Electricity penetration in Africa: Kenya at 84.5%, Tanzania at 39.5% - what is not happening Tanzania?

NairobiWalker

JF-Expert Member
Oct 31, 2012
11,727
11,826
2.jpg
4.jpg
 
Hizi ni dalili za kupata laana katika nchi yenu ya Kenya. Haya yote unayoyaandika ni dalili ya laana hizo.

Deuteronomy 28:28-29

Bwana atakupiga kwa wazimu, na kwa upofu, na kwa bumbuazi la moyoni;

29 utakwenda kwa kupapasa-papasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.
Kumbukumbu la Torati 28:28-29

The LORD shall smite thee with madness, and blindness, and astonishment of heart:

And thou shalt grope at noonday, as the blind gropeth in darkness, and thou shalt not prosper in thy ways: and thou shalt be only oppressed and spoiled evermore, and no man shall save thee.
 
Duh! Hii balaa sasa

Ndugu yangu tuusan huwa nakuona kama Mtanzania anayejua kutumia akili, naomba utolee tamko hili bandiko.
 
Mbona hayo mahesabu hayajakaa yakatulia, yaani wateja milioni 2.7 nchi yote ndio wamesababisha asilimia 84% access rate.
Hata ukizidisha useme kila mteja ana familia ya watu kumi, hiyo bado itakua hamjafikia hata 40%
Nadhani household moja ambayo huwa na watu 5 hadi zidi ya 10 huw inahesabaika kama mtu mmoja

Anyway hiyo taarifa katoa waziri ambaye anawez kuweka uwongo ka maslahi ya kisiasa, mi ningetaka indpendent, reputable, international body kufanya hiyo sensa.

Hizo data hapo juu pia siziamini sana, hawasemi hata ni taaisi gani imefanya, just ramani tu, unaweza kuta data za mwaka 2005 ndio zinatumika.
 
Mbona hayo mahesabu hayajakaa yakatulia, yaani wateja milioni 2.7 nchi yote ndio wamesababisha asilimia 84% access rate.
Hata ukizidisha useme kila mteja ana familia ya watu kumi, hiyo bado itakua hamjafikia hata 40%
Iyo hesabu ya household hata Mimi sijaielewa vizuri But Waziri anahaja gani kudanyanya kwa sababu idadi ya vijiji vyenye umeme vimeonekana hapo.

Tuna vijiji 12k na kitu mpaka sasa vilivyofikiwa na huduma ni 9k na kitu.
 
Iyo hesabu ya household hata Mimi sijaielewa vizuri But Waziri anahaja gani kudanyanya kwa sababu idadi ya vijiji vyenye umeme vimeonekana hapo
Tuna vijiji 12k na kitu mpaka sasa vilivyofikiwa na huduma ni 9k na kitu
Achana Nao Wamezoea Data zamakaratasi Uhalisia 0

Mpaka Kufikia Tarehe 22 Tanzania imefanimiwa Kuweka Umeme Vijiji 10126

Na Kuanzia Tarehe 12 Mwezi wa Pili, Zoezi la kufuta Vijiji vyote Linaanza
 
Mbona hayo mahesabu hayajakaa yakatulia, yaani wateja milioni 2.7 nchi yote ndio wamesababisha asilimia 84% access rate.
Hata ukizidisha useme kila mteja ana familia ya watu kumi, hiyo bado itakua hamjafikia hata 40%
MK254 wewe ni mchawi unawanga, Tz tupo juu
 
Iyo hesabu ya household hata Mimi sijaielewa vizuri But Waziri anahaja gani kudanyanya kwa sababu idadi ya vijiji vyenye umeme vimeonekana hapo
Tuna vijiji 12k na kitu mpaka sasa vilivyofikiwa na huduma ni 9k na kitu
Waziri ni mwanasiasa na wanasiasa wote ni waongo. Usimwamini mwanasiasa yeyote. Wewe amini report from a reputable source.
 
Iyo hesabu ya household hata Mimi sijaielewa vizuri But Waziri anahaja gani kudanyanya kwa sababu idadi ya vijiji vyenye umeme vimeonekana hapo
Tuna vijiji 12k na kitu mpaka sasa vilivyofikiwa na huduma ni 9k na kitu

Hapo nimehoji takwimu zake waziri, yaani hiyo 2.7m si kasema yeye? Sasa itafutie asilimia uone kama utafikia hata 40%

Nguzo za umeme kuungwa vijijini hiyo poa na ni kazi nzuri, ila mwisho wa siku kile huhesabiwa ni idadi ya familia ngapi zimeunga na kuwasha mataa ya umeme kwenye nyumba zao, na ndio hiyo waziri amesema nchi yote ni 2.7m.
 
Iyo hesabu ya household hata Mimi sijaielewa vizuri But Waziri anahaja gani kudanyanya kwa sababu idadi ya vijiji vyenye umeme vimeonekana hapo
Tuna vijiji 12k na kitu mpaka sasa vilivyofikiwa na huduma ni 9k na kitu
Halafu tuchukue mfano wa kijiji kimoja kilichofikiwa na umeme. Tukiite kijiji A. Hiki kijiji kina nyumba hamsini. Just because kijiji A kimefikiwa na umeme haimaanishi kwamba nyumba zote 50 zina umeme. Ni jukumu la kila nyumba kulipa ada kidogo ili waungwe na umeme.

Hapa Kenya unalipa ksh 15,000 ili uungwe na umeme. Huko Tanzania sio bure kuungwa na umeme lazima utoe pesa ili uungwe na umeme na sio kila nyumba itaweza kumudu kutoa pesa hio. Kwa hivyo just because a village is connected to electricity does not mean that every house is connected to electricity.
 
Halafu tuchukue mfano wa kijiji kimoja kilichofikiwa na umeme. Tukiite kijiji A. Hiki kijiji kina nyumba hamsini. Just because kijiji A kimefikiwa na umeme haimaanishi kwamba nyumba zote 50 zina umeme. Ni jukumu la kila nyumba kulipa ada kidogo ili waungwe na umeme. Hapa Kenya unalipa ksh 15,000 ili uungwe na umeme. Huko Tanzania sio bure kuungwa na umeme lazima utoe pesa ili uungwe na umeme na sio kila nyumba itaweza kumudu kutoa pesa hio. Kwa hivyo just because a village is connected to electricity does not mean that every house is connected to electricity.
Hivi wewe jamaa wa CPA hewa huwa unafanya utafiti kweli kabla hujazungumza? Huku tz umeme wa rea unaosambazwa vijijini raia huchangia 27000tzs kuunganishiwa majumbani ambayo ni sawasawa na ks 1030 , sasa kati ya tz na kenya nani anahujumu raia.

Tz nzima licha ya ukubwa wake ni vijiji 2000 pekee ndio bado havijafikiwa hadi kufikia 2023 nadhani tz nzima itakuwa na acces ya umeme. Hiyo ksh 15000 mmeweka gharama kubwa ili kufidia madeni maana na sikia now mko kwenye recession mnakimbilia depression.
 
Back
Top Bottom