Habari wadau,
kuna rafiki yangu anahitaji shamba (la kununua) lenye wastani wa ukubwa wa hekari 15 - 20.
Dhumuni ya shamba hilo in kwa ajili ya kupanda mazao ya mboga mboga.
Mwenye connection yoyote naomba ani PM.
Asante
Russia's President Vladimir Putin shakes hands with his China's counterpart Xi Jinping
President Vladimir Putin and Chinese leader Xi Jinping have signed a memorandum of understanding on the so-called "western" gas supplies route to China. The agreement paves the way for a contract that would...
I am looking for business partner(s) that we can enter into supply business. I am located in Mbeya, Tanzania. I am thinking to export food stuffs (like onions, rice, maize, garlic, carrot, soya beans etc.). Any serious person who may wish to do business can check me inbox (PM). Many thanks
I am looking for business partner(s) that we can enter into supply business. I am located in Mbeya, Tanzania. I am thinking to export food stuff (like onions, rice, maize, garlic, carrot, soya beans etc.). Any serious person who may wish to do business can check me in my inbox (PM). Many thanks
Habari za mchana wana bodi
Eid Mubarak.
Ningependa kujulishwa USA nao wana pumzika (Eid mosi na Eid pili) kama tufanyavyo sisi huku wa Tanganyika na Zanzibar?
==================================================
Jibu la Swali Lako...
Lady doctor, kwa muda mrefu sana nimekuwa nafuatilia posts zako humu na kwenye MMU.
Kwa kweli nimetokea kuvuiwa sana na wewe, unaonekana ni mwanamke unayepaswa kuwekwa ndani, una busara, unajua mwanaume anataka nini.
Kwa kweli ukinipa nafasi nitashukuru sana. Nimeona nisikutumie PM, ila...
Lady doctor, kwa muda mrefu sana nimekuwa nafuatilia posts zako humu na kwenye MMU.
Kwa kweli nimetokea kuvuiwa sana na wewe, unaonekana ni mwanamke unayepaswa kuwekwa ndani, una busara, unajua mwanaume anataka nini.
Kwa kweli ukinipa nafasi nitashukuru sana. Nimeona nisikutumie PM, ila...
Habari wana Bodi .
Kuna maswala mengi sana yananitatiza kuhusu hii nchi yangu, ningependa tujadili wote.
Madini.
Nchi hii ina madini kila kona ya nchi na hiyi sio siri tena, kila mtu anajua. Sasa linapokuja swala la uvunaji/uchimbaji wa haya madini, kwa hakika hakuna sehemu yoyote ile ya...
Habari wana Bodi .
Kuna maswala mengi sana yananitatiza kuhusu hii nchi yangu, ningependa tujadili wote.
Madini.
Nchi hii ina madini kila kona ya nchi na hiyi sio siri tena, kila mtu anajua. Sasa linapokuja swala la uvunaji/uchimbaji wa haya madini, kwa hakika hakuna sehemu yoyote ile ya...
Habari wana Bodi…
Tunapozungumzia tatizo la ajira kwa vijana, sio tu wale ambao hawana kazi kabisa, ila inajumuisha mpaka wale ambao wapo kwenye ajira, lakini wanapata ubaguzi au manyanyaso flani flani, bila kuwa na njia ya kujikwamua.
Ni muda mrefu sasa, hili swala limekua likijadiliwa...
Habari wana bodi....
Ninatarajia mwezi wa November mwaka huu nifanye mitihani ya "Chartered Institute of Purchasing & Supply" katika Level 4 "Diploma in Purchasing and Supply"
Dhumuni la ku-drop ujumbe huu, ni kutaka kupata kampani ya kusoma na ku-discuss. Kama na wewe unafanya au unamjua...
Mimi ni mpenzi wa mchezo wa Chess, ningependa kufahamu ni sehemu gani hapa Dar, ambapo nitaweza kupata sehemu ambapo mchezo huu watu wanapenda kucheza au some sort of club ambapo watu wanacheza mchezo huu. Personal, niko competitive kwenye huu mchezo, kwa hiyo napenda kucheza na mtu ambaye...
Mimi ni mpenzi wa mchezo wa Chess, ningependa kufahamu ni sehemu gani hapa Dar, ambapo nitaweza kupata sehemu ambapo mchezo huu watu wanapenda kucheza au some sort of club ambapo watu wanacheza mchezo huu. Personal, niko competitive kwenye huu mchezo, kwa hiyo napenda kucheza na mtu ambaye...
Habari wanabodi. Nimekuwa na wazo la kufungua kampuni ya ICT & Electrical Co., kwa muda mrefu sana. Leo nimeona nilileta kwenu ili tuweze kushauriana... Ninahitaji partners wawili (2), kwa ajili ya kufungua biashara niliyoitaja hapo juu. Mmoja LAZIMA awe na qualifications za ICT/Electronics na...
Huu ni ushauri kwa Dr. Slaa kuhusu maandalizi 'maalum' ya kuchukua hii nchi. Kutokana na muitikio mkubwa wa wananchi wa lika lote kuhusu kuwatoa ccm madarakani ningependa kutoa ushauri ufuatao kwako.
1-chadema ingeandaa mpango mkakati kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015. Huo, mpango mkakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.