IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Mheshimiwa mbunge Mpina, ile budget uliyoipinga magamba wenzako wameipitisha, je unawaambia nini watanzania? utaendelea kuwa mchumia tumbo ili maisha ya wanao yasonge? je ni uwamuzi gani utauchukua kwa sasa mami? wamekupuuza, wamekudharau....,wanajua hauna pa kwenda, watanzania wanasubiri kauli yako....TAFAKARI