Ndg wana Jf,
Ni muda mrefu nimepotea hapa jamvini, na wakati mwingine nimekuwa nikitumia muda wangu kuyasoma mawazo wa wana JF wengine. Leo nina mitazamo miwili juu ya taifa letu.
Mtizamo wa kwanza.
Kwa nini rais Kikwete aliamua kumteua Mhe. Mbatia kuwa Mbunge? kulikuwa na sababu zipi za...
Hakuna asiye fahamu kuhusu kinacho endelea kuhusu elimu yetu, watoto wetu wanaendelea kupoteza mielekeo yao huku mambo yakiendelea kuwa mabaya, tunaendelea kuwashambulia Magamba huku wao magamba na matajiri wakiendelea kuwasomesha watoto wao katika shule bora.
Mambo yanazidi kuharibika kila...
Wabunge wa chadema, hiki ndicho kipindi cha kususia bunge, madaktari wapo kwenye mgomo, ndg zetu wanaendelea kufa. kwa kukosa matibabu Spika hataki mjadala wa madaktari ujadiliwe...., na kwa kuwa hili la Dr UL nalo ni la kitaifa, hapa sasa wabunge wangu tusimame imara kwa hili ili madaktari...
Mheshimiwa mbunge Mpina, ile budget uliyoipinga magamba wenzako wameipitisha, je unawaambia nini watanzania? utaendelea kuwa mchumia tumbo ili maisha ya wanao yasonge? je ni uwamuzi gani utauchukua kwa sasa mami? wamekupuuza, wamekudharau....,wanajua hauna pa kwenda, watanzania wanasubiri kauli...
Ni siku tano sasa tangu lile ongezeko la nauli limeanza kutelezeka, hakika mambo yanakwenda ndivyo sivyo. kwa kawaida mtu anaweza kudhani sisi ni walalamishi tusiyopenda kuchangia pato la taifa ( cost shareling) shida inakuja pale hata pale bei ya mizigo ilipopanda,
Mfano mwenye guta ( baiskeli...
Hakika, Hakika najua kwa wale wapiganaji tumebaki midomo wazi, hatuwi twende wapi! dunia haitutaki tena, Matumaini yamepotea ghafla........, sijui tunatokaje hapa tulipofikishwa na akina Wa 16, Maralia Sugu na wengineo wengi wanao faidika na mfumo huu.
Ndoto na njozi zetu zinaendelea kufifia...
Kila mpenda MABADILIKO afanye kwa sehemu yake, wale tutakao weza tuhakikishe tunasimama kama mawakala wa CHADEMA, na wale tuliopata nafasi ya usimamizi naomba tukalinde kura za Slaa, Ushindi ni lazima.
Wengine wenu tumepotea hapa jamvini na si kwamba tunapenda ila vita iliyoko mbele yetu...
Ni maswali mengi yayoelea vichwani mwa Watanzania kwa sasa, na bado majibu ni Kitendawili.
(a)Ni nani maarufu kati ya Dr Slaa na Kikwete kwa sasa?
(b) Je ni kweli Dr slaa anafahamika hadi huko kwenye grassroot?
(c) Na kama Watanzania watamuamini Dr slaa, je yawezekana akatusaliti huko mbele...
Hakika hakika ni lazima tuwe na tahadhari kubwa kama si angalizo .Wiki iliyopita mgogoro wa ardhi kati ya Jeshi la kujenga Taifa na wananchi umezuka hapa wilayani,
maswali ya kujiuliza
Hawa wananchi awamu hii wataliogopa jeshi na kukubali matokeo kwamba wamedhurumiwa ama ndiyo watawavaa...
Hakika , hakika, CCM ni vicheko na ndelemo, kile walichotegemea sasa chatimia, walijua kuwa upinzania nguvu yao ni ndogo ni kelele za chura.
Ni kweli wapinzani walifanikiwa kuwashika pabaya ila kwa sasa kila kukicha wanajinasua pole pole,
Hebu sisi watanzania ni nani katuloga? tumekuwa kama...
Ndugu zangu wana Jf nachukua fursa kumkaribisha mama yetu hapa Tarime kwani nimeona anaweza kufanya kila kinachowezekana kulitwaa jimbo hili mikononi mwa CHADEMA.
Nimeamua kulisema hili kwani kwa kile mama kilango alichokisema kuwa 2010 atakuwa pale Moshi sasa basi sijasikia mwanasiasa yoyote...
Kwa jinsi Muungwana anavyo wajibika kwa sasa si ndiyo anazidi kukiruka kiunzi 2010? hatujui tutamrushia madongo yapi, kwani yeye kama yeye hakika anaendelelea kuisafisha ile njia,
Tuangalie tusije tukakosa mshiko, !!!!!
Nadhani zile hoja za kufichua ufisadi tungeanza sasa si mwaka jana...
Nakushukuru Mola kwa kunipa pumzi yako baba, bado ninaendelea kuishi, japo sitakiwi kuishi hapa duniani(Tanzania), najua ni mpango wako kuwa hapa duniani katika nchi njema ya Tanzania, nchi tajiri huku mimi nikiwa maskini wa kutupwa.
Ndugu zangu wana JF, kuna kipindi nilidhani mtalisaidia...
Nimekuwa nikijiuliza maswali lukuki, wako wapi watanzania(wapiganaji) wanaoweza kutukwamua hapa tulipo? tumekwama, hatuna mwelekeo, wale tuliowaamini nao wameingia MITINI
Maswali ya kujiuliza:
(a) je ni kweli hatuna watu wazalendo kama akina Odinga wa pale Kenya?
(b) Ni nini mtizamo wa...
Ni baada ya wale wafanyakazi 8 wa halmashauri hii kutimuliwa na madiwani wakidhaniwa kuwa walihujumu sh, bilion 1, pesa za walipa kodi, sasa serikali imeamuru warudishwe kazini,hiyo imethibitika baada ya kupokea barua toka ikulu, jambo la kushangaza barua hii imebainisha kuwa madiwani wa Tarime...
Ni baada ya wale wafanyakazi 8 wa halmashauri hii kutimuliwa wakidhaniwa kuwa walihujumu sh, bilion 1, pesa za walipa kodi, sasa serikali imeamuru warudishwe kazini,hiyo imethibitika baada ya kupokea barua toka ikulu, jambo la kushangaza barua hii imetoka ikuru, ikiamuru madiwani wa Tarime...
Kesi ya msingi kuhusu tume huru ya uchaguzi inatarajiwa kufunguliwa mwishoni mwa wiki hii na mchungaji mtikila .
Kesi hii itakuwa na mvuto kwa watanzania na wadau wengine, je mahakama itakuwa tayari tena kumpa ushindi mwingine Mchungaji Mtikila? Na kama atashinda kesi hiyo, je tutarajie nini...
Kesi ya msingi kuhusu tume huru ya uchaguzi inatarajiwa kufunguliwa mwishoni mwa wiki hii na mchungaji mtikila .
Kesi hii itakuwa na mvuto kwa watanzania na wadau wengine, je mahakama itakuwa tayari tena kumpa ushindi mwingine Mchungaji Mtikila? Na kama atashinda kesi hiyo, je tutarajie...
Hebu inakuweje serikali iwaamishe kwa nguvu watu toka ktk makazi yao kwa nguvu ? inakuweje serikali hiyohiyo itathimini yenyewe thamani bila kumuhusisha muhusika mwenye nyumba au kiwanja thamani ya mali ya muhusika?
Hili ndilo wakazi wa Kibamba na Kurasini wanalopambana nalo kwa sasa,
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.