wanawake wa Dar na viwango vyao

Bin wamakamo

Member
Dec 12, 2021
77
92
Wanawake wa Dar wana Viwango vyao vya hela:

Ukiwa unampa 50,000-90,000
utakuwa unaitwa jina lako tu.
Good morning Kelvin, Hello Kelvin how is your day? Good night Kelvin.

Ukiwa unampa kati ya 100,000 na
150,000 utakuwa unaitwa dear. Morning dear, umeamkaje dear? Dear umekula? Usiku mwema dear usisahau kuniamsha asubuhi.

Ukiwa unatoa kati ya 200,000-300,000 hapa utakuwa
unaitwa baby. Baby how's your
day? Baby naumwa kweli leo. Baby naenda Mwenge see you later.

Ukihonga 300,000 na kuendelea
hawa ndiyo wanaitwa hubby ake. Utapendwa wewe hadi
ushaangae. Kila kitu hubby ake. Hubby nimejikwaa, hubby ndiyo
nafunga mlango, hubby kuna mende chumbani njoo tulale
wote. Hubby hivi unanipenda? Na swali lao kubwa, hubby hivi utanioa lini?

Chagua jina unalotaka, mahaba ya siku hizi ni kama menu ya Mpesa, unajihukumu mwenyewe.
Wengi mtakuwa mnaishia kuitwa dear na baby tu. Tikisa wallet
kidogo na wewe kabla hujafa uitwe hubby ake!

Usikae kizembeee.
 
Nazi mbatata
 

Attachments

  • images.jpeg-1.jpg
    images.jpeg-1.jpg
    32 KB · Views: 10
Wanawake wa Dar wana Viwango
vyao vya Hela..
Ukiwa unampa 50,000-90,000
utakuwa unaitw aJina lako tu,
Goodmorning Kelvin..Hallow Kelvin
How is your Day...Goodnite Kelvin. Ukiwa unampa kati ya 100,000 na
150,000 utakuwa unaitwa
DEAR...Morning Dear..Umeamkaje
Dear..Dear Umekula??Usiku mwema
Dear usisahau kuniamsha Asubuhi
Ukiwa unatoa kati ya 200,000-300,000 hapa utakuwa
unaitwa BABY...Baby Hows ur
day..Baby naumwa kweli leo...Baby
naenda Mwenge see u later
Ukihonga 300,000 na kuendelea
hawa ndo wanaitwa HUBBY AKE...Utapendwa wewe hadi
ushaangae...Kila kitu Hubby
Ake...Hubby nimejikwaa...Hubby ndo
nafunga mlango...Hubby kuna
Mende chumbani njoo tulale
wote...Hubby hivi unanipenda??NA swali lao KUBWA,Hubby hivi utanioa
lini??
Chagua jina unalotaka...Mahaba ya
siku hizi ni kama MENU ya MPESA,
Unajihukumu mwenyewe
Wengi mtakuwa mnaishia kuitwa DEAR na BABY tu...Tikisa Wallet
kidogo na wewe kabla hujafa uitwe
HUBBY AKE

Usikae kizembeee
umewasahu hawa wa temeke ukimnunulia chipsi yai unaitwa MY mpaka utajiuliza hii MY ni nomino au kivumishi
 
Back
Top Bottom