Third kit ya Simba miongoni mwa jezi bora Afrika

njaakalihatari

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
4,084
8,663
Mara baada ya week hii simba kuwaloga CAF na kuwahong kabisa hadi kuwekwa namba 17 kwa ubora barani Afrika wakiwa wamejikusanyia points 14 kwa mujibu wa CAF 5 year ranking sytem wamefanya umafia mwingine badaa ya kutumia uchawi wa paka mweusi na kuwekwa katika list ya teams zenye jezi zinazovutia.

Hadi sasa haiujulikani ni malalamiko ya aina gani yatakayofuatia kutokana na hali hii iliyojitokeza

Screen Shot 2021-01-11 at 2.42.16 PM.png
 
Nani kasema?
Kwa research gani?

Hata mimi Naweza kuphotoshop kibandiko changu kama hicho nikaiweka jezi ya kiluvya united kama jezi zenye mvuto zaidi.
 
Nani kasema?
Kwa research gani?

Hata mimi Naweza kuphotoshop kibandiko changu kama hicho nikaiweka jezi ya kiluvya united kama jezi zenye mvuto zaidi.
daah mshaanza mkuu si nimesema ni yule paka mweusi kasababisha na hela za MO wamehonga?hata CAf wenyewe wamehongwa wametuweka namba 17 africa...au ukitaka visit hapa.

 

Only 3 From SA | 10 Best Kits In Africa 2021​

News_Flash_Gordon

By News_Flash_Gordon | Opera News South Africa
Published 53 minutes ago - 0 views

Africa soccer zone edition released a list of 10 best kits in Africa in no particular order. It's a range of kits from all leagues in Africa from the club's home kit to their third kit. The list of best 10 kits come from 7 African countries which are Tanzania, South Africa, Egypt, Democratic Republic of Congo, Ghana, Nigeria and Tunisia. South Africa leads the chart with 3 PSL team kits which are Kazier Chiefs, Cape Town City FC and AmaZulu in no particular order. Most of these teams play their football in continental competitions such as the CAF Champions League and CAF Confederation Cup. The pick was done according the style and brilliant mindset that went into the design of the 10 jerseys.
34788883eac5406baeaf54cc7eef7aaf
image credit : @AfricaSoccer_zn / Twitter

Here are the names of the 10 best kits in Africa in no particular order :

Simba Sports Club


The Tanzanian football club third kit was chosen as one of the ten best kits. The kit resembles a downward wave with red powdered colour and a grey background as the main colour. A red collar and red sleeve strips are the finishing touches.

Kaizer Chiefs Football Club

The mighty Amakhosi are in the best 10 kits and it comes as no surprise as one of their last season's away black kit was also voted in the best kits in the world and Barcelona FC even used it as their away kit also. So, it speaks volume in terms of best kits. Their kit is brilliant and simply killing it. A black coloured downward shockwave with a touch of gold colour.

Pyramids Football Club

The upcoming Egyptian giant killers are on the rise and they even made their name in the best kits. Their kit is simple and uncomplicated, their home kit has blue hexagon shapes imprinted on the jersey.

Association Sportive Vita Club

One of DR Congo's best club that is always punching above their weight has been chosen. Their all green and black home kit was simply brilliant according to the selectors. The black sleeves made the finishing touches.

Asante Kotoko Sporting Club

The Ghanaian giants have been missing from the African scenes for quite some time but they are no longer missing, they got a best kit. Their red kit shows danger and fury. A collage is imprinted in the front of the kit.

Espérance Sportive de Tunis

Regarded as one of the best team in Tunisia, their original red and yellow strips home kit made it big into the best kit in Africa. Most African supporters have seen this kit a number of times in the CAF champions League.

Al Ahly Sporting Club

The current CAF Champions League champions away kit is also in the mix and it is an unusual one from the reigning Egyptian giants. Red mixed with a colour of blue takes supporters by awesome suprise. Many African fans and Al Ahly SC fans will take long when they this kit in action.

Akwa United Football Club

The Nigerian club's home kit is an eye catcher with light orange spotted dots and a white background to finish it off. They even wrote their name in front of their kit to remind Spectors who they are.

Cape Town City Football Club

The Cape Town based club came as a major suprise for many football lovers but their kit is original and reflects the culture of Cape Town and all the surrounding of mother city.

AmaZulu Football Club

The Zulu nation will be really pleased with their home kit making it as one of the best kit in Africa. Thier kit reflects their culture of Zulu speaking people. Usuthu as their affectionately known by SA football fraternity are impressing their fellow Africans with a green colour with a black panther the movie theme on the chest.
3e45944090a245878c75d64ea2f4b11e
image credit : @AfricaSoccer_zn / Twitter

There you go ladies and gentlemen the best 10 kits in Africa in the season 2020/21. Most of this African team kits didn't come as a suprise to managing fans in the African football fraternity. Many fans would disagree with the ten chosen kits that are featured on the list while others are over the moon with the selection, from the south to the north to west until the east of Africa, teams are simply rocking it with their football jerseys.

Thank you for taking your precious time to read our article.

Please don't forget to share, like, comment and follow us for more articles.

You can also follow us on our social media accounts at News Flash Gordon on Facebook and @NewsFlashGordo1 on Twitter.


Content created and supplied by: News_Flash_Gordon (via Opera News )
 
Mara baada ya week hii simba kuwaloga CAF na kuwahong kabisa hadi kuwekwa namba 17 kwa ubora barani Afrika wakiwa wamejikusanyia points 14 kwa mujibu wa CAF 5 year ranking sytem wamefanya umafia mwingine badaa ya kutumia uchawi wa paka mweusi na kuwekwa katika list ya teams zenye jezi zinazovutia.

Hadi sasa haiujulikani ni malalamiko ya aina gani yatakayofuatia kutokana na hali hii iliyojitokeza

View attachment 1674617
Mpira sio uzuri wa jezi bob! Kuna faida gani ya kuwa na jezi kali halafu ukapigwa 5-0..
 
tayari wanalamika hapa dah aisee hawa jamaa HIYO NI RESEARCH YA AFRICA SOCCER ZONE imekuwa widely reported and quoted leo Afrika nzima
Kwenye hiyo research wametumia methodology gani? Na sample size yao kwa bara zima la Africa ni ngapi ili kuja na hiyo findings?
 
Sasa tunarudi kulekule

Hata mimi naweza kuphot shop kijarida kama hicho na kupost kwenye account zangu za michezo na blog pia, je utaita hiyo FACT?

Hayo yanabaki kuwa maoni ya hiyo page ain't a fact its just an opinion. Anyway kama unaweka ushabiki huwezi chambua jambo lolote maana naona wale walio against na maoni yako unawaita Utopolo.
 
Kwenye hiyo research wametumia methodology gani? Na sample size yao kwa bara zima la Africa ni ngapi ili kuja na hiyo findings?
mimi ni mjumbe tu boss usiniwakie waulize wewe, au ni mbinu chafu za simba?ulitarajia wakifanya huo utafiti wahngaike na teams ndogondogo? lazima wana deals na BIG BOYS ma giants ya afrika
 
Sasa tunarudi kulekule

Hata mimi naweza kuphot shop kijarida kama hicho na kupost kwenye account zangu za michezo na blog pia, je utaita hiyo FACT?

Hayo yanabaki kuwa maoni ya hiyo page ain't a fact its just an opinion. Anyway kama unaweka ushabiki huwezi chambua jambo lolote maana naona wale walio against na maoni yako unawaita Utopolo.
mzee unateseka ukiwa wapi kwani shida nini kuna teams unahisi jezi yake haipo hapo?hahahahahaha
 
Sasa tunarudi kulekule

Hata mimi naweza kuphot shop kijarida kama hicho na kupost kwenye account zangu za michezo na blog pia, je utaita hiyo FACT?

Hayo yanabaki kuwa maoni ya hiyo page ain't a fact its just an opinion. Anyway kama unaweka ushabiki huwezi chambua jambo lolote maana naona wale walio against na maoni yako unawaita Utopolo.
kwa nini usifanye kaka ukfanikiwa kuwa publicised in africa and get people to talk about your research itakuwa jambo kubwa sana ,hiyo ni page kubwa ya michezo ya south africa wanaitwa africa soccer zone.ulitaka nani wafanye huo utafiti ulitaka iweje kwani
 
Mara baada ya week hii simba kuwaloga CAF na kuwahong kabisa hadi kuwekwa namba 17 kwa ubora barani Afrika wakiwa wamejikusanyia points 14 kwa mujibu wa CAF 5 year ranking sytem wamefanya umafia mwingine badaa ya kutumia uchawi wa paka mweusi na kuwekwa katika list ya teams zenye jezi zinazovutia.

Hadi sasa haiujulikani ni malalamiko ya aina gani yatakayofuatia kutokana na hali hii iliyojitokeza

View attachment 1674617
AS VITA rangi ya jezi itawaponza kama waliotangulia
 
Back
Top Bottom