Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
Naibu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New habari (2006) Danny Mwakitereko amepata ajali ya gari jana usiku, jijini Dar es Salaam. Amefanyiwa upasuaji wa kichwa, katika Taasisi ya mifupa Muhimbili, sasa yuko ICU Muhimbili.
Taarifa za awali, zinadai kuwa ilikuwa ni usiku aki-drive na bahati mbaya akaingia lori kwa nyuma hadi uvunguni. Inasemekana ameumia zaidi kichwa na leo asubuhi aliingizwa theatre kwa ajili ya upasuaji.
Tetesi zinadai kuwa huenda ajali ya Mhariri huyo inatokana na TAARIFA iliyoandikwa katika gazeti la Mwanahalisi juu ya MAHOJIANO baina ya Nape na Bashe kuwa Kikwete naye ni Gamba.
Taarifa za awali, zinadai kuwa ilikuwa ni usiku aki-drive na bahati mbaya akaingia lori kwa nyuma hadi uvunguni. Inasemekana ameumia zaidi kichwa na leo asubuhi aliingizwa theatre kwa ajili ya upasuaji.
Tetesi zinadai kuwa huenda ajali ya Mhariri huyo inatokana na TAARIFA iliyoandikwa katika gazeti la Mwanahalisi juu ya MAHOJIANO baina ya Nape na Bashe kuwa Kikwete naye ni Gamba.