Hekima ya Mungu kutokuwa public

Bin wamakamo

Member
Dec 12, 2021
77
92
Ngoja tupeane elimu kidogo juu ya mungu na namna alivyo jificha bila kujiweka wazi

Mungu kutokujiweka wazi kwanza tukubali hii ni hekma kubwa sana imetumika maybe pengine hali ingekuwa mbaya sana katika dunia mashaka yangekuwa mengi

ukija kiuhalisia ukiwa mtu wa mambo yako kutoyaweka wazi kwanza utaepuka changamoto nyingi zisizo lazima na mara zote watu ambao mambo yao awayaweki wazi wanaongoza kwa kupiga hatua

acha tu na kiongozi wa dunia kujiweka sehemu ambapo hautaweza kujua anafanana vipi, njoo kwa hawa viongozi wanao ongoza nchi n.k angalia doubt juu yao angalia kosoa angalia chuki, iko hivyo sababu binadamu tunapenda kuangalia makosa tu asilimia kubwa na hilo mungu anajua

kitu kikishakuwa public kwanza kinapoteza mvuto wa utukufu wake, kungekuwa na uwezekano wa kumuona mungu hali ingekuwa mbaya sana, pengine angepoteza watu wengi ambao wasingeweza kuwa na imani nae hata chembe, haimanishi kwamba yeye anahofu kuwapoteza

lakini yeye kutoweka kila kitu chake hadharani iyo ni hekma kubwa na still dunia inakwenda sawa kabisa kwa kuwa yeye ni mwingi wa hekma

mfano mdogo tu mungu atoke wazi wazi aseme mimi ndiye mungu wewe unaedoubt kwanini asijioneshe utamuamini?

hivi vitu hata aviumizi kichwa ni uhalisia tu.

#wamakamo
 
Unatumia uwongo kuutetea uwongo .
1694707508672.jpg
 
Hii nadharaia ya Mungu wa kwenye dini inamashaka sana .
Adamu akala lile tunda , kwanini Mungu aliweka hilo tunda wakati anajua kabsa watalila?

Kwa nini awalaani wakati aliweka tunda yeye na alijua watalila? ata baba mpumbavu awezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Adamu akajificha baada ya kula tunda , Mungu akauliza adamu upo wapi ? Ina maana hakujua yupo wap ?

Mungu anakuja mwishoni baada ya adamu kula tunda ana tofauti gani na police wa tanzania wanakuja baaada ya tukio kufanyika wakati taarifa ya dalili ya kutukio kufanyika alikua nayo?
 
Ngoja tupeane elimu kidogo juu ya mungu na namna alivyo jificha bila kujiweka wazi

Mungu kutokujiweka wazi kwanza tukubali hii ni hekma kubwa sana imetumika maybe pengine hali ingekuwa mbaya sana katika dunia mashaka yangekuwa mengi

ukija kiuhalisia ukiwa mtu wa mambo yako kutoyaweka wazi kwanza utaepuka changamoto nyingi zisizo lazima na mara zote watu ambao mambo yao awayaweki wazi wanaongoza kwa kupiga hatua

acha tu na kiongozi wa dunia kujiweka sehemu ambapo hautaweza kujua anafanana vipi, njoo kwa hawa viongozi wanao ongoza nchi n.k angalia doubt juu yao angalia kosoa angalia chuki, iko hivyo sababu binadamu tunapenda kuangalia makosa tu asilimia kubwa na hilo mungu anajua

kitu kikishakuwa public kwanza kinapoteza mvuto wa utukufu wake, kungekuwa na uwezekano wa kumuona mungu hali ingekuwa mbaya sana, pengine angepoteza watu wengi ambao wasingeweza kuwa na imani nae hata chembe, haimanishi kwamba yeye anahofu kuwapoteza

lakini yeye kutoweka kila kitu chake hadharani iyo ni hekma kubwa na still dunia inakwenda sawa kabisa kwa kuwa yeye ni mwingi wa hekma

mfano mdogo tu mungu atoke wazi wazi aseme mimi ndiye mungu wewe unaedoubt kwanini asijioneshe utamuamini?

hivi vitu hata aviumizi kichwa ni uhalisia tu.

#wamakamo
God is an illusion.

Mungu huyo hawezi kujionesha kwasababu hayupo.
 
Ngoja tupeane elimu kidogo juu ya mungu na namna alivyo jificha bila kujiweka wazi

Mungu kutokujiweka wazi kwanza tukubali hii ni hekma kubwa sana imetumika maybe pengine hali ingekuwa mbaya sana katika dunia mashaka yangekuwa mengi

ukija kiuhalisia ukiwa mtu wa mambo yako kutoyaweka wazi kwanza utaepuka changamoto nyingi zisizo lazima na mara zote watu ambao mambo yao awayaweki wazi wanaongoza kwa kupiga hatua

acha tu na kiongozi wa dunia kujiweka sehemu ambapo hautaweza kujua anafanana vipi, njoo kwa hawa viongozi wanao ongoza nchi n.k angalia doubt juu yao angalia kosoa angalia chuki, iko hivyo sababu binadamu tunapenda kuangalia makosa tu asilimia kubwa na hilo mungu anajua

kitu kikishakuwa public kwanza kinapoteza mvuto wa utukufu wake, kungekuwa na uwezekano wa kumuona mungu hali ingekuwa mbaya sana, pengine angepoteza watu wengi ambao wasingeweza kuwa na imani nae hata chembe, haimanishi kwamba yeye anahofu kuwapoteza

lakini yeye kutoweka kila kitu chake hadharani iyo ni hekma kubwa na still dunia inakwenda sawa kabisa kwa kuwa yeye ni mwingi wa hekma

mfano mdogo tu mungu atoke wazi wazi aseme mimi ndiye mungu wewe unaedoubt kwanini asijioneshe utamuamini?

hivi vitu hata aviumizi kichwa ni uhalisia tu.

#wamakamo
mkuu inamaana yule jamaa wa kizungu anaebandikwa majumban kwenye picha mwenye nywele ndefu kumbe sio mung??
 
Ngoja tupeane elimu kidogo juu ya mungu na namna alivyo jificha bila kujiweka wazi

Mungu kutokujiweka wazi kwanza tukubali hii ni hekma kubwa sana imetumika maybe pengine hali ingekuwa mbaya sana katika dunia mashaka yangekuwa mengi

ukija kiuhalisia ukiwa mtu wa mambo yako kutoyaweka wazi kwanza utaepuka changamoto nyingi zisizo lazima na mara zote watu ambao mambo yao awayaweki wazi wanaongoza kwa kupiga hatua

acha tu na kiongozi wa dunia kujiweka sehemu ambapo hautaweza kujua anafanana vipi, njoo kwa hawa viongozi wanao ongoza nchi n.k angalia doubt juu yao angalia kosoa angalia chuki, iko hivyo sababu binadamu tunapenda kuangalia makosa tu asilimia kubwa na hilo mungu anajua

kitu kikishakuwa public kwanza kinapoteza mvuto wa utukufu wake, kungekuwa na uwezekano wa kumuona mungu hali ingekuwa mbaya sana, pengine angepoteza watu wengi ambao wasingeweza kuwa na imani nae hata chembe, haimanishi kwamba yeye anahofu kuwapoteza

lakini yeye kutoweka kila kitu chake hadharani iyo ni hekma kubwa na still dunia inakwenda sawa kabisa kwa kuwa yeye ni mwingi wa hekma

mfano mdogo tu mungu atoke wazi wazi aseme mimi ndiye mungu wewe unaedoubt kwanini asijioneshe utamuamini?

hivi vitu hata aviumizi kichwa ni uhalisia tu.

#wamakamo

Mkuu kama tunaamini Mama Samia ndio rais wetu sababu tunamuona sembuse Mungu akijidhihirisha?

Hiyo “hekma” ya kujificha ficha na kuleta ugumu kumjua kumesababisha mamilioni ya miungu
 
Hii nadharaia ya Mungu wa kwenye dini inamashaka sana .
Adamu akala lile tunda , kwanini Mungu aliweka hilo tunda wakati anajua kabsa watalila?

Kwa nini awalaani wakati aliweka tunda yeye na alijua watalila? ata baba mpumbavu awezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Adamu akajificha baada ya kula tunda , Mungu akauliza adamu upo wapi ? Ina maana hakujua yupo wap ?

Mungu anakuja mwishoni baada ya adamu kula tunda ana tofauti gani na police wa tanzania wanakuja baaada ya tukio kufanyika wakati taarifa ya dalili ya kutukio kufanyika alikua nayo?
Kwanini una kunusha na una hukumu uwepo wa MUNGU na utukufu wake, kwa kupitia kitabu kimoja ambacho ni Bibble ??

Je, uliwahi kusoma vitabu vingine na ukajua ukweli upo vipi ??

Uwepo wa Mungu hawaudis kilocal local kama ufanyavyo mkuu, Kasome vitabu vyote vitano ndipo uje na hoja za msingi.

Kitabu ulichosoma (chapter ya Genesis) kina walakini mkubwa coz maneno ya MUNGU haya ongezwi wala kupunguzwa ila kwenye hicho kitabu ulichosomwa kila mwaka kinaboreshwa Yan kama katiba tu.
 
Ngoja tupeane elimu kidogo juu ya mungu na namna alivyo jificha bila kujiweka wazi

Mungu kutokujiweka wazi kwanza tukubali hii ni hekma kubwa sana imetumika maybe pengine hali ingekuwa mbaya sana katika dunia mashaka yangekuwa mengi

ukija kiuhalisia ukiwa mtu wa mambo yako kutoyaweka wazi kwanza utaepuka changamoto nyingi zisizo lazima na mara zote watu ambao mambo yao awayaweki wazi wanaongoza kwa kupiga hatua

acha tu na kiongozi wa dunia kujiweka sehemu ambapo hautaweza kujua anafanana vipi, njoo kwa hawa viongozi wanao ongoza nchi n.k angalia doubt juu yao angalia kosoa angalia chuki, iko hivyo sababu binadamu tunapenda kuangalia makosa tu asilimia kubwa na hilo mungu anajua

kitu kikishakuwa public kwanza kinapoteza mvuto wa utukufu wake, kungekuwa na uwezekano wa kumuona mungu hali ingekuwa mbaya sana, pengine angepoteza watu wengi ambao wasingeweza kuwa na imani nae hata chembe, haimanishi kwamba yeye anahofu kuwapoteza

lakini yeye kutoweka kila kitu chake hadharani iyo ni hekma kubwa na still dunia inakwenda sawa kabisa kwa kuwa yeye ni mwingi wa hekma

mfano mdogo tu mungu atoke wazi wazi aseme mimi ndiye mungu wewe unaedoubt kwanini asijioneshe utamuamini?

hivi vitu hata aviumizi kichwa ni uhalisia tu.

#wamakamo
Kwa hiyo Mungu kajificha kwa kuogopa changamoto na kupoteza mvuto? How mediocre is that? Halafu kwa nini binadamu huwa mnapenda sana kumsemea Mungu wakati hata hamjawahi kumuona au kumsikia?
 
Kwanini una kunusha na una hukumu uwepo wa MUNGU na utukufu wake, kwa kupitia kitabu kimoja ambacho ni Bibble ??

Je, uliwahi kusoma vitabu vingine na ukajua ukweli upo vipi ??

Uwepo wa Mungu hawaudis kilocal local kama ufanyavyo mkuu, Kasome vitabu vyote vitano ndipo uje na hoja za msingi.

Kitabu ulichosoma (chapter ya Genesis) kina walakini mkubwa coz maneno ya MUNGU haya ongezwi wala kupunguzwa ila kwenye hicho kitabu ulichosomwa kila mwaka kinaboreshwa Yan kama katiba tu.

Kwahiyo kitabu kinacho leta mantiki ni kile kinasema Ibils akamletea ukaidi Allah na Allah akamlaani kuwa ni wa jehanam.

lakini Ibils akaapa mbele ya Allah kwamba atahakikisha anampotosha binadamu na akamuomba Allah ambakishe ili ampotoshe binadamu hadi siku ya kiama na Allah alivyokua mkarimu akamkubalia

Lakini Allah huyu akakasirika sana kama vile alikua hajui kitatokea nini wakati ni yeye anayejua kila kitu lakini akamuacha Ibils awahadae binadamu

Matokeo yake akawatoa kwenye kula bata bustani ya eden akawatupa kwenye dunia ya dhiki na akwalaani kuwa watakua maadui wao kwao

Hii Hadithi nzima inakosa mantiki kabisa
Sana sana inajenga picha kuwa Allah ni jitu fulani bandidu na katili
Makosa wamefanya akina Adam lakini matokeo ya makosa yao tunaadhibiwa watu wote hata ambao hatukuwepo
 
Kwanini una kunusha na una hukumu uwepo wa MUNGU na utukufu wake, kwa kupitia kitabu kimoja ambacho ni Bibble ??

Je, uliwahi kusoma vitabu vingine na ukajua ukweli upo vipi ??

Uwepo wa Mungu hawaudis kilocal local kama ufanyavyo mkuu, Kasome vitabu vyote vitano ndipo uje na hoja za msingi.

Kitabu ulichosoma (chapter ya Genesis) kina walakini mkubwa coz maneno ya MUNGU haya ongezwi wala kupunguzwa ila kwenye hicho kitabu ulichosomwa kila mwaka kinaboreshwa Yan kama katiba tu.
Mungu na uwezo wake wote huo hahitaji kitabu kujieleza.

Hizo ni dhana za binadamu kukupiga kamba.

Nawewe umekamatwa kwenye dimbwi.

Haya, ni vitabu gani hivyo vitano tukasome ili tujielimishe tujue kuhusu Mungu?
 
Back
Top Bottom