Corona: Afrika CDC yaipa onyo Serikali ya Tanzania

Corona: Afrika CDC yaipa onyo Serikali ya Tanzania

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,775
Reaction score
46,058
Mabibi na mabwana, hatimaye tuko hapa sasa:

Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuhusu namna inavyoshughulika na corona.

Kwa mujibu wa matangazo ya DW mchana huu, Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuwa kwa namna hii na hili la kutotoa takwimu za ugonjwa huu, Tanzania inaliweka bara zima la Afrika hatarini.

Tumesema ya kutosha sasa yetu macho.

Tusipoangalia tutamlaumu sana beberu.

Ama kwa hakika aliona mbali sana aliyesema "asilaumiwe dobi kwani kaniki ni rangi yake."

Ninawasilisha.
 
Mitaani vilio kila mahali. Ukiingia status za whatsapp huwezi kosa marafiki 2/3 wenye msiba.

Leo humu jf jerrybanks kafiwa na baba, baba mkubwa na mjomba kwa wakati mmoja.

Juzi nipo hospitali nikakutana na jamaa mmoja hapa Dar kamsafirisha dada yake toka Tanga aje atibiwe, kule Tanga walishazika ndugu zao 3 wa baba mmoja mama mmoja ndani ya wiki 1.

This is public irresponsibility and masaccre kwa sirikali iliyopewa jukumu la kuhakikisha usalama wa raia wake lakini wao wanachukulia for granted huu mlipuko.

Ni kweli sisi sote hatutaki chanjo ya wazungu, lakini kwa nini sirikali haichukui japo zile basic precautions ili angalau kupunguza maambukizi?
 
Kweli Tanzania imefikia hatua ya kuzodolewa kimataifa? Ni Tanzania ile ya Mwl au Tanzania nyingine? Tanzania niliyoifahamu mimi ni ya kutoa ONYO mbele ya UN GEN. ASSEMBLY na sio hii ya kuzodolewa na CDC Afrika wajameni!
 
Tanzania inaliweka bara la Africa hatarini? Huu ndio ukoloni tunaojaribu kuukataa. Yaani Africa CDC ni zao la ubeberu wa Marekani kupitia American CDC maana wamarekani katika network yake ya kukoloni dunia na kulinda/kutega maslahi ya Marekani na washirika wake imeinstall kibaraka chake inachokiita Centre for Disiase Control in Afrika.

Kwa namna waAfrika wasivyotembeleana huwezi kusingizia eti Tanzania inaiweka Afrika yote hatarini. Waafrika wengi wanazuru Ulaya na Marekani kuliko wanavyozuru miongoni mwao. So Africa CDC waseme tu ukweli kwamba wametumwa na maboss wao American CDC kwa malengo wanayoyajua wao.
 
Mabibi na mabwana, hatimaye tuko hapa sasa:

Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuhusu namna inavyoshughulika na corona.

Kwa mujibu wa matangazo ya DW mchana huu, Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuwa kwa namna hii na hili la kutotoa takwimu za ugonjwa huu, Tanzania inaliweka bara zima la Afrika hatarini.

Tumesema ya kutosha sasa yetu macho.

Tusipoangalia tutamlaumu sana beberu.

Ama kwa hakika aliona mbali sana aliyesema "asilaumiwe dobi kwani kaniki ni rangi yake."

Ninawasilisha.
Aibu sana !
 
Mitaani vilio kila mahali. Ukiingia status za whatsapp huwezi kosa marafiki 2/3 wenye msiba.

Leo humu jf jerrybanks kafiwa na baba, baba mkubwa na mjomba kwa wakati mmoja.

Juzi nipo hospitali nikakutana na jamaa mmoja hapa Dar kamsafirisha dada yake toka Tanga aje atibiwe, kule Tanga walishazika ndugu zao 3 wa baba mmoja mama mmoja ndani ya wiki 1.

This is public irresponsibility and masaccre kwa sirikali iliyopewa jukumu la kuhakikisha usalama wa raia wake lakini wao wanachukulia for granted huu mlipuko.

Ni kweli sisi sote hatutaki chanjo ya wazungu, lakini kwa nini sirikali haichukui japo zile basic precautions ili angalau kupunguza maambukizi?
Unasemaje sisi sote hatutaki chanjo!?
 
Mtu akifanya vituko vya kshangaza kila mtu sidhani kama mtu huyu anaweza kujidai kuwa ana uwezo mkubwa.

watu wenye uwezo mkubwa wa kuongoza wanapendwa na majority na kuchukiwa na minority. Hapa kwetu ni kinyume chake.

mangi yanayozungumzwa au kutendwa yanashangaza wengi, ni ajabu sana. Labda kuna watu wanataka waingizwe kwenye kumbukumbu za DUNIA kwa kufanya maajabu hasi
 
Ni ajabu na kweli, wagonjwa wa covid wapo kibao nchini, lakini kutokana na "ignorance" ya watawala wetu wanakataa, badala yake mahospitali yote yamaeamriwa waseme wagonjwa wamepatikana na changamoto ya kupumua!

Mwisho wa ubaya ni aibu!
 
Onyo liko wapi hapo!
Ama kweri ukipenda chongo utaita kengeza.

Wewe umeona pongezi hapo?

Uzi mzima ni paraphrase ya taarifa kama ilivyotua kutoka Afrika CDC kupitia DW.

Kutokea Lumumba unadai CDC anayesema katoa onyo wewe unasema huoni onyo?

Ustake ncheke kama mazuri vile?

Uzuri mnatambua, kwenye hili hatuko nanyi.
 
Ama kweri ukipenda chongo utaita kengeza.

Wewe umeona pongezi hapo?

Uzi mzima ni paraphrase ya taarifa kama ilivyotua kutoka Afrika CDC kupitia DW.

Kutokea Lumumba unadai CDC anayesema katoa onyo wewe unasema huoni onyo?

Ustake ncheke kama mazuri vile?

Uzuri mnatambua, kwenye hili hatuko nanyi.
Mbona huko wanakotoa takwimu ugonjwa ndio unaongezeka?
 
Mbona huko wanakotoa takwimu ugonjwa ndio unaongezeka?

IMG_0227.jpg
 
Tanzania inaliweka bara la Africa hatarini? Huu ndio ukoloni tunaojaribu kuukataa. Yaani Africa CDC ni zao la ubeberu wa Marekani kupitia American CDC maana wamarekani katika network yake ya kukoloni dunia na kulinda/kutega maslahi ya Marekani na washirika wake imeinstall kibaraka chake inachokiita Centre for Disiase Control in Afrika.

Kwa namna waAfrika wasivyotembeleana huwezi kusingizia eti Tanzania inaiweka Afrika yote hatarini. Waafrika wengi wanazuru Ulaya na Marekani kuliko wanavyozuru miongoni mwao. So Africa CDC waseme tu ukweli kwamba wametumwa na maboss wao American CDC kwa malengo wanayoyajua wao.
Nimekutukana tusi kubwa kuliko yote na linalouma sana,kimyakimya.
 
Back
Top Bottom