa serikali ya Marekani leo amemaliza ziara yake ya nchi kadhaa barani Afrika huku akiwataka viongozi wa kisiasa barani humu kuacha mara moja tabia ya kuongoza kiimla.
Pompeo amezuru nchi za Senegal, Ethiopia, Namibia na Afrika ya Kusini.
Chanzo: Star Tv Habari
Pompeo amezuru nchi za Senegal, Ethiopia, Namibia na Afrika ya Kusini.
Chanzo: Star Tv Habari