Umoja wa Kimataifa (UN) waeleza kuwa Karibu watu 280 wamefariki na wengine zaidi ya milioni 2.8 walioathiriwa na mvua nzito na mafuriko katika ukanda wa Afrika mashariki.
Ofisi ya UN ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema nyumba, miundombinu na makazi ya watu yameharibiwa jambo...
Nimemsikia Profesa mmoja kutoka Chicago School of Economics, akisema kwamba sababu ya Afrika yetu kuwa nyuma kimaendeleo kuliko sehemu nyingine ni kwa sababu hatujawahi kuwa na tairi hapo nyuma, ndioo namaanisha tairi kama la gari.
Yaani hatukuwahi kuunda tairi na kulitumia kwenye shughuli mbali...
Vimbunga viwili vinatarajiwa kutua katika pwani ya Afrika Mashariki usiku wa leo Alhamisi na kesho Ijuamaa, mamlaka za hali ya hewa zinaripoti.
Eneo la Puntland nchini Somalia ndilo linalotarajiwa kuathirika zaidi na tufani hiyo.
Kwa mujibu wa wataalamu wa hali ya hewa, mgandamizo wa hali ya...
Kiasi cha watu milioni 3 kote Afrika Mashariki wameathiriwa na mvua, mafuriko na maporomoko ya matope katika wiki za karibuni. Zaidi ya watu 200 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya matope huko Afrika Mashariki tangu kuanza kwa msimu wa mvua, ambao bado haujakwisha.
Watalaamu...
Dar es Salaam. Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamesema wanatafakari kuIshtaki Serikali ya Tanzania katika kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika.
Katika barua...
Kama kuna Mtu ambaye hivi sasa kila nikiona yanayomkumba na kumtokea wakati alipokuwa Madarakani alikuwa ni Mbabe na Mkatili huku akiwa hataki Kung'oka namuonea mno / sana Huruma ( Imani ) ni aliyekuwa Rais wa Sudan Omar Al Bashir.
Jamani Jamaa anatia Huruma na ukiwa na Moyo mwepesi kama...
Kuna Mmoja wa hao ‘ Maprofesa ‘ ndani ya hilo Jopo lao ( sasa Naibu Waziri wa Wizara ambayo nimeisahau kwa sasa ila nikiikumbuka nitaitaja ) nakumbuka baada tu ya Kufanikiwa ‘ Kuikomboa ‘ Kisheria Mbung’o / Ndege yetu huko kwa Waafrika Wenzetu Afrika Kusini alipohojiwa alikuwa akiongea kwa...
Tanzania imeondoa Art 34(6) kwenye sheria zake inayoruhusu mwananchi mmoja mmoja na NGO's kuishitaki kwenye mahakama ya Afrika.
Je huu ni uoga au imeona inafanya makosa mengi.
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu ilianza rasmi shughuli zake huko Addis Ababa, Ethiopia mnamo Novemba...
NCHI za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimepiga marufuku uingizaji, usambazaji na uuzaji wa bidhaa za siagi, zilizotengenezwa kwa karanga kutoka Kenya.
Zimepigwa marufuku kutokana na bidhaa hiyo, kubainika kuwa na vimelea hatarishi kwa afya za walaji.
Kwa mujibu wa Shirika la Viwango...
Wataalamu wa sheria tunaomba uchambuzi wa kina tujue hii kitu na uhalisia wake katika kutekelezeka
===
PROTOCOL TO THE AFRICAN CHARTER ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS ON THE ESTABLISHMENTOF AN AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS
The Member States of the Organization of African Unity...
Shirika la Save the Children limeonya kuwa watu milioni 33 kutoka nchi kumi za Afrika Mashariki na Kusini wako kwenye hatari ya kukumbwa na njaa kutokana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa.
Shirika hilo limetoa ripoti hiyo katika siku ya kwanza ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu...
Serikali ya Tanzania imeondoa haki ya mtu na asasi za kiraia (NGOs) kuweza kufungua mashtaka dhidi yake katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na za Mataifa, Shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International limegundua.
Kuondolewa kwa haki hizi kutawanyang’anya watu na asasi...
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Augustine Mahiga amekanusha taarifa za Serikali kujitoa katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR)
Akifafanua zaidi kuhusu dai hilo, Dkt. Mahiga anasema serikali haijajitoa katika Mahakama hiyo isipokuwa imeiandikia barua Mahakama hiyo kuondoa...
Wakuu nimestaajabishwa na hili: Wakati sisi kwetu tunajengewa Bwawa na Umeme wa Teknolojia ya juu, Wamisri wamempa tenda Mchina kuwajengea Jengo na Mnara utakaokuwa mrefu kuliko yote Afrika. Nilidhani kwa hili la Umeme, ingetosha kwa wao kujenga minara na majengo. Kweli Mungu hampi mtu kila kitu
Habari!
Uganda na Rwanda ziko mbioni zaidi ya mataifa mengine ya Afrika Mashariki katika mabadiliko ya kiteknolojia kuelekea magari yatumiayo nishati ya umeme ingawa mapungufu ya miundombinu yanazuia uwekezaji katika sekta hiyo inayoibukia.
Mataifa hayo mawili tayari yamezindua viwanda maalumu...
Hawa watu ndio waanzilishi wa demokrasia lkn wanapo ona demokrasia utakanyagwa afrika wanafanya nn?
zaidi naona ni matamko tu.
Demokrasia inakanyagwa Uganda chini ya mseveni, je wanafanya nn zaidi zaidi ya matamko na kuendelea kumpa misaada ya hali na mali.
Demokrasia inakanyagwa Rwanda lakini...
Kundi la wanasayansi, watafiti na wajasiriamali limesema bara la Afrika linaweza kufikia kuwa mzalishaji mkubwa wa bangi inayotumika kwa ajili ya matibabu.
Jordan Curl; mtaalamu kutoka Kituo cha Uwekezaji na Utafiti wa Bangi cha nchini Israel amewaambia wajumbe wanaohudhuria mkutano wa...
Medie Kagere ametajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ngazi ya Vilabu 2019 (African Interclubs Player of the Year).
Emmanuel Okwi ambaye msimu uliopita alikuwa sehemu ya kikosi chetu na yeye ametajwa kuwania tuzo hiyo...
Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo.
Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo.
Sasa basi, tuje kwenye hoja ya...
Mwanasiasa mkongwe mzee Mgaya ananihabarisha kuwa endapo Freeman Mbowe atachaguliwa tena kuiongoza Chadema basi atakuwa ni kiongozi wa pili Afrika anayependwa " sana" ndani ya chama chake.
Kiongozi anayemzidi Mbowe ni Robert Mugabe rip wa Zimbabwe lakini Mbowe kutokana na umri wake ana fursa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.