afrika

  1. The Assassin

    Shirika la Ndege la Afrika Kusini 'South African Airways' halijawahi kupata faida toka mwaka 2011, wafanyakazi wamegoma

    Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Afrika Kusini wamegoma baada ya kukosa mishahara kwa miezi kadhaa kutokana na shirika hilo lenye ndege zaidi ya 40 na vituo (destinations) zaidi ya 42 duniani kutokupata faida kwa miaka zaidi ya 8 kutokana na biashara ya ndege kutokuwa na faida. ===== South...
  2. Miss Zomboko

    Ambaye amekwazwa na shughuli za uchaguzi akalalamike kwenye Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki – Naibu Waziri wa Katiba na Sheria

    Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo...
  3. Rich Pol

    Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

    Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana. Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
  4. Suley2019

    Afrika Kusini: Mwanamke aliyeweka vipande vya kioo kwenye uji wa mwanaye ashtakiwa kwa kesi ya mauaji

    Mwanamke mmoja wa Limpopo, Afrika Kusini apelekwa mahakamani, kushitakiwa kesi ya mauaji ya mtoto wake mwenye umri wa miaka kumi n moja (11) Nhabiseng Mokwana, 28 anadaiwa kumlisha mtoto wake uji aliouweka vipande vya kioo jambo lililosababisha kifo cha mtoto huyo. Mwanamke huyo alikamatwa wiki...
  5. Mwl.RCT

    Mkutano nchi za Afrika na NORDIC: Rais Magufuli awakaribisha wawekezaji kuwekeza nchini, kwa sababu kuna amani na ukuaji mzuri wa uchumi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameshiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa Nchi za Afrika na NORDIC unaofanyika akatika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere JNICC Jijini Dar es salaam. ===== HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWA UFUPI...
  6. Miss Zomboko

    Nchi 18 zimeathiriwa na mabadiliko ya Tabia Nchi Afrika

    Zaidi ya watu milioni 52 katika nchi 18 barani Afrika wanakabiliwa na baa kubwa la njaa, sababu ikiwa hali mbaya ya hewa, umasikini na migogoro kwa mujibu wa Oxfam. Baadhi ya maeneo yana ukame kwa kipindi cha miaka minne huku nchi nyingine, ukame umefuatiwa na mafuriko makubwa kutokana na...
  7. C

    Kanisa Katoliki kuwachunguza Watawa wawili ambao wamepata Ujauzito ghafla wakati wakiwa ziarani bara la Afrika

    Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika. Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika...
  8. Elius W Ndabila

    Ni kipi kianze Afrika kati ya demokrasia na maendeleo?

    Na Elius Ndabila 0768239284 Katika mapitio yangu mengi nimeona kuna malalamiko na mijadala mingi juu ya kipi ni muhimu kati ya demokrasia au maendeleo? Wapo wanaodhani demokrasia ni mhimu kuliko maendeleo na wapo wanaodhani maendeleo ni mhimu kuliko demokrasia. Hii imekuwa ni changamoto kwa...
  9. GENTAMYCINE

    Nani aliyewaambieni na kuwadanganyeni kuwa Kocha wa Pyramids FC haijui Ligi ya Tanzania na Timu bora ya Simba SC?

    Ifuatayo ni Nukuu yake aliyoitoa jana mara baada ya Kumalizika kwa mtanange baina ya Timu yake na Yanga SC ambayo aliisema kwa Kiarabu na kwakuwa Mimi An Eagle najua Kiarabu sana nikaweza Kuitafsiri kwenu kama hivi….. " Wachezaji wa yanga ni laini kama bamia au tambi kama yule namba 14 ndiyo...
  10. GENTAMYCINE

    Ifuatayo ni Ratiba yetu wana Yanga SC ya Kuwapokea Mashujaa wetu kutoka Misri baada ya Kufuzu Kwao Makundi Klabu Bingwa Afrika kwa Kuwatoa Pyramids FC

    Saa 10:00 Timu Kuwasili Saa 10:20 Wachezaji Kushuka kutoka katika Ndege kwa Magoti na Makalio Saa 10:30 Wachezaji Kuangaliwa kwa Jicho baya sana na Wahudhuriaji Uwanjani Saa 11:00 Golikipa Shikalo Kutemewa Mate na Mashabiki na Kupigwa Masingi Saa 11:20 Kocha Zahera Kuwambwa Makofi hadi akumbuke...
  11. cheusimangala_

    Bandari za Tanzania bado zitabaki kuwa suluhisho kwa waagizaji wa mafuta Afrika

    Mamlaka ya Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authority) ni shirika la umma linalofanya kazi zake chini ya Wizara ya Miundombinu. Na ina jukumu zima la kuongoza na kuendesha bandari za bahari na maziwa ya nchini Tanzania. Mamlaka hiyo ipo mjini Dar es Salaam na ni bandari mwanachama wa Jumuia...
  12. Yericko Nyerere

    Madikteta wa Afrika wamefukuzwa Ulaya na Marekani, sasa wanapishana angani kuelekea Urusi

    Moja ya eneo duniani ambako siasa ya upinzani inadhibitiwa kwa mkono wa chuma ni Urusi na Uchina ambako leo ndiko madikteta wa Kiafrika waliofukuzwa Ulaya na Amerika wanapishana angani kunywa chai na kupumzisha akili zao huko. Kwabahati nzuri mimi ni shahidi mkuu, nimekaa Urusi, na Uchina, moja...
  13. diana chumbikino

    Tanzania yaingia ‘Top Ten’ mazingira bora uwekezaji Afrika

    TANZANIA imeshika nafasi ya saba, katika nchi 20 zenye mazingira bora ya uwekezaji barani Afrika. Anaripoti Faki Sosi . Akizungumza na wanahabari leo tarehe 28 Oktoba 2019, Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) amesema, utafiti huo huria uliofanywa na Kampuni...
  14. ChoiceVariable

    Kwanini Wachina hukimbia kwao na kuja Afrika, Ulaya au Marekani?

    Wakuu habari za uzima Tumekuwa tukiaminishwa kwamba Wachina wameendelea sana kwani wanaongoza kujenga 'Fly Over', 'Buleti Train', barabara na madaraja ya juu na chini bila kusahau magorofa na ma 'drimulaina' ya kila dizaini lakini cha kushangaza wanaongoza kukimbia nchi yao na kuzamia huku...
  15. J

    IGP Sirro awaonya watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020

    Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020. Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza. IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza...
  16. Sky Eclat

    Viongozi wetu wa Afrika wanatuwakilisha vyema katika mkutano wa agenda ya maendeleo wakiwa makini kabisa

    Hawa ndio Viongozi wa Afrika waliotumia mamilioni ya shilingi kusafiri hadi Urusi kusukuma agenda za maendeleo kwa umakini kabisa. Jambo pekee linaloweza kuwaamsha hawa Viongozi ni wasikie tu kuna mpinzani anataka kufanya mkutano wa hadhara. Bila shaka unaweza kuelewa ni kwa nini Rais wa...
  17. elivina shambuni

    Rais Magufuli akutana na viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika

    viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) ambao wanahudhuria mkutano wa 58 unaofanyika hapa nchini kwa siku 5 ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi wanachama 49 na mashirika mbalimbali. Viongozi wa AALCO waliokutana na Mhe. Rais Magufuli ni Rais wa AALCO...
  18. MakinikiA

    Sochi 2019: Mkutano wa kwanza unaidhinisha kurudi kwa ushawishi wa Urusi Afrika

    Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Katika miaka michache iliyopita, Urusi imerudi upya kama nguvu ya kutambuliwa katika bara la Afrika. Ushirikiano mwingi uliokuwepo katika enzi za uliokuwa muungano wa Sovieti ulikatizwa baada ya kuanguka kwa Muungano huo, lakini wakati uhusiano na magharibi...
  19. MK254

    Rwanda na Urusi waingia kwenye makubaliano ya nyuklia

    Hongera sana Rwanda, kainchi kadogo kiasi cha mkoa lakini kanaskika na kutikisa... Raisi wa Urusi, Vladmir Putin amesema kuwa nchi yake inaweza kuisaidia Afrika bila masharti ambayo huambatanishwa kwenye misaada ya mataifa ya magharibi. ''Tunaona jinsi mataifa ya magharibi yanavyotoa...
  20. K

    Tanzania kinara katika udahili wa wanafunzi elimu ya awali barani Afrika

    IMEELEZWA kuwa Tanzania ni kinara katika suala la udahili wa wanafunzi katika elimu ya awali barani Afrika na hivyo kuifanya kupiga kubwa katika utekelezaji wa maelengo ya maendeleo endelevu (SDGs). Mafanikio hayo yanatokana na serikali kutoa elimu bure bila malipo ambao umechangia kuongeza...
Back
Top Bottom