Wengi hawajui kuwa sasa hivi Afrika na Tanzania ni dodo, siyo kama zamani!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Ndo maana kila big power anakimbilia kufanya Afrika-Summit, kuna China-Afrika summit, EU-Afrika, Japani - Afrika, Urusi- Afrika, hata Uingereza naye juzi kati kafanya summit na Afrika, wote hawataki kuachwa nyuma, Afrika ndo future, US anasinyaa na wala hawezi kumtisha kila mtu tena anavyotaka,

Libya ilikuwa ni Vita ya mwisho, alijaribu kumtoa Asadi Syria kashindwa, kajaribu kumtoa Maduro wa Venezuela kashindwa, kila mahali wanagoma shauli kuna options nyingi leo hii, ila naona akina Zito Kabwe, Tundu Lisu & Co. bado wako stuck kwenye old World, bado wanakimbilia kushitaki kwa Muzungu karne hii ya 21? Ndo maana labda USA katupiga mkwara sisi kimya wala hatuhangaiki naye kumjibu, ...
 
Yes, Ni Future kisoko kwaajili ya bidhaa zao.

Juzi tu hapa matawala ya Africa yameitwa Urusi, yakawa yanaoneshwa silaha yanachekelea kama mabolizozo..

Mbuzi Jike Malaya, Kokote Anapigwa Pampu Tu: Tabu sana ....

Beberu Marekani anatongoza.

Akitoka Anakuja Beberu Mchina Naye Anamwambia, Achana Na Mmarekani Mimi Ndo Beberu La Mbegu..

Mara Beberu Britain Nalo Halitaki Kubaki Nyuma.
 
Kweli CCM tumeishiwa akili siku hizi. Kwa akili yako unadhani Marekani kashindwa kuwatoa Assad na Maduro???

USA ana njia mbili za kumuadhibu adui yake. Moja ni economic sanctions na nyingine ni military action.

Hao Venezuela na Syria uliowataja saivi ni almost dead economically kutokana na economic sanctions za USA.

Saivi wakimbizi wengi wanaoingia Europe wanatoka Syria Coz Syria is dead economically. Same to Venezuela saivi wananchi wanakimbilia Colombia kwa sababu Venezuela ni Marehemu kiuchumi.

Hatua ya Military action USA anamchukuliaga anaevuka mipaka yake ya kiusalama au usalama wa watu wake kama walivyomfanya Jenerali wa Iran juzi juzi.

Usichezee USA bwana mdogo wale ni watu wengine.
 
Yes, Ni Future kisoko kwaajili ya bidhaa zao.

Juzi tu hapa matawala ya Africa yameitwa Urusi, yakawa yanaoneshwa silaha yanachekelea kama mabolizozo..

Mbuzi Jike Malaya, Kokote Anapigwa Pampu Tu: Tabu sana ....

Beberu Marekani anatongoza.

Akitoka Anakuja Beberu Mchina Naye Anamwambia, Achana Na Mmarekani Mimi Ndo Beberu La Mbegu..

Mara Beberu Britain Nalo Halitaki Kubaki Nyuma.
Wacha iwe ivo tu
Hata marekani alikuwa mke wa mwingereza akawa anapelekewa watumwa wanalima mazao yanasafirishwa uingireza..alipoendelea ikawaje???
Marekani nae akamuoa china akawa anamtumia kama cheap labour maviwanda kama iphone na mengine yakajengwa china kwakuwa waliwaona ni wachapakazi na ni cheap labour.. China walipoendelea imekuwaje??
Wacha nasisi watuoe saivi watuone cheap labour wajenge maviwanda huku ili watuuzie bidhaa zao huku huku ila tukishaendelea wataisoma namba.
 
Wacha iwe ivo tu
Hata marekani alikuwa mke wa mwingereza akawa anapelekewa watumwa wanalima mazao yanasafirishwa uingireza..alipoendelea ikawaje???
Marekani nae akamuoa china akawa anamtumia kama cheap labour maviwanda kama iphone na mengine yakajengwa china kwakuwa waliwaona ni wachapakazi na ni cheap labour.. China walipoendelea imekuwaje??
Wacha nasisi watuoe saivi watuone cheap labour wajenge maviwanda huku ili watuuzie bidhaa zao huku huku ila tukishaendelea wataisoma namba.
Miaka karibu 60 ya uhuru bado tunapigana kamba,nchi hii hakuna mikakati bado ya kututoa tulipokwama!
 
Wanapayuka wenyewe hakuna anayewajibu kisha wanajileta mmoja mmoja, mara wanapiga ban huyu, mara travel advisory, lakini hamna anayewajibu kitu, mgao wa madini ni pasu, hakuna kuinyonya nchi tena, JPM amekaza buti.
 
Ukiona Pompeo anamuongelea Paul Makonda ujue kisu kimeugusa mfupa.

Ujumbe mzito sana umewafikia wamarekani kupitia uanzishwaji wa TWIGA.

Natural pride ya JPM haipendwi na hawa wakoloni, wanataka tuendelee kuwa vipaza sauti tu, hakuna hicho kitu.
 
Una uelewa wowote juu ya mkutana wa Berlin ulifanyika mwaka 1884-1885?
Ndo maana kila big power anakimbilia kufanya Afrika-Summit, kuna China-Afrika summit, EU-Afrika, Japani - Afrika, Urusi- Afrika, hata Uingereza naye juzi kati kafanya summit na Afrika, wote hawataki kuachwa nyuma, Afrika ndo future, US anasinyaa na wala hawezi kumtisha kila mtu tena anavyotaka, Libya ilikuwa ni Vita ya mwisho, alijaribu kumtoa Asadi Syria kashindwa, kajaribu kumtoa Maduro wa Venezuela kashindwa, kila mahali wanagoma shauli kuna options nyingi leo hii, ila naona akina Zito Kabwe, Tundu Lisu & Co. bado wako stuck kwenye old World, bado wanakimbilia kushitaki kwa Muzungu karne hii ya 21? Ndo maana labda USA katupiga mkwara sisi kimya wala hatuhangaiki naye kumjibu, ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana kila big power anakimbilia kufanya Afrika-Summit, kuna China-Afrika summit, EU-Afrika, Japani - Afrika, Urusi- Afrika, hata Uingereza naye juzi kati kafanya summit na Afrika, wote hawataki kuachwa nyuma, Afrika ndo future, US anasinyaa na wala hawezi kumtisha kila mtu tena anavyotaka, Libya ilikuwa ni Vita ya mwisho, alijaribu kumtoa Asadi Syria kashindwa, kajaribu kumtoa Maduro wa Venezuela kashindwa, kila mahali wanagoma shauli kuna options nyingi leo hii, ila naona akina Zito Kabwe, Tundu Lisu & Co. bado wako stuck kwenye old World, bado wanakimbilia kushitaki kwa Muzungu karne hii ya 21? Ndo maana labda USA katupiga mkwara sisi kimya wala hatuhangaiki naye kumjibu, ...
Kashindwa Korea, kasindwa Iran, hatawenzie wa Uturuki hawakumsikiliza wakati wananunua silaha Urusi! I agree there are many options
 
d
Ukiona Pompeo anamuongelea Paul Makonda ujue kisu kimeugusa mfupa.

Ujumbe mzito sana umewafikia wamarekani kupitia uanzishwaji wa TWIGA.

Natural pride ya JPM haipendwi na hawa wakoloni, wanataka tuendelee kuwa vipaza sauti tu, hakuna hicho kitu.
Subirini muone. Endeleeni tu kutiana ujinga hapo Lumumba
 
Kashindwa Korea, kasindwa Iran, hatawenzie wa Uturuki hawakumsikiliza wakati wananunua silaha Urusi! I agree there are many options
Kashindwa nini Korea?? Unajua hali ya kiuchumi ya Korea na wananchi wake???

Kashindwa nini Iran?? Unajua hali ya kiuchumi ya Iran na wananchi wake??? Kwa taarifa yako maana najua hapo Lumuba mpo shallow sana kwenye Elimu ya Kimataifa. Sasaivi kutokana na hali ngumu ya kiuchumi, Iran kuna maandamano yanaendelea kutaka kuiangusha serikali.

Mnafikiri Marekani ni Burundi eeh??? Subirini yajayo endeleeni tu na ujinga wenu
 
Hii ni sawa na una binti mrembo nyumbani kisha vijana wanapishana kwako usiku mchana.
Fikra zako zinakutuma una "Future Queen of the country". Jidanganye, wewe una future mgonjwa wa ukimwi.
 
Ndo maana kila big power anakimbilia kufanya Afrika-Summit, kuna China-Afrika summit, EU-Afrika, Japani - Afrika, Urusi- Afrika, hata Uingereza naye juzi kati kafanya summit na Afrika, wote hawataki kuachwa nyuma, Afrika ndo future, US anasinyaa na wala hawezi kumtisha kila mtu tena anavyotaka, Libya ilikuwa ni Vita ya mwisho, alijaribu kumtoa Asadi Syria kashindwa, kajaribu kumtoa Maduro wa Venezuela kashindwa, kila mahali wanagoma shauli kuna options nyingi leo hii, ila naona akina Zito Kabwe, Tundu Lisu & Co. bado wako stuck kwenye old World, bado wanakimbilia kushitaki kwa Muzungu karne hii ya 21? Ndo maana labda USA katupiga mkwara sisi kimya wala hatuhangaiki naye kumjibu, ...
Wewe dada bado uko usingizi wa pono. Endeleeni kujilisha upepo tu hapo Lumumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom