Maziwa/lakes makubwa zaidi Afrika

Maziwa/lakes makubwa zaidi Afrika

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
21,012
1. Tanganyika kilomita za ujazo 18,900.

2. Nyasa Kilomita za ujazo 7,725

3.Victoria 2,700

4. Kivu 567

5. Turkana 204

Uzi tayari.
 
Nyasa inakuwaje na volume kuliko victoria?
 
Mmmh! Takwimu zako hapo za kubumba

Ziwa Victoria ni kubwa sana nakumbuka lina squares of kilometres zaidi ya elfu hamsini na sivyo ulivyoandika
 
Huu ukubwa ni wa nini? Ujazo wa maji (volume)? Eneo (surface area)? Au kina (depth)?
 
Ujazo unapimwa kwa kilomita?? Sio M³?
Au ulimaanisha kina kwenda chini??
Au sijaelewa
Mkuu kuna sentimeta za ujazo, mita za ujazo, kilomita za ujazo hadi mile za ujazo. Kipimo chochote cha urefu kinaweza pima pia eneo na ujazo.
 
Mmmh !!!! Takwimu zako hapo za kubumba

Ziwa Victoria ni kubwa sana nakumbuka lina squares of kilometres zaidi ya elfu hamsini na sivyo ulivyoandika
Kwa eneo ni kubwa lakini ukija kuangalia ukubwa wa jumla. Halifikii ukubwa wa Tanganyika na Nyasa.
 
Back
Top Bottom