Kesi Ya Tume Huru Ya Uchaguzi,

IsayaMwita

JF-Expert Member
Mar 9, 2008
1,127
140
Kesi ya msingi kuhusu tume huru ya uchaguzi inatarajiwa kufunguliwa mwishoni mwa wiki hii na mchungaji mtikila .

Kesi hii itakuwa na mvuto kwa watanzania na wadau wengine, je mahakama itakuwa tayari tena kumpa ushindi mwingine Mchungaji Mtikila? Na kama atashinda kesi hiyo, je tutarajie nini 2010?

Je inawezekana Muungwana anahusika moja kwa moja na kesi hizi, ili wakimpiga chini kule awe ameandaa mazingira mazuri huku nyuma ya jamvi? na kama si hivyo basi tuseme mahakama imekuwa huru kutenda kazi zake bila kuingiliwa na serikali?

Ama nyie mwalitazamaje hili waheshimiwa,
 
Kesi ya msingi kuhusu tume huru ya uchaguzi inatarajiwa kufunguliwa mwishoni mwa wiki hii na mchungaji mtikila .

Kesi hii itakuwa na mvuto kwa watanzania na wadau wengine, je mahakama itakuwa tayari tena kumpa ushindi mwingine Mchungaji Mtikila? Na kama atashinda kesi hiyo, je tutarajie nini 2010?

Je inawezekana Muungwana anahusika moja kwa moja na kesi hizi, ili wakimpiga chini kule awe ameandaa mazingira mazuri huku nyuma ya jamvi? na kama si hivyo basi tuseme mahakama imekuwa huru kutenda kazi zake bila kuingiliwa na serikali?

Ama nyie mwalitazamaje hili waheshimiwa,

hii ni habari njema kwa demokrasia Tanzania kama itafanikiwa. Ila mbona ile ya ugombea binafsi haijaanza kutekelezwa?
 
Tume huru ni jeneza la CCM inawezekana mtu kununua sanda yake lakini sijasikia mtu kujitengenezea jeneza na kuliweka tayari.
By the way their power will be coffined ,they will not agree to the conditions & so the stipulations.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom