Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi Knight Support (wa kwanza kulia), Bresing Kachambwa na Wahasibu wa kampuni hiyo wakiwa kwenye gari la Polisi baada ya kukamatwa wakituhumiwa kushindawa kuwasilisha NSSF michango ya makato ya wafanyakazi wake kiasi cha Sh bilioni 8.417.
Kada maarufu wa CCM na aliyewahi kuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA), ShyRose Bhanji kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram ameandika kuwa Hakubaliani na Utawala wa Rais JPM, na yuko tayari kwenda jela
Ikumbukwe kuwa Mwanasiasa huyo siku kadhaa zilizopia aliandika...
Leo katika Mahakama ya Kisutu, kuna makanali watatu wa Jeshi la Rwanda wamefikishwa mahakamani, watu hawa wanadaiwa kuingia nchini kinyemela kwa kazi maalum.
Cha ajabu wanasheria wa Serikali walukuwa wakizuia waandishi wasiruhusiwe kuandika eti sababu ya mahusiano yetu na Rwanda.
Hata hivyo...
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema kuwa miili ya watu saba iliyokutwa ikielea imekufa ikielea kwenye mto Ruvu ilikuwa ni ya Wahamiaji Haramu.
Kauli hiyo ameitoa leo asubuhi wakati wa mahojiano na runinga ya Star Tv katika kipindi cha Tuongee Asubuhi.
=================
Habari...
Hali siyo shwari ndani ya Kampuni ya Mwananchi Communication Ltd (MCL) ambayo inatokana na kuathiriwa kwa kiasi kikubwa kipindi hiki katika kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015 ili kuimaliza nguvu Gazeti hilo.
Mpango huu umesukwa vyema na Idara ya Ndani ya Ujajusi kwa kuwa Gazeti hili lilikuwa mwiba...
Kuna Habari kwamba Mhariri Mkuu Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi Denis Msacky, ameacha kazi rasmi huko na kwamba sasa atajiunga rasmi New Habari na kuwa Mhariri Mkuu Mtendaji wa Gazeti la Mtanzania kuanzia sasa.
Nimekwenda ofisi za Airtel pamoja na line yangu kukatwa imegoma ku operate 3G, simu naweza kupiga na kupokea, wakajaribu badala ya 3G kuweka EDGE lakini lakini ikagoma, nimeenda Tigo wao wameweka Line yao ile ndogo kwa ajili ya smartphone ndiyo inaonyesha kugoma hata kufanya kazi, msaada kwa...
Ni baada ya kufanikiwa Makanisani amekuja na mpya, ameamua kuingia katika jamii ya Waislamu kwa maslai yake, katika mbio zake za kusaka Urais akiwa Jijini Mwanza aliweza 'kujisilimisha' kiaina na kujiita Ustadhi Abdalah, hii ni baada ya kuvishwa Joho maalum kwa kufanikisha upatikanaji wa Milioni...
Leo Jumamosi, Juni 30, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, atakuwa na mkutano wa hadhara Ilala Bungoni.
Vyanzo vyangu vya habari, kutoka karibu na Lema vinasema kuwa leo atalipuka sana. Mojawapo ya masuala atakayolipua ni kuwataja...
Siyo vyema kumsema marehemu, hivyo name sikusudii kumsema bali kueleza nitakachomkumbuka nacho. Lakini kwa desturi ya makabila ya Wajita, Wakerewe na kabila la Wajaruo ambalo ninaamini marehemu kama mtani wangu, lilikuwa kabila lake (Kama nitakosea kabira nisamehewe), msibani hulia wakati wa...
Mfanyabiashara Said Mohammed Saad
Utangulizi
Mfanyabiashara Said Mohammed Saad anamiliki Kampuni ya Home Shopping Center iliyopo Kariakoo Mtaa wa Swahili na Msimbazi katika Jengo la Ghorofa lenye vioo vilivyochorwa picha za waigizaji wa Kikundi cha Orijino Commedy kinachorusha vipindi...
Majeshi ya Burundi, waasi yapigana ndani ya Tanzania
Send to a friend
Sunday, 15 January 2012 10:29
0digg
Na Frederick Katulanda
MAPAMBANO kati ya majeshi ya Burundi na vikosi vya waasi wanaoipinga Serikali ya nchi hiyo, yamezua hofu kwa...
Naibu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New habari (2006) Danny Mwakitereko amepata ajali ya gari jana usiku, jijini Dar es Salaam. Amefanyiwa upasuaji wa kichwa, katika Taasisi ya mifupa Muhimbili, sasa yuko ICU Muhimbili.
Taarifa za awali, zinadai kuwa ilikuwa ni usiku aki-drive na bahati...
Ninaomba kuuliza, ikiwa mkeo anamimba, je ni kosa kuendelea kusex naye?
Kama siyo kosa je mimba ikifikia miezi mingapi anapaswa kuacha kusex? Nisaidieni jamani.
Kila uchao yanaibuka, jana nimesikia watu wakidai kuwa hata ile Hoteli ya Mwanza ya Malaika inamilikiwa na JK, na kwamba amemkabidhi mtanzania mwenye asili ya Kiasia kusimamia. Wenye data tupeni ukweli hapa JF.
Wajanja wachota mamilioni NSSF Send to a friend Sunday, 27 March 2011 05:43 Frederick Katulanda, Geita
WAKATI shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kilifikiria kuwekeza zaidi fedha za wanachama wake katika uzalishaji wa Umeme, imebainika kuwa...
WAFANYAKAZI wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) leo wanameandamana na kumtaka mwajiri wao kukitambua chama cha wafanyakazi wa Migodi, nishati na ujenzi (Tamico) ikiwa ni pamoja na kuunda tume huru ya kuchunguza madai ya wenzao wanaoumia kazini.
Maandamano hayo ambayo yalianzia mtaa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.