Ngoja tupeane elimu kidogo juu ya mungu na namna alivyo jificha bila kujiweka wazi
Mungu kutokujiweka wazi kwanza tukubali hii ni hekma kubwa sana imetumika maybe pengine hali ingekuwa mbaya sana katika dunia mashaka yangekuwa mengi
ukija kiuhalisia ukiwa mtu wa mambo yako kutoyaweka wazi...
Umezuka mjadala mkubwa sana siku za hivi karibuni kuhusu hawa viongozi wa dini padri au shekhee kula hela ya sadaka, jambo hili limeonekana ni ajabu na nikurudisha maendeleo ya mtu nyuma, maybe limeonekana kama la kitapeli, unyonyaji, ukandamizaji yaani kila namna vila mtu anaona na utashi wake...
"Taratibu simu kiganjani naperuzi, nikiwa nimetulia zangu katika sofa, akili yangu haikuwa hata katika simu, hapo nina machungu na mahasira yamekaa katika koo toop, kila picha ya mdada iliyokuwa inajitokeza katika ukurasa wangu wa facebook nilikuwa nikiipita tu tena kwa speed kali sana, ni jana...
Hii inshu ya mwanamke ishi nae kwa akili kwako imekaaje? maana imenifanya nitafakari sana
kiutani lakini kwamba ukiacha kutafuta tu pesa basi tuakikishe tunafuta na akili, eeh hapo hapo tutulie kwanza kwani sisi hatuna akili? Sisi wakina abudala vichwa wazi? Tunazo! na kwanini tusisitizwe hapa...
Wanasayansi wanasema hashki ya mwanamke ni asilimia 99 kwa maana msisimuko wake katika kujamiana, hili halina pingamizi katika pande zote mbili kwa maana ya sayansi na vitabu vya dini.
UKIBISHA POLE..
sasa rudi kwa sisi akina abdala ismaili, ndo tumebakiziwa hii 1% ambayo ukijumlisha pale...
Muulize mshawishi wake mkubwa ni nani?
Akikwambia nandy, agnes masugange, Wema sepetu
Huyo ni mwanamke anaye penda mambo ya juu!
Akisema mama uyo ni wakupeleka home kabisa ukaonane na wazazi wake😂😂😂
Soma upate funzo
Darasa la tano na miezi nane yake ilikwisha katika, masomo yalipamba moto miezi hiyo, kila mwalimu alijizatiti kumaliza topic zake kabla muda hujawa watupa mkono, fimbo zilitembea usipimee
Jumatatu ya nongwa kama nilivyokuwa naiitaga ilinikuta mchalo kweli kweli kwa kipindi...
Unajua wenzetu wanaangalia sana mustakabali wa vizazi vyao, wapo radhi kufitinisha taifa wakauwana mwenyewe kwa wenyewe, wapo radhi kuwatumikisha watu pasi na haki zake, kuua pia, kuzurumu na vitu vingi tu yote ni kwa sababu ya vizazi vyao.
kinyume na afrika, nazani hii ni sababu kubwa inayo...
Nimesimuliwa
Chanzo cha usafiri wa umma kuitwa daladala.
Wakongwe muje hapa.
Alinihadithia babu kuwa zamani miaka ya nyuma kidogo kipindi usafiri wa magari kwa umma umeshamili hasa maeneo ya Dar es salaam basi asilimia kubwa ya nauli iliyopagwa na mamlaka husika ilikuwa ni shilingi dala...
Jambo baya lisilo pendeza kabisa ni kutupa misaada yetu kwa ndugu zetu wanaojipatia riziki kwa kutegemea misaada kwetu, kutokana na changamoto mbali mbali zinazo wakabili, kiuhalisia hata wewe ukipewa pesa au kitu chochote kwa ajiri ya msaada kwa kutupiwa utajihisije? nadhani unaanza fikilia...
Seke seke la kitaa
Na bindondora
************
"Yule jamaa katoka sauz ni mgeni kabisa hapa tz , sasa nasikieni karudi na mapuri ya bange kibao"
"Sasa sie tunavuta bangi? Akazungumza kwa zarau mwana kijiwe mmoja aliyeketi mwisho kabisa mwa benchi.
"Wewe mwehu kumbe maada gani za kuleta kijiweni...
Wanawake wa Dar wana Viwango vyao vya hela:
Ukiwa unampa 50,000-90,000
utakuwa unaitwa jina lako tu.
Good morning Kelvin, Hello Kelvin how is your day? Good night Kelvin.
Ukiwa unampa kati ya 100,000 na
150,000 utakuwa unaitwa dear. Morning dear, umeamkaje dear? Dear umekula? Usiku mwema dear...
Sikuwai kuwa chimbo lakini nilikamatwa kwa kosa la kuwa chimbo
Soma upate funzo
Darasa la tano na miezi nane yake ilikwisha katika, masomo yalipamba moto miezi hiyo, kila mwalimu alijizatiti kumaliza topic zake kabla muda hujawa watupa mkono, fimbo zilitembea usipimee
Jumatatu ya nongwa kama...
Muulize mshawishi wake mkubwa ni nani?
Akikwambia nandy, agnes masugange, Wema sepetu
Huyo ni mwanamke anaye penda mambo ya juu!
Akisema mama uyo ni wakupeleka home kabisa ukaonane na wazazi wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Katika movie za kibongo ambazo binafsi zilinikonga roho ni hii sema ni movie ambayo haiongelewi saaana ukiaangalia uta-enjoy nakama si mtu wa kuelewa haraka pia itakuchanganya , naweza sema ni movie bora toka afe kanumba hakukuwai kutokea movie kalii kama hii kwangu. Hii movie kacheza "Hassan...
Ukitaka kujua kuwa mpenzi/mkeo ni mzuri jalibu tu siku mutoke hakikisha yeye amependeza then muende sehemu zenye mkusanyiko wa watu kisha usitembee nae karibu muache urefu wa mita tu utakuja nipa majibu[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.