africa

  1. Influenza

    Raia wa nchi 11 kutoka Afrika mbioni kuruhusiwa kuingia nchi wanachama wa EU kuanzia Julai baada ya nchi hizo kufungua mipaka

    Kwa mujibu wa Euronews orodha ya awali inaonesha raia wa nchi za Mozambique, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria na Morocco wataruhusiwa kuingia nchi za Umoja wa Ulaya (EU) Inaelezwa huku Ulaya ikiwa inajiandaa kufungua mipaka, Maafisa wa nchi hizo...
  2. CARIFONIA

    Tanzania yazindua meli kubwa ya abiria katika ukanda huu wa Afrika

    Hatimaye Tanzania imefanya uzinduzi wa meli kubwa ya abiria Mv Mwanza hapa kazi tu, uzinduzi huu unarejesha safari za meli kati ya Mwanza na Bukoba baada ya miaka kadhaa kupita kufuatia ajali ya MV Bukoba kutokea, meli hii inasemekana ndio meli kubwa ya abiria Kusini mwa Jangwa la Sahara
  3. Kevin85ify

    Kenya and South Africa dominate Africa's private equity fund

    Kenya and South Africa dominate Africa's private equity fund Series A and Series B deals together accounted for 29 per cent of the total deal volume and 38 per cent of the total value of early-stage deals. In Summary Fintech and information technology dominated the African start-up scene, with...
  4. Chief Kabikula

    Vyombo vya Dola viache Demokrasia ikue Afrika, viige mfano wa Malawi

    Nivipe pongezi vyombo vya dola vya Malawi kwa kutenda haki na nchi zingine zinifunze kutoka Malawi. Jeshi, Polisi, Mahakama, majaji na mkuu wa jeshi aliyekubali kufukuzwa kazi, lakini alisimamia msimamo wake palepale penye haki. Alikataa kupiga raia, Majaji waliktaa rushwa ya mabililioni...
  5. Wacha1

    East Africa: Three EAC States to pay Sh. 35 trillion in debt servicing

    Credit: The Citizen Three EAC states to pay Sh35 trillion in debt servicing Dar es Salaam - When Tanzania dodged the allure of acquiring more debt to cushion the economy from adverse impacts of Covid-19, it may have realised how costly it had become for member states of the East African...
  6. CARIFONIA

    Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuboresha miundobinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa

    Kwa juhudi zilizochukuliwa na serikali ya TZ katika uboreshaji wa miundombinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria na thubutu kusema kwa sasa TZ ndio inaongoza kwa kua na miundombinu bora katika nyanja za masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa. Ukizingatia project hizi...
  7. F

    Magufuli angekuwa Rais wa Yanga ama simba, zingetingisha sana Africa, uncle Magu ukistaafu njoo utuongozee yanga kama rais misimu mitatu tu

    Habari wadau.. natamani sana yanga yangu ingepata kiongozi mbabe na mpenda maendeleo kama magufuli. hawa kina msolla na wenzake kina mkwassa ni wasanii tu.. miaka yote tunawajua hawajawai kupata mafanikio yeyote ya taasisi wanazoziongoza..Magufuli japo mpira haupendi ila kuongoza anajua.. maana...
  8. mwathadan

    Nairobi wins big in Africa venture capital funding

    Kenya accounted for the second largest volume of venture capital deals in Africa after South Africa between 2015 and 2019, helped by its position as the eastern Africa regional economic hub. A report by the African Private Equity and Venture Capital Association (AVCA) on VC deals for the period...
  9. Don YF

    10 Largest ports in Africa

    Wapi Dar??., I thought Dar port is in the top 10 league., 10 Largest Ports in Africa Tguyinternational Jun 25, 2020 12:15 Africa covers about 60% of the earth's surface. Africa possess over a hundred port facilities. The ports of Africa, are not just a tourist attraction, but also a field of...
  10. Mudawote

    Kenya KANU ndiyo ipo madarakani, Upinzani Afrika bado sana

    Great thinkers, Nadhani kila mmoja sasa anaelewa kwamba Vyama vya Upinzani havifai kabisa kupewa kuongoza nchi. Kenya mwanzo wakachagua wapinzani, baadaye wapinzani wakagombea madaraka mpaka kuuana, wakaamua kumchagua Uhuru Kenyata kwa kusema “turudi nyumbani kumenoga”. Kwa hilo somo...
  11. Kevin85ify

    Kenya: CUEA (Catholic University Of East Africa) Wins ICC Moot

    Our Faculty of Law has scooped the Best Regional Memorial for Africa Award at the just concluded 2020 edition of the ICC Moot Court Competition. The competition which brought together 71 teams from 50 different countries is organized by the Grotius Centre for International Legal Studies and...
  12. YoungD

    The Most powerful countries in the world: Kenya is number 3 in Africa and 52 in the world

    The world’s most powerful countries also are the ones that consistently dominate news headlines, preoccupy policymakers and shape global economic patterns. Their foreign policies and military budgets are tracked religiously. When they make a pledge, at least some in the international community...
  13. Dam55

    Hivi ni lazima chaguzi zetu zisimamiwe na wasimamizi kutoka nje? Afrika tutakuwa watumwa mpaka lini?

    Nimemsikiliza mh Bernard Membe leo ameongea jambo ambalo kwa kweli linaamsha fikira nyingi sana. Anahoji tutakwenda vipi kwenye Uchaguzi bila kuwepo kwa wasimamizi wa uchaguzi wa kimataifa? Kwasababu kutokana na Janga la corona itasababisha wasimamizi hao kuto kuja mwezi Oktoba, ameenda mbali...
  14. President of China

    Faida na hasara za East Africa Community (EAC)

    Ndugu wana JF naomba kiwasilisha. Naomba tujikite kujadili kwa kina faida na hasara za kuungana na kuwa jumuiya ya Afrika mashariki. Kwa historian muungano huu uliwahi kuwepo na ukavunjika kwa sababu kadha wa kadha. Je, zile sababu zilizosababisha kuvunjika kwa Afrika mashariki ya zamani...
  15. Don YF

    UN Security Council election: South Africa supports Kenya

    South Africa is more reasonable than our immediate southern neighbours, wanajua the most important and economically strong country in East Africa as they confess; strategic for them and for the good of Africa. Hawana wivu, forward looking not backward thinking and negative like. Wanajijua...
  16. M

    Did you know of the Tutsi people in Rwanda?They are among the Tallest people in Africa

    In this article I will be using mostly the first family of Rwanda, the Paul Kagame's as pictorial examples. We are well conversant with the Dutch men and the Latvian women being the world's tallest people towering over all other nationalities. And according to studies, the average Dutchman...
  17. Don YF

    Top 10 countries with improved healthcare in Africa

    Kenya has the best healthcare in East Africa, not from opinions but expert analysis. Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 African countries lose millions of US Dollars yearly in medical tourism. According to the Health Care Index, derived from a collation of data...
  18. Kinoamiguu

    Siku ya mtoto wa Afrika; Je, mtoto yu wapi na anafanya nini?

    Wasalaam. Leo tumeazimisha siku ya mtoto wa Afrika . Bila shaka wapo waliotengeneza kofia na mafulana yao kusherehekea siku hii adhimu kwao, kama kweli wapo waliokimbilia kwenye radio, televison na mitandao kuazimisha siku hii kwao. Lakini swali la kujiuliza ni moja nalo ni huyu mtoto wa...
  19. Sipendi Uchawa

    Kilele cha maadhimisho ya siku ya mtoto wa wa Africa, yapi maoni yako?

    Habarini za leo ndugu zanguni. Natumai hamjambo na mapambano ya kila siku yanaendelea, kila mmoja anapambana kuhakikisha anapata riziki yake. Kama tujuavyo kuwa kila ifikapo 16/06 ya kila mwaka huwa kuna maadhimisho ya siku inayofahamika kama siku ya mtoto wa Afrika ili kuenzi mauaji ya watoto...
Back
Top Bottom