Mchezo wa Chess - "Chess game"

Mchezo wa Chess - "Chess game"

MD25

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
3,074
Reaction score
1,030
Mimi ni mpenzi wa mchezo wa Chess, ningependa kufahamu ni sehemu gani hapa Dar, ambapo nitaweza kupata sehemu ambapo mchezo huu watu wanapenda kucheza au some sort of club ambapo watu wanacheza mchezo huu. Personal, niko competitive kwenye huu mchezo, kwa hiyo napenda kucheza na mtu ambaye anajua kucheza vizuri.. Thanks...
 
Hello, naitwa EMMANUEL MWAISUMBE a Member of Tanzania Chess Association, on Saturday 1st, Dec,2012 we have organized a Rapid Chess Tournament of 15mins Time control, The games will start at 13:30hrs at JOVIC Pub Kawe , There will also be prices like the 1st price is a Trophy + 100,000shs, 2nd is a Trophy + 50,000shs, 3rd is a Medal +30,000shs, 4th is 20,000shs, 5th is 10,000shs. Entrance fees is 10,000shs, for more information call +255717295168. Thanks.
 
Nachezaja ule wa computa sijawahi kushinda. Unanikera siku nikiwa nakaribia kushinda, opponent ana-quit, nikiwa na-loose ha-quit - to hell chess. I hate you.
 
Hello, naitwa EMMANUEL MWAISUMBE a Member of Tanzania Chess Association, on Saturday 1st, Dec,2012 we have organized a Rapid Chess Tournament of 15mins Time control, The games will start at 13:30hrs at JOVIC Pub Kawe , There will also be prices like the 1st price is a Trophy + 100,000shs, 2nd is a Trophy + 50,000shs, 3rd is a Medal +30,000shs, 4th is 20,000shs, 5th is 10,000shs. Entrance fees is 10,000shs, for more information call +255717295168. Thanks.

Copy MD25 MD24
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom